TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

Wakuu, ikiwa unataka kuapply kazi mbili tofauti, ukisha apply kazi ya kwanza kwenye kipengele cha CV, ile CV unadelete au unaedit ? Ili uweke CV ya kazi ya pili.

Mwifwa
Mkuu cv uliyoandika automatic kwenye mfumo ndiyo wanayoitumia kwa kila kazi unayoomba kwa kuangalia kozi uliyosoma
Achana na mambo ya kuangaika kuattach cv tofauti na uliyojaza kwenye mfumo automaic hawana muda nayo

Mimi akaunt yangu ina miaka 5 sijawahi weka cv yoyote tofauti na ile automatic ya ajiraportal ambayo tunajazia umo
na application zote ninazotuma naitwa
 
😂😂😂
Wakuu, kama nitakuwa sahihi bc nadhani sasa hv ajira zimetoka sana labla kutokana na uchaguzi, sasa wakuu ikifika 2025 miezi ya katikati hapo kama bado tutakuwa hatuna salary slip aisee turudi nyumban Kwa wazazi wetu wakatushike kichwa 😎
😂😂😂 This is golden year
 
Screenshot_20240826-084212.jpg
 
Unafurahia taabu za watoto wa wakulima ambao wamehitimu miaka mingi iliyopita na wenzao waliohitimu nao wamepata ajira zamani kiurahisi ila wenyewe wanakuja kuambulia interview na uhakika wa kupata ajira haupo... wengine wameamua kuendelea na biashara ndogo ndogo na wengine kutokana na umri kwenda walianzisha familia wengine ni wajawazito , wengine wako labour muda huu , wengine hiyo siku ya interview watakuwa labour, wengine Wana watoto wachanga sasa sijui unachofurahia we ni kitu gani..we ni kama vile ushamaliza Kila kitu ndo maana nakuuliza unawatoto ambao siku moja watafanya interview au labda unamiradi tyr na pesa umewekeza Kwa ajili ya watoto wako..
Mimi nadhani wewe ndo hujielewi hapa,unahisi waliosoma kada zingine tofauti na hao walimu na manesi ni manyumbu? Wafanyishwe tu usaili ila walimu na manesi wapite tu kitonga? hizo changamoto ulizisema hapo wanapitia wote bila kujali kasoma taaluma gani? Na wote fanilia ni zile zile tu ,kusoma ualimu au afya ni mapenzi ya mtu wala haimtafsiri kwamba kada zingine za watu wanaotoka kipato cha juu ila kada za elimu na afya ni wakulima

Acha mawazo kizamani hayo
 
Hiyo furaha Yako itagusa na kutembelea vizazi vyetu wote pamoja na ww ukiwemo na hali itazidi Kuwa mbaya zaid miaka inavoenda we furahia tu
Unazingua ww acha kila kada washindanishwe kama wengine,nowadays graduate ni wenge, nafasi ni chache lazima mshindane kwa usaili kupata nafasi

Zile za sandakarawe Tamisemi watu walilalamika urasimu mwingi kwa kuwa wanapanga kimya kimya, hujui kigezo gani kimetumika kumpa na kunwacha huyu
Kwa sasa anayefaulu usaili ndio mshindi na uliyefeli hutolalamika kuonewa kwa kuwa usaili umdkupiga ndoige
 
Unafurahia taabu za watoto wa wakulima ambao wamehitimu miaka mingi iliyopita na wenzao waliohitimu nao wamepata ajira zamani kiurahisi ila wenyewe wanakuja kuambulia interview na uhakika wa kupata ajira haupo... wengine wameamua kuendelea na biashara ndogo ndogo na wengine kutokana na umri kwenda walianzisha familia wengine ni wajawazito , wengine wako labour muda huu , wengine hiyo siku ya interview watakuwa labour, wengine Wana watoto wachanga sasa sijui unachofurahia we ni kitu gani..we ni kama vile ushamaliza Kila kitu ndo maana nakuuliza unawatoto ambao siku moja watafanya interview au labda unamiradi tyr na pesa umewekeza Kwa ajili ya watoto wako..
Wote mnafanya usaili hakuna cha umemaliza lini, tulieni mfanye usaili safari h hakuna beba beba hovyo.

Safi sana utumishi 😂
 
Mimi nadhani wewe ndo hujielewi hapa,unahisi waliosoma kada zingine tofauti na hao walimu na manesi ni manyumbu? Wafanyishwe tu usaili ila walimu na manesi wapite tu kitonga? hizo changamoto ulizisema hapo wanapitia wote bila kujali kasoma taaluma gani? Na wote fanilia ni zile zile tu ,kusoma ualimu au afya ni mapenzi ya mtu wala haimtafsiri kwamba kada zingine za watu wanaotoka kipato cha juu ila kada za elimu na afya ni wakulima

Acha mawazo kizamani hayo
Hawa wapuuzi wanajiona special sana kwamba wao hawatakiwi kufanya Interview.


Utumishi shikilieni hapo hapo, wakimaliza Written interview wafanye na practical then oral interview 🔥🔥
 
Back
Top Bottom