Wauzaji wa containers
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 615
- 1,443
Ajira muhimu Sana mkuu .Ok.Nimewapa elimu.Wanasaidia ujasiriamali.Kuna ubaya wakipata ajira?
Maana ni vizuri MTU afanye anachokipenda na ndo maisha yanatutaka hivyo .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajira muhimu Sana mkuu .Ok.Nimewapa elimu.Wanasaidia ujasiriamali.Kuna ubaya wakipata ajira?
Wito kwa mantiki gani, uwo with isingekuwa na hayo mambo mawili ya Heslb na mass employment hakuna ambae angesoma hip course kuviondoa ni kufanya wanaosomea wajingaHii kazi ni wito Kama hauna wito utabaki kuwa stressful Sana .
AahaaaaaAfadhali hawa vibaka waliopo nyumbani wapate ajira nibaki na mama yao kwa uhuru.
NB;Huwa nawatania ni vibaka wanavyoniomba hela na kupita na chenjichenji zangu.
Post kumi naa, watakaofika kwenye interview watu elf tano, na kati yao wote hola.....poleni sana vijana hizi nyakati ni ngumu upande wa ajira.
Mbaya zaidi elimu yetu inatuandaa tu kuwa waajiriwa.🤔
Hatari sana.Wakati sisi tulikuwa tunajifanyia tutakavyo tu.Unaajiriwa leo baada ya miezi sita unaacha kazi halafu unaomba nyingine. Leo hii hakuna hiyo.Post kumi naa, watakaofika kwenye interview watu elf tano, na kati yao wote hola.....poleni sana vijana hizi nyakati ni ngumu upande wa ajira.
Mbaya zaidi elimu yetu inatuandaa tu kuwa waajiriwa.🤔
Ndio inabidi kuwaza nje ya box.....upate hela nje ya mshahara tofauti na hapo hizo stress kuna siku unalia mwenyewe kwa mawazo 😁Bado MTU kaajiriwa Ila anaishi paycheck to paycheck mikopo ,madeni.
Ukiona hivyo ujue elimu aliyoipata haina msaada kwake.Bado hajui ku-hang na Mr.Cooper!Hanging with mr.Cooper.Kucheza na mazingira.Bado MTU kaajiriwa Ila anaishi paycheck to paycheck mikopo ,madeni.
Kumbe we ndio baba sativaAfadhali hawa vibaka waliopo nyumbani wapate ajira nibaki na mama yao kwa uhuru.
NB;Huwa nawatania ni vibaka wanavyoniomba hela na kupita na chenjichenji zangu.
NdioHv inawezekana kuomba kazi ya aina Moja ila kwa mikoa tofauti?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muda si mrefu chawa wakiamka utasikia
Serikali ya mama yamwaga ajira kwa mamilioni ya watanzania
Wananchi walia vilio vya furaha na kububujikwa machozi
Mama ameaandika tena historia nyingine ya kipekee haijawahi kutokea tangu tupate uhuru.
Yes inawezekana kama sifa inakuruhusu maana usaili utaruhusiwa kufanya na uzuri saili sasa hivi ni online na unafanyia mkoan kwakoHv inawezekana kuomba kazi ya aina Moja ila kwa mikoa tofauti?