John Reese
Member
- Nov 19, 2018
- 38
- 63
Wakuu inachukua muda gani kuitwa interview baada ya application
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miezi miwili minimum maxmam miezi 6Wakuu inachukua muda gani kuitwa interview baada ya application
Siku 52Wakuu inachukua muda gani kuitwa interview baada ya application
Umwambie ukweli kuna kuzidi siku 52 kuna watu wanaita baada ya miezi 6 h.Siku 52
Kwann wachelewe hivoUmwambie ukweli kuna kuzidi siku 52 kuna watu wanaita baada ya miezi 6 h.
Wote wakandwe 😂Wa afya wameshaingia kwenye mfumo😂😂😂😂😂 ila tuhakikishe utumishi wanawakaribisha Walimu kwenye hili jambo 😂😂😂😂😂
Dogo mbna kelele nyingi, ushakandwa wwLazima mkandwe wakuu 😂
Dua la kuku ngoja ushangae tarehe 20 mwez wa nane wenzio watakapopangiwa vituo bila interviewLazima mkandwe wakuu 😂
Wakuu hivi hawa ajira portal huwa wanaongeza muda wa kutuma maombi kama polisi portalDua la kuku ngoja ushangae tarehe 20 mwez wa nane wenzio watakapopangiwa vituo bila interview
Mwisho wa kufanya marekebisho yote ni Leo saa 23:59Wakuu hivi hawa ajira portal huwa wanaongeza muda wa kutuma maombi kama polisi portal
Dakika za jioni sana nimekuja kushtuka kumbe kwenye sehemu ya other attachment mimi niliweka CV tu bila cheti cha kuzaliwa.
Nimetoka kukipakia muda huu
Je wakuu watanizingatia maana mwisho tuliambiwa ni leo tarehe 20
Au safari yangu ya kulamba asali ndio imeishia hapa.
NB: Wakuu tupitie tena application zetu unaweza hisi umemaliza kila kitu kumbe kuna vitu bado hujaviweka sawa, Nimeshtuka dakika za jioni
Au waweza endelea kuedit attachment hata siku zijazo???
Msaada kwa wahenga wa ajira portal
Kwa hiyo bado niko mikono salamaMwisho wa kufanya marekebisho yote ni Leo saa 23:59
YapKwa hiyo bado niko mikono salama
Asante sana mkuu
Kaka mjiandae kuwajibunwalimu ngima hazielewi kituWaalimu wakae mkao wa kula, sasa msije na maswali yale yale wakati karibu maswali yote khs ajira Portal yameshajibiwa na wana humu.
Bora iwe hivoKuna mtu wa utumishi kaniambia hizi Ajira hazina usaili.
Nimemaliza