Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Na huu mfumo wa maombi utumishi ukoje? Mfano Dar Kuna nafasi 5 Ina maana wakiomba watu wa5 ndio inakulazimu uombe kwingine kwenye nafas ama ndio mnaomba tu ila wao ndio watachagua wanaowahitaji kwa mkoa husika?