Hypershulemia
JF-Expert Member
- May 19, 2021
- 275
- 841
Husika na kichwa cha uzi hapo juu, nataka kujua ni lini watatoa hizo selection, maana nimesikia watoto wanaanza masomo mwezi June.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli watoe mapema, tujue namna ya kufanya maandalizi haraka iwezekanavyo!Wakitoa mtuambie mwe
Andaa hela ya madaftari na uniforms na mazaga mengine wakitoa hata leo unakua freshHusika na kichwa cha uzi hapo juu, nataka kujua ni lini watatoa hizo selection, maana nimesikia watoto wanaanza masomo mwezi june....
Tunaendelea kuvuta subra ndugu.Vuteni subira wakubwa zao wamalize paper
Nunua vyote ila mashati subiri maaan unaweza nunua ya mikono mifupi afi kumbe wanavaaa ya mikono mirefu😅😅😅Hili jambo tulikua tunajadili hapa na wife, tulicho kiamua ni tununue mashati meupe 2 pairs each, viatu vyeusi 2 pairs each, tranka 1 box each, counter books qure four 10 pcs each, school bags 1 each, sox nyeupe 5 pairs each, sox nueusi 3 pairs each, calculator 1 each na mengineyo.
Sasa tunasubiri selections zikitoka maana yake tuna nunua skirts kwa binti na trousers kwa kijana accordingly....
Nimenunua ya mikono mirefu, ili wakisema ziwe za mikono fupu basi nikukata tuNunua vyote ila mashati subiri maaan unaweza nunua ya mikono mifupi afi kumbe wanavaaa ya mikono mirefu😅😅😅
Daaah😀😀😀😀Nimenunua ya mikono mirefu, ili wakisema ziwe za mikono fupu basi nikukata tu
Sawa tunashukuruTumetoka bungeni kupitisha bajeti na imepita kwa kishindo, tunaziachia ijumaa.
Are you sure...??Tutaziachia kesho,ondoeni hofu wazazi
Tunasubiri chiefTumetoka bungeni kupitisha bajeti na imepita kwa kishindo, tunaziachia ijumaa.