Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Lazima ukandwe mkuu, utake usitake 😂Hii ndo point watufanyishe hata oral tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima ukandwe mkuu, utake usitake 😂Hii ndo point watufanyishe hata oral tu
Niliomba juzi tu ila Leo nashangaa.Duh mbona kipengele hicho, umeomba lini na ulivoomba uliona? Au n sasa tuu?
Hayo maswali yanakuwa yanahusiana na Kada husika au ndio kupima uelewa wa the, which, who, whem, despite of?Maswali ni multiple choice...unaweza kuta 50 / 40....ila sasa ndio hivyo yamekaza
Maswali ya kada yako...Hayo maswali yanakuwa yanahusiana na Kada husika au ndio kupima uelewa wa the, which, who, whem, despite of?
Ww sema hvy tuu, sasa kwenye mkando mkijikuta mko buku ndio utafunga huo mdomo
Shahada nafikiri ni MUHAS tu. Ila Stashahada ndio vipo takribani vitatu.Madaktari wa meno huwa sio wengi. Kila mwaka lazima ware-advertise maana wanaojitokeza ni wachache. DDS ni miongoni mwa kada za Afya ambazo bado hazijafikia saturation point. Ni nadra sana kukuta mtaalamu wa meno hasa wa level ya shahda hana kazi na wengi wako private.
Kumbuka, bado tuna vyuo vitatu tu Tanzania vinavyotoa shahada ya udaktari wa meno na kinywa.
Duh bc vijana waione hii kama fursa.Madaktari wa meno huwa sio wengi. Kila mwaka lazima ware-advertise maana wanaojitokeza ni wachache. DDS ni miongoni mwa kada za Afya ambazo bado hazijafikia saturation point. Ni nadra sana kukuta mtaalamu wa meno hasa wa level ya shahda hana kazi na wengi wako private.
Kumbuka, bado tuna vyuo vitatu tu Tanzania vinavyotoa shahada ya udaktari wa meno na kinywa.
Ulivotuma maombi siku hy hy uliona ipo received?Niliomba juzi tu ila Leo nashangaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cha msingi wasahiliwa waanze kujiandaa na usahili tuu wasome vizuri wang’arishe kingereza chao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
SUZA pia wanatoa DDS japo ya kimagumashi.Shahada nafikiri ni MUHAS tu. Ila Stashahada ndio vipo takribani vitatu.
Sawa. Nilikuwa sijui kama SUZA nao wanatoa.SUZA pia wanatoa DDS japo ya kimagumashi.
Hapa mkuu mimi nimekuelewa hiviEbu soma vizuri hapo kweny boksi jekundu unisaidie na mimi kuelewaView attachment 3042285
Ndiyo ilikuwa nikiingia my application nakutana na MDA na LGAUlivotuma maombi siku hy hy uliona ipo received?
Apply ikugomee yenyewe, mwisho ndio keshoSijui niapply tena
Ni sahihi ila hadi watakapowaambia mbadili anwani au watawaambia kila mtu namna alivyojaza anwani ndipo atakapofanyia usahiliHapa mkuu mimi nimekuelewa hivi
Mfano wakati natuma maombi ya ajira ile sehemu ya personal details nikijaza Dodoma
Then wakapitia barua yangu na kuona nafaa kufanyiwa usahili
Kabla ya usahili kufanyika naweza kuwa na nafasi ya kutaka nifanyie wapi kwa hiyo naweza badili anuani ya dodoma nikajaza Tabora
Hivyo interview nikafanyia Tabora, I hope niko sahihi? au kichwa changu kigumu
Omba tuu mzee wanguSijui niapply tena
Ok Mwifa na wanajumuia wengina nina swali kwenu kwenye mfumo kwa wale ambao tupo kwenye mabaraza na tuna leseni kuna sehemu ya proffesional qualification ambapo tunapaswa kuiattach leseni.Ni sahihi ila hadi watakapowaambia mbadili anwani au watawaambia kila mtu namna alivyojaza anwani ndipo atakapofanyia usahili