TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

Asante sana mkuu kwa majibu yako nashukuru baada ya kurudi kuangalia tena nimekuta tayari document nilizopakia zikiwa verified zikionekana

Swali langu la mwisho hivi hawa mareferee watatu ni kweli huwa wanapigiwa simu?

Maana kuna mareferee unaweza waweka kwa nia nzuri tu wakaamua kukukanda wakipigiwa simu badala ya kukupa maua yako.

Natanguliza shukrani
Sidhani kama wanawapigiwa lakin jitaidi umeweka mareferee watatu, kama wanavyotaka wao wasije wakakulima kichwa mapema, nasema hivi na ushahidi Kuna mwamba mmoja, aliliwa kichwa Kwa kutoweka refarees watatu yeye aliweka wawili tu ko jitahidi unaweka wote na details zao zote.
 
S
Habari za muda huu ,nimejaribu kurepost passport size niliyo attach kwenye profile yangu. Shinda ni kwamba kuna background inaonekana nyuma yenye rangi ya karatasi ya kaki mbali hii hii imekaaje? Iko sawa au hiyo background ya nyuma zaidi iyo ya kaki haikutakiwa hapo na nimefanya juu chini kubadilisha picha imegoma
Sioni shida hapo!!!
 
Kuna dingi ana diploma sehemu ya academic qualification kajaza advanced diploma

mfumo unamtema huyu anatokaje hapa?
Awasiliane na PSRS ili waifute hiyo qualification aliyoijaza kimakosa, then atajaza kwa usahihi na ataweza kuomba kazi
 
Asante sana mkuu kwa majibu yako nashukuru baada ya kurudi kuangalia tena nimekuta tayari document nilizopakia zikiwa verified zikionekana

Swali langu la mwisho hivi hawa mareferee watatu ni kweli huwa wanapigiwa simu?

Maana kuna mareferee unaweza waweka kwa nia nzuri tu wakaamua kukukanda wakipigiwa simu badala ya kukupa maua yako.

Natanguliza shukrani
Hao mareferee wako wana taarifa kuwa umewaweka kwenye CV yako au umewaweka tu bila wao kuwa na taarifa? Kama wanataarifa hamna shida. Isije ikatokea wametafutwa wakasema hawakujui.
 
Hapo kuna wengine tuna umri mdogo ila tumemaliza muda mrefu na tushapambana sana na ma interview hayo.

Kiuhalisia mimi ni mtu ambaye nina imani sana na utumishi.

Ila mara baada ya kufanya written kadhaa na oral Pasi na mafanikio hali iliyopelekea kuchukua sana hii michakato.

Kiukweli mimi sio kwamba naogopa interview ila Mfumo wa kuajiri utumishi umeniondolea imani.
Ukitaka kuepuka kigezo cha umri basi hakikisha umefaulu alama za juu kuwapita walio kuzidi umri msilingane!
 
Hao mareferee wako wana taarifa kuwa umewaweka kwenye CV yako au umewaweka tu bila wao kuwa na taarifa? Kama wanataarifa hamna shida. Isije ikatokea wametafutwa wakasema hawakujui.
Japokuwa referee Hua hawatafutwi Ila n muhimu sana kuwapa hy taarifa, mana huwez kujua
 
Habarini,hivi hizi ajira za tamisemi kupitia huu mfumo wa utumishi wa umma, kuna kuwa na interview? Kwamba ni mfumo mpya tumezoea miaka yote wanaombea uko tamisemi portal au wizara ya afya.je kuna uwezekano wa watu watakao chaguliwa kupelekwa moja kwa moja kazini bila interview?
 
Nami najiuliza. Hivi kama kutakuwa na interview ambayo ni online interview itakuwaje maana watu wanajaza permanent address na pia currently place of residence. Je siku ya interview itakuwa mkoa Kwa mkoa au mtu na kifaa chake? Eg simu au portable computer (PC) au watu watahitajika kukusanyika makao makuu ya mkoa husika? Na kama ni makao makuu ya mkoa husika ikitokea umesafiri nje ya mkoa uliojaza (address yako) itakuhitaji urudi mkoa husika Kwa ajili ya interview? Msaada wakuu maana hapo nyuma Sekretarieti ya utumishi wa umma walizindua online interview ima kupunguza ama kuepusha gharama Kwa wasailiwa
 
Nami najiuliza. Hivi kama kutakuwa na interview ambayo ni online interview itakuwaje maana watu wanajaza permanent address na pia currently place of residence. Je siku ya interview itakuwa mkoa Kwa mkoa au mtu na kifaa chake? Eg simu au portable computer (PC) au watu watahitajika kukusanyika makao makuu ya mkoa husika? Na kama ni makao makuu ya mkoa husika ikitokea umesafiri nje ya mkoa uliojaza (address yako) itakuhitaji urudi mkoa husika Kwa ajili ya interview? Msaada wakuu maana hapo nyuma Sekretarieti ya utumishi wa umma walizindua online interview ima kupunguza ama kuepusha gharama Kwa wasailiwa
Ngoja waje
 
Hapo kwenye muhimu ongezea kuwa ni lazima.
Hapo wanaposema ku sign barua Kisha uambatanishe na vyeti vya taaluma sijaelewa naomba kufahamishwa.

Kwamba hivyo vyeti vya elimu pamoja na hiyo barua unaviambatanisha kwa kutuma kwenye anuani ya posta waliyoitaja ama vipi.
 
Nami najiuliza. Hivi kama kutakuwa na interview ambayo ni online interview itakuwaje maana watu wanajaza permanent address na pia currently place of residence. Je siku ya interview itakuwa mkoa Kwa mkoa au mtu na kifaa chake? Eg simu au portable computer (PC) au watu watahitajika kukusanyika makao makuu ya mkoa husika? Na kama ni makao makuu ya mkoa husika ikitokea umesafiri nje ya mkoa uliojaza (address yako) itakuhitaji urudi mkoa husika Kwa ajili ya interview? Msaada wakuu maana hapo nyuma Sekretarieti ya utumishi wa umma walizindua online interview ima kupunguza ama kuepusha gharama Kwa wasailiwa
Hizi ajira ni mpya tujiandae kwa lolote.

Kama kitakuwa na interview sina uhakika hawatadeal na address nadhani tutafanya mkoa uliombea.

Tusubiri tuone
 
Usaili unaweza usiwepo.
Kwenye tangazo la ajira Kuna kipengele wanataka u sign barua ya maombi Kisha uiambatanishe na vyeti vya taaluma husika kupitia sanduku la posta walilotaja naomba ufafanuzi kidgo maana sijaelewa kwamba hivyo vyeti na barua vitumwe kwa njia ya posta badala ya online.
 
Hapo wanaposema ku sign barua Kisha uambatanishe na vyeti vya taaluma sijaelewa naomba kufahamishwa.

Kwamba hivyo vyeti vya elimu pamoja na hiyo barua unaviambatanisha kwa kutuma kwenye anuani ya posta waliyoitaja ama vipi.
Kutuma maombi n online kwenye huo mfumo wao ila n lazima uandike hy SLP yao.
Kuna kipengele cha academic qualifications hapo ndipo utaweka vyeti vyako kuanzia four, six mpaka chuo.
Barua n hatua ya mwisho kabisa baada ya kujaza taarifa zako zote, kwenye post ya kazi utaona sehemu pameandikwa apply ukigusa hapo utaletewa option ya kuweka pdf yako ya barua
 
Back
Top Bottom