TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

Kwenye tangazo la ajira Kuna kipengele wanataka u sign barua ya maombi Kisha uiambatanishe na vyeti vya taaluma husika kupitia sanduku la posta walilotaja naomba ufafanuzi kidgo maana sijaelewa kwamba hivyo vyeti na barua vitumwe kwa njia ya posta badala ya online.
Barua na vyeti n vitu viwili tofauti, usichsnganye
 
Sina kingine zaidi ya cheti icho kimoja nilicho attach mara mbili sehemu ya accademic qualification ambapo hakuna option ya delete, na chanzo cha kuatach itokee mara mbili ilikuwa kwenye orodha chuo changu kimeandikwa ruaha university college(Ruco) nikaatach cheti, baada ya hapo nikawaza kwenye cheti imeandikwa Ruaha catholic university (Rucu) hivyo nikaselect others nikaattach tena cheti icho icho na sikujua kama nisingeweza kufuta ile ya mwanzo, japo Ruco na Rucu ni sawa tu utofauti ni zamani ilikuwa ruco na sasa ni rucu.
Ahsante nawasilisha mwenye ushauri zaidi asisite kunipa
Niwashukuru Mbanga Jr, Mwifwa kwa mawazo yenu lile swala la kuattach cheti cha chuo mara mbili kwa majina ya chuo kama nilivyoelezea hapa, nimewatumia email desk top ya ict kwa msaada wa kuondolewa icho cheti na wamefanya hivyo japo nimewasumbua kwa kutuma email nimetuma zaidi ya mara tatu na siku tofauti tofauti, wamekiondoa kimoja na kimebaki kimoja pale .Nime edit barua kwa mara ya mwisho na ku_update tena maombi. 🙏Nime edit weeee nime edit sana tu na kuresend mara kibao hahaha
 
Niwashukuru Mbanga Jr, Mwifwa kwa mawazo yenu lile swala la kuattach cheti cha chuo mara mbili kwa majina ya chuo kama nilivyoelezea hapa, nimewatumia email desk top ya ict kwa msaada wa kuondolewa icho cheti na wamefanya hivyo japo nimewasumbua kwa kutuma email nimetuma zaidi ya mara tatu na siku tofauti tofauti, wamekiondoa kimoja na kimebaki kimoja pale .Nime edit barua kwa mara ya mwisho na ku_update tena maombi. 🙏Nime edit weeee nime edit sana tu na kuresend mara kibao hahaha
N furaha yangu kuona umekamilisha kila kitu, kujaza taarifa zako kwenye huu mfumo ipo ndani ya uwezo wako ila kupata kazi ni baraka za Mungu, hvy bc kila mtu afanye wajibu wake.
 
Yaani mchakato ufanywe na utumishi halafu interview isiwepo?
Lazima watu wafanye interview, ingawaje serikali iwe makini na hizi interview vijana wanaweza kukutana wakapanga mipango yao huko.
Mwaka jana wizara ya afya walitoa ajira post 289 na waliomba kupitia Utumishi waliitwa kazini na hawakufanya interview.
 
Vp kuhusu mikoa je unaweza kupangiwa mkoa mwingine tofauti na uliyoomba mfano uombe mwanza alafu upangiwe kigoma?
 
Back
Top Bottom