Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Unasema haya kwa kujipa moyo kisa umeshindwa kuendana na mfumo wa ajira Portal au?Zitatoka zingine za wizara ya afya kigezo waliomba tamisemi hawataruhusiwa kuomba..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasema haya kwa kujipa moyo kisa umeshindwa kuendana na mfumo wa ajira Portal au?Zitatoka zingine za wizara ya afya kigezo waliomba tamisemi hawataruhusiwa kuomba..
Interview lazima wafanye ndio maana wameletwa eneo la mkando hahahaha🤣🤣🤣🤣🤣
Halafu wataanzwa kukandwa kwa kupunguzwa kutokana na makosa ya kutosign barua na mambo mengine! Ukiangalia mtiririko wa humu na aina ya maswali humu utagundua sana kulikuwa kuna fanyika makosa makubwa kuwapangia vituo watu bila kufanya interview! Interview zinaongeza umakini sa
Interview lazima wafanye ndio maana wameletwa eneo la mkando hahahaha🤣🤣🤣🤣🤣
Halafu wataanzwa kukandwa kwa kupunguzwa kutokana na makosa ya kutosign barua na mambo mengine! Ukiangalia mtiririko wa humu na aina ya maswali humu utagundua sana kulikuwa kuna fanyika makosa makubwa kuwapangia vituo watu bila kufanya interview! Interview zinaongeza umakini sana
Nipo ajira portal tangu 2021 nlpofanya usaili wangu wa kwanza, ila sipo upande wa afya wala ualimu.Mzee umeomba hizi ajira za afya au unaongea kwa experience.
Unajua mchana nimewaelekeza watu nimeona wajuaji wengi humu ndani kidogo @mwifa ndo amekuja na akili sana .
Ya kusema watu wa update taarifa mara baada ya kuitwa kwa usaili.
Mkuu, kawaida ht ww mwnyw c unajua ukiandika barua n lazima uweke saini yako au hilo hujui?Mkuu kosa la kutosign barua! Kivp yani ? Unaeza elezea vizuri hapo
Watatuita mkoa tulioomba over.Nipo ajira portal tangu 2021 nlpofanya usaili wangu wa kwanza, ila sipo upande wa afya wala ualimu.
Sasa ufanye update ya taarifa yako baada ya kuitwa usaili kwahy hayo majina yalivotoka yanakuwa hayana taarifa yako ya sehemu pa kufanyia usaili hvy wakusubir ufanye update ndipo watoe tena majina kwa mara ya pili kuonyesha sehem pa kufanyia usaili?
Mwifwa
Samahani mkuu ,wanavyosema barua iliyosainiwa, inamaana isainiwe na nani?
Dah 😂😂😂Samahani mkuu ,wanavyosema barua iliyosainiwa, inamaana isainiwe na nani?
Nmekuuliza kwahy ukituma application kule wanajua mkoa uliopo bila kuweka address kwenye akaunti yako, ila naona hujajibu.Watatuita mkoa tulioomba over.
Mfumo unaonyesha wala usijari .
Nje na hapo watatuambia tuaupdate taarifa.
Mwifa amekuelekeza vizuri sema umekaza ndo maana hizi ajira tumemuomba Katibu ila tumechagua mkoa mmoja naotaka waniajiri
Kama hiviSamahani mkuu ,wanavyosema barua iliyosainiwa, inamaana isainiwe na nani?
Twende taratibu vijana wakakandweDah [emoji23][emoji23][emoji23]
Asante mkuu, ngoja tujiandae na mkando😂
😂Twende taratibu vijana wakakandwe
Naona hili jambo tunavutana bure hapa.Yn ukiitwa kwenye interview maana yake tayar wameshamalizana na akaunti yako inayoonyesha Location yako. Sasa kama utahama location hapo n kuwasiliana nao physical na sio kwenda kwenye akaunti yako kuweka hy location mpya.
Mana ukiitwa interview maana ake hapo hapo Tyr unakuwa ushapangiwa sehemu pa kufanyia kulingana na Location uliyoweka wakat wa application sio baada ya majina ya usaili kutoka.
Umenielewa vibaya mkuu, wala sina kibri na kujiona nmetoboa mana mm n jobless tuu hapa, ila nipo hapa kwa ajili ya kuwasaidia wenzangu mana msaada wangu mdogo kwao naamini n baraka kwangu.Barua rasmi anasaini mwandishi, kwa msisitizo uliowekwa hapo yawezekana kuna utaratibu tofauti ,ndio maana nimeuliza mkuu. Kujua ABC za kufanya application zisikupe kibri na kujiona umetoboa
Yah tuko hapa kueleweshana ili wenzetu wakapewe dawa yao inayostahiliTwende taratibu vijana wakakandwe
Acha uoga kijana usidharau interview na umejuaje ilikuwa nyepesi wakati hukufanya wewe? Au umeona na umepewa hadithi? Interview ni rahisi akifanya mwenzio hakuna interview rahisi,ukiwa kwenye usahili ukiona ni rahisi pengine umejiandaa vizuri au umeenda chaka!Sikwenda halfu ilikuwa nyepesi na waliongia oral wengi waliitwa kazini
Mkuu usiogope 😂😂😂😂😂 karibu ukandwe….tueapongeze tamisemi kwa uamuzi huu mzuri hakutakuwa na malalamiko!Achana na mm ..
Yaani nyie ndo mtakuwa utumishi mmetengeneza mfumo ajira za mshahara mdogo zigombaniwe kwa interview.
Sasa ajira ya tamisemi tena ya masimango nayo ya kuita watu interview
Wakandwe wakandwe wakandwe😂😂😂😂😂Twende taratibu vijana wakakandwe
😂😂😂😂😂😂😂😂 Mkuu acha uoga hakuna watu fair kama hao utumishi! Jiandae tuu ukandwe vyema na ukandike na utoboe hahahHahahaAchana na mm ..
Yaani nyie ndo mtakuwa utumishi mmetengeneza mfumo ajira za mshahara mdogo zigombaniwe kwa interview.
Sasa ajira ya tamisemi tena ya masimango nayo ya kuita watu interview