cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu watajinyonga kisa huu usaili [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu watajinyonga kisa huu usaili [emoji23]
Nahis hujanielewa issue sio kuomba Bali Kuna umuhimu Gani kuwapeleka watu sehemu walizoombea kufanya kazi kwenda kufanya interview tu Kisha kuwarudisha nyumbn wasubiri matokeo? Kwann wasimalize hapo hapo walipofanyia mitihani wa kuandika?Si uliomba mwenyewe
Usiseme walipoajiriwa,sema wanapotakiwa kwenda kufanyia usaili.....hili nimeliona kwenye kada ya elimu pia!Kwa mnaofanya Oral interview tu mkaangalie Account zenu kipengele Cha my application Sehemu ya Employer mtaona mlipoajiriwa.
Kada ya elimu?,Usiseme walipoajiriwa,sema wanapotakiwa kwenda kufanyia usaili.....hili nimeliona kwenye kada ya elimu pia!
Hawajatoa majina,ila mwanzoni wakati wanatuma maombi hiyo sehemu ya my applications EMPLOYER alikuwa anasomeka MDAs&LGAs......lakini tangu jana employer kabadilka kawa mkoa husika ,mfano EMPLOYER:mkoa wa kigoma.Kada ya elimu?,
Wametoa majina ya usaili pia?
NimekusomaHawajatoa majina,ila mwanzoni wakati wanatuma maombi hiyo sehemu ya my applications EMPLOYER alikuwa anasomeka MDAs&LGAs......lakini tangu jana employer kabadilka kawa mkoa husika ,mfano EMPLOYER:mkoa wa kigoma.
Duh sasa kama umeomba masomo mawili na waajiri n mikoa miwili tofauti hapo itakuaje?Hawajatoa majina,ila mwanzoni wakati wanatuma maombi hiyo sehemu ya my applications EMPLOYER alikuwa anasomeka MDAs&LGAs......lakini tangu jana employer kabadilka kawa mkoa husika ,mfano EMPLOYER:mkoa wa kigoma.
Hiyo ina maana gani ?Ndiyo EMPLOYER imebadilika from MDA's and LGA's to EMPLOYER Mkoa X
Hii change ni kwa applicants wote au itakuwa the selected few?Hawajatoa majina,ila mwanzoni wakati wanatuma maombi hiyo sehemu ya my applications EMPLOYER alikuwa anasomeka MDAs&LGAs......lakini tangu jana employer kabadilka kawa mkoa husika ,mfano EMPLOYER:mkoa wa kigoma.
Wote walioitwa kwenye intaviuuHii change ni kwa applicants wote au itakuwa the selected few?
Mbona hawajatoa mkeka wa walimu ?Wote walioitwa kwenye intaviuu
Sawa hawa walimu walioitwa Mbeya na Lindi si itakuwa patashikaWote walioitwa kwenye intaviuu
KwannSawa hawa walimu walioitwa Mbeya na Lindi si itakuwa patashika
Imeandikwa mikoa miwili tofauti!Duh sasa kama umeomba masomo mawili na waajiri n mikoa miwili tofauti hapo itakuaje?
Utaajiriwa sehemu moja wapo kati ya hizo mbili.Imeandikwa mikoa miwili tofauti!
Ni baada ya kufaulu usaili wa somo husika katika mkoa husikaUtaajiriwa sehemu moja wapo kati ya hizo mbili.
Masomo mawili tofauti kwenye mikoa miwili tofauti. Kila somo na mkoa wake.Imeandikwa mikoa miwili tofauti!
Ndio ipo hivyoMasomo mawili tofauti kwenye mikoa miwili tofauti. Kila somo na mkoa wake.
Soma tangazo vizuri! Usaili utafanya unapoishi kwa sasa! Kama uliandika upo dodoma utafanyia dodoma! They considered you are currently addressNahis hujanielewa issue sio kuomba Bali Kuna umuhimu Gani kuwapeleka watu sehemu walizoombea kufanya kazi kwenda kufanya interview tu Kisha kuwarudisha nyumbn wasubiri matokeo? Kwann wasimalize hapo hapo walipofanyia mitihani wa kuandika?
Aisee ni hatari sanaHawajatoa majina,ila mwanzoni wakati wanatuma maombi hiyo sehemu ya my applications EMPLOYER alikuwa anasomeka MDAs&LGAs......lakini tangu jana employer kabadilka kawa mkoa husika ,mfano EMPLOYER:mkoa wa kigoma.