Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,755
- Thread starter
-
- #561
Hapo unaandika mwaka ulipata leseni hadi itakapo expireOk Mwifa na wanajumuia wengina nina swali kwenu kwenye mfumo kwa wale ambao tupo kwenye mabaraza na tuna leseni kuna sehemu ya proffesional qualification ambapo tunapaswa kuiattach leseni.
Mfano, mimi nipo chini ya HLPC kwenye professional qualifiacation nahitajika kujaza from.....to....
Nauliza napaswa kujaza miaka ipi, je ni tokea naanza chuo hadi sasa au najaza miaka ipi?
Msaada ili nikaedit kabla wakuu wa wakuu hawajapiga lock
Natanguliza shukrani[emoji120]
Thanks Mkuu Leseni Yangu Nimeipata 2024Hapo unaandika mwaka ulipata leseni hadi itakapo expire
Kada gani mnarenew leseni kila baada ya muda gani?Thanks Mkuu Leseni Yangu Nimeipata 2024
Sioni sehemu ya Expiring hii inakuaje boss
Kada ya maabara kila baada ya mwaka wa serikali kuingiaKada gani mnarenew leseni kila baada ya muda gani?
Basi andika From mwezi uliopata to decemberKada ya maabara kila baada ya mwaka wa serikali kuingia
mfumo unakuba option ya kuweka mwaka tu sio mweziBasi andika From mwezi uliopata to december
2024-2025mfumo unakuba option ya kuweka mwaka tu sio mwezi
Asante sana ndugu🙏2024-2025
Tayari nimesha applyApply ikugomee yenyewe, mwisho ndio kesho
Written huwa zinakunjwa sana tena mkiwa wengi 😂Hawa afya waombe tu jamaa walegeze....kuna paper unaingia mpk unasema k*mmae
Kama inaleta hivyo basi hauja apply basi weka tena barua yako halafu utume fasterSasahivi nikitafuta kada inaonesha sijaapply na nimejarubi kujifanya kama na apply imeleta Hadi sehemu ya kuattach barua nashangaa.
Nina uzoefu na hizo interview mkuu..wanaweza wasikunje paper..mkajikuta mmefaulu wengi marks za juu,wao wanacho kifanya ni kuweka cutting ✂️ point kubwa.Written huwa zinakunjwa sana tena mkiwa wengi 😂
👊Nina uzoefu na hizo interview mkuu..wanaweza wasikunje paper..mkajikuta mmefaulu wengi marks za juu,wao wanacho kifanya ni kuweka cutting ✂️ point kubwa.
Let say watachukua kuanzia 90-100% ndo mtaenda oral..na kada nyingine kama wamefeli sana unakuta wanawawekea cutting ✂️ point ndogo let say kuanzia 60-100%
Tangu mwaka uliopata hiyo leseni hadi sasaOk Mwifa na wanajumuia wengina nina swali kwenu kwenye mfumo kwa wale ambao tupo kwenye mabaraza na tuna leseni kuna sehemu ya proffesional qualification ambapo tunapaswa kuiattach leseni.
Mfano, mimi nipo chini ya HLPC kwenye professional qualifiacation nahitajika kujaza from.....to....
Nauliza napaswa kujaza miaka ipi, je ni tokea naanza chuo hadi sasa au najaza miaka ipi?
Msaada ili nikaedit kabla wakuu wa wakuu hawajapiga lock
Natanguliza shukrani[emoji120]
from 2024 to 2024Thanks Mkuu Leseni Yangu Nimeipata 2024
Sioni sehemu ya Expiring hii inakuaje boss
Asante sana ndugu ngoja nikaeditfrom 2024 to 2024View attachment 3046448
Kama wanarenew kila baada ya mwaka wa fedha kuanza/kuisha, basi aweke from 2024 hadi 2025Basi andika From mwezi uliopata to december
Njoo usome post tena, nimejibu hivyo piaAsante sana ndugu ngoja nikaedit
Mdau mmoja alinambia 2024-2025
Yeap napaswa kuirenew tena mwezi julai 2025Kama wanarenew kila baada ya mwaka wa fedha kuanza/kuisha, basi aweke from 2024 hadi 2025