Mkuu, sio lazima awe boss wako kazini, n mtu yeyote yule akipigiwa simu akiulizwa taarifa zako ataweza kutoa ila sio washikaji wala ndugu labla wawe na position fln huko dunianiNaonaga watu wanaandika watu wakubwa ambao hata sio maboss zao na hawahusiani na taaluma zao, ila usahili wanaitwa na kazi wanapata. Au ndo magepu😂😂
Serikali haina time hiyo, kuanza kumpigia mtu🤣🤣Mkuu, sio lazima awe boss wako kazini, n mtu yeyote yule akipigiwa simu akiulizwa taarifa zako ataweza kutoa ila sio washikaji wala ndugu labla wawe na position fln huko duniani
Umesoma point ilipoanzia?Serikali haina time hiyo, kuanza kumpigia mtu🤣🤣
Yes lkn mm nimesema serikal huwa haiwapigii simu japo unatakiwa kufuata hivyo vigezoUmesoma point ilipoanzia?
We weka yeyote kwenye usaili wala haisumbuiNaonaga watu wanaandika watu wakubwa ambao hata sio maboss zao na hawahusiani na taaluma zao, ila usahili wanaitwa na kazi wanapata. Au ndo magepu😂😂
Cha msingi wasahiliwa waanze kujiandaa na usahili tuu wasome vizuri wang’arishe kingereza chao 😂😂😂😂Serikali haina time hiyo, kuanza kumpigia mtu🤣🤣
Hawa afya waombe tu jamaa walegeze....kuna paper unaingia mpk unasema k*mmaeCha msingi wasahiliwa waanze kujiandaa na usahili tuu wasome vizuri wang’arishe kingereza chao 😂😂😂😂
Amina kaka .Hawa afya waombe tu jamaa walegeze....kuna paper unaingia mpk unasema k*mmae
Umeeleweka sana mbaga Jr🙏Mkuu, sio lazima awe boss wako kazini, n mtu yeyote yule akipigiwa simu akiulizwa taarifa zako ataweza kutoa ila sio washikaji wala ndugu labla wawe na position fln huko duniani
🤣🤣🤣🤣🤣mara paap unakuta maswali 20 na section zote A,B,C,DHawa afya waombe tu jamaa walegeze....kuna paper unaingia mpk unasema k*mmae
Maswali ni multiple choice...unaweza kuta 50 / 40....ila sasa ndio hivyo yamekaza🤣🤣🤣🤣🤣mara paap unakuta maswali 20 na section zote A,B,C,D
Kumbe huwa wanafunga siku inavyoanza, sio inavyokwisha😂😂😂kwan ww mgen na utumish?
Ikifika kesho saa sita usiku mara nyingi huwa wanafunga
Duuh hivi haijawahi tokea kwamba wakatoa majina moja kwa moja kusiwe na usahili? Kwa hawa utumishi😅Maswali ni multiple choice...unaweza kuta 50 / 40....ila sasa ndio hivyo yamekaza
Wakitoa moja kwa moja mtasema wamepata wenye connection na mnaweza ingia road...Gen Z hamna dogoKumbe huwa wanafunga siku inavyoanza, sio inavyokwisha😂😂😂
Duuh hivi haijawahi tokea kwamba wakatoa majina moja kwa moja kusiwe na usahili? Kwa hawa utumishi😅
Hii ndo point watufanyishe hata oral tuWakitoa moja kwa moja mtasema wamepata wenye connection na mnaweza ingia road...Gen Z hamna dogo
Piga msuli utavuka tuHii ndo point watufanyishe hata oral tu
No.way tukubali tu utaratibu wao😫Hii ndo point watufanyishe hata oral tu
Madaktari wa kinywa na meno 210 wanatoka wapi6. TABIBU KINYWA NA MENO(DENTAL THERAPIST)-210
Duh mbona kipengele hicho, umeomba lini na ulivoomba uliona? Au n sasa tuu?Wakuu nimetoka kuingia sehemu ya my application kwenye mfumo nimekuta hamna kitu wakati nimeapply.Nikasema basi nitafute kada yangu nashangaa nayo haipo.
Ww sema hvy tuu, sasa kwenye mkando mkijikuta mko buku ndio utafunga huo mdomoMadaktari wa kinywa na meno 210 wanatoka wapi