TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

Naonaga watu wanaandika watu wakubwa ambao hata sio maboss zao na hawahusiani na taaluma zao, ila usahili wanaitwa na kazi wanapata. Au ndo magepu😂😂
Mkuu, sio lazima awe boss wako kazini, n mtu yeyote yule akipigiwa simu akiulizwa taarifa zako ataweza kutoa ila sio washikaji wala ndugu labla wawe na position fln huko duniani
 
kwan ww mgen na utumish?
Ikifika kesho saa sita usiku mara nyingi huwa wanafunga
Kumbe huwa wanafunga siku inavyoanza, sio inavyokwisha😂😂😂
Maswali ni multiple choice...unaweza kuta 50 / 40....ila sasa ndio hivyo yamekaza
Duuh hivi haijawahi tokea kwamba wakatoa majina moja kwa moja kusiwe na usahili? Kwa hawa utumishi😅
 
Kumbe huwa wanafunga siku inavyoanza, sio inavyokwisha😂😂😂

Duuh hivi haijawahi tokea kwamba wakatoa majina moja kwa moja kusiwe na usahili? Kwa hawa utumishi😅
Wakitoa moja kwa moja mtasema wamepata wenye connection na mnaweza ingia road...Gen Z hamna dogo
 
Wakuu nimetoka kuingia sehemu ya my application kwenye mfumo nimekuta hamna kitu wakati nimeapply.Nikasema basi nitafute kada yangu nashangaa nayo haipo.
 
Wakuu nimetoka kuingia sehemu ya my application kwenye mfumo nimekuta hamna kitu wakati nimeapply.Nikasema basi nitafute kada yangu nashangaa nayo haipo.
Duh mbona kipengele hicho, umeomba lini na ulivoomba uliona? Au n sasa tuu?
 
Back
Top Bottom