uchumi2018
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 1,657
- 2,406
Subiri kwanza shule binafsi zipate wateja,wakitosha tutatoaHusika na kichwa cha uzi hapo juu, nataka kujua ni lini watatoa hizo selection, maana nimesikia watoto wanaanza masomo mwezi june....
Husika na kichwa cha uzi hapo juu, nataka kujua ni lini watatoa hizo selection, maana nimesikia watoto wanaanza masomo mwezi june....
Husika na kichwa cha uzi hapo juu, nataka kujua ni lini watatoa hizo selection, maana nimesikia watoto wanaanza masomo mwezi june....
Tayari wapi mkuu??tayari nenda kaangalie
MView attachment 2221381haya mdau kaa mkao wa kura mambo yameiva
mbona nikifingua link ya tamisemi sioni kitu, naomba nisaidie linktayari nenda kaangalie
Same here mazee....M
mbona nikifingua link ya tamisemi sioni kitu, naomba nisaidie link
Bado hujaona mpaka sasa?Same here mazee....
Mwenye udambwi udambwi atudondoshee wakuu
Yalishatoka lakini mtandao uko busy sana mkuu. Hivi mtu ukitaka kuangalia kwenye simu unafanyaje? Please assist.Wakitoa mtuambie mwe
Tayari mkuu...Bado hujaona mpaka sasa?
Lete jina nikuangalizie mkuuYalishatoka lakini mtandao uko busy sana mkuu. Hivi mtu ukitaka kuangalia kwenye simu unafanyaje? Please assist.
Wamesha weka mkuuKule tamisemi hawajaweka link sijui shida ni nn?
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Nashukuru, tayari nishaona mkuuBado hujaona mpaka sasa?
Vp kuhusu join instructions?!Nashukuru, tayari nishaona mkuu