kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
Walimu 11,000 wote wataweza kuwafanyia usahili?Walimu nao hao wameingia kwenye mfumo
Madogo wengi bado wana ulimbukeni wa kusoma MD , wabishi mno, wanakuja kuuelewa DDS baadae sanaDuh bc vijana waione hii kama fursa.
Huo utakuwa n upumbavu aisee, kila swali na majibu yapo kwenye huu uzi kwahy wapitie mwanzo mwisho, labla waje na swali jipyaKaka mjiandae kuwajibunwalimu ngima hazielewi kitu
Ww n mgeni wa ajira Portal eee πWalimu 11,000 wote wataweza kuwafanyia usahili?
I mean watu 11,000 ndio nafasi zote za kazi naona kama ni kundi kubwa sana kuwafanyia interview kumbuka wanaohitajika ni walimu 11,000Kuanzia kesho tutashuhudia uzi nyingi zikianzishwa na ndugu wenzetu waalimu kuhusu huu mfumo wa ajira Portal, nashauri Moderator kuunganisha uzi hizo kwenye huu uzi mana una maswali yote pamoja na majibu.
Kwahiyo watatumia njia gani kupata watu, jiandae na interview utumishi hawana longo longo, mtakandwa kwenye written wabaki wachache wakafanyiwe usaili kwenye kanda biashara uishe.Kuna mtu wa utumishi kaniambia hizi Ajira hazina usaili.
Nimemaliza
Walimu wasiokuwa na ajira ni zaidi ya laki 2.5 wote watafanyiwa usaili kwenye wilaya na mikoa yao, written interview itachomoa wengi na kubakisha wachache.I mean watu 11,000 ndio nafasi zote za kazi naona kama ni kundi kubwa sana kuwafanyia interview kumbuka wanaohitajika ni walimu 11,000
let say watakaoapply ni 22,000
je hawa watu wataweza kuwafanyia interview?
Mawazo ya usiku hayaπthough lolote litokee watu wakakandwe tu kubabakeeee
Juu kuna motoJiandaeni na interview hamna shortcut hapo.
π π π π πJiandaeni na interview hamna shortcut hapo.
Sasa hivi mtakuwa mnasalitiwa na vichwa vyenu wenyewe.π π π π π
maneno yanatia uchungu sana kwa wapendwa wetu WAALIMU
Wajiandae kukandwa πJiandaeni na interview hamna shortcut hapo.
nimefurahi sana π π π π π π πWajiandae kukandwa π
Interview ya kwanza kabisa h kufanya Application kwenye huu mfumo, tutegemee vilio vingi πWalimu wasiokuwa na ajira ni zaidi ya laki 2.5 wote watafanyiwa usaili kwenye wilaya na mikoa yao, written interview itachomoa wengi na kubakisha wachache.
Acheni visingizio πIngawaje mchakato huu utaigharamu serikali pesa nyingi sana, afya na elimu ina watu wengi wasio na ajira kuwafanyisha interview serikali itatumia gharama kubwa sana lakini itakuwa gharama nyingine kubwa kwa waombaji.
wanafanya kwa kompyuta nadhani na kikandaIngawaje mchakato huu utaigharamu serikali pesa nyingi sana, afya na elimu ina watu wengi wasio na ajira kuwafanyisha interview serikali itatumia gharama kubwa sana lakini itakuwa gharama nyingine kubwa kwa waomba
Wanaanza wa afya, nikisikia kuna usaili aisee nitafurahi knoma π watu wakapambanie tonge huko hakuna cha mteremkonimefurahi sana π π π π π π π
fairplay sio sisi tu tunakandwa deileee
hahahahahah itatoka kwa walimu wa AWALI na MSINGI nimekaa palee π π π π π πInterview ya kwanza kabisa h kufanya Application kwenye huu mfumo, tutegemee vilio vingi π