saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Mabuti ya kijeshi uyaone mafupi mepesi/TAMISEMI ni wizara kubwa sana yenyewe tu ni serikali inayojitegemea, waziri ninayemwona kuifaa ni Ummy Mwalimu. Huyu mama yuko makini hacheki makima yaliyojaa halmashauri. Mwingine profesa Ndalichako. Mama ana ugomvi na Ndalichako? Hakuna waziri mwanaume wa kumpeleka TAMISEMI wamejaa uroho na rushwa
Yeye ni mpiga debe aka chawa-mkali aka kunguni-msafi.Vipi wewe hufai kuwa waziri?
Kwani hajakuwepo hapo Tamisemi mwaka huo wa hii ripoti ya CAG!Tutachukua muda sana kutoka hapa tulipo
Mtu aliyefeli wizara ya afya MSD na NHIF kumejaa uozo halafu useme apelekwe TAMISEMI?
Ummy labda umsifie kwa kiswahili kingi lakini sio utendaji.
Katika watu ambao hawafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji ni Ndalichako.... na inaniuma sana cheti changu cha form four kuwa na sahihi yakeTAMISEMI ni wizara kubwa sana yenyewe tu ni serikali inayojitegemea, waziri ninayemwona kuifaa ni Ummy Mwalimu. Huyu mama yuko makini hacheki makima yaliyojaa halmashauri. Mwingine profesa Ndalichako. Mama ana ugomvi na Ndalichako? Hakuna waziri mwanaume wa kumpeleka TAMISEMI wamejaa uroho na rushwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 paka wino hapo kwenye sahii yakeKatika watu ambao hawafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji ni Ndalichako.... na inaniuma sana cheti changu cha form four kuwa na sahihi yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie namkubali sanaa Ndalichako, hadi leo Naumia kutolewa wizara ya Elimu.Katika watu ambao hawafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji ni Ndalichako.... na inaniuma sana cheti changu cha form four kuwa na sahihi yake
Shemponda ilitakiwe iimbike Shekhe Ponda, Hii Ilikua enzi Sheikh Ponda yupo korokoroni.Mabuti ya kijeshi uyaone mafupi mepesi/
Yani kama vile simple toka nduki toka lesi/
Ka risasi ya bunduki au jeti/
No kunyuti no kuketi, wape nafasi wakushoot/
Kama Malcolm X usikubali kubaki/
Uwe pimbi upewe kesi/
Ikibidi jitose ndani ya dimbwi la kinyesi/
Sio suala la uoga,kuogopa ukunguru/
Ila Bora kurogwa kuliko kukosa uhuru/
Wapi Shemponda wapi Jenerali Komba/
Siri Kali Sera Kali cheza mbali na wajomba/
Kimbiaa, mitihani imevuja nyie hamjasikia!?/
Yanini kusoma huku elimu inanunuliwa/
Kimbiaa, Nchi imeshauzwa hii hamna kusikilizia/
TANESCO, Madini Hadi Air Tanzania/
Watoto wa uswazi hawana matumaini/
Ndoto zao ujambazi sababu ya umaskini/
Matapeli wenye shahada kila hatua tatu/
Makahaba wa miaka kumi na tatu/
Maskani kamsitu, vicheche na machatu/
Usipite pekupeku bila kuvaa viatu/
Aaaah Kimbiaaaaaaaa
Rest Easy LANGA (RIP)
Wewe tulia hujaelewa mada maana unaweza ukasema Mbowe ndio kaiba helaKwani hajakuwepo hapo Tamisemi mwaka huo wa hii ripoti ya CAG!
Kaiba hela za maridhiano?! 🤩🤩🤩Wewe tulia hujaelewa mada maana unaweza ukasema Mbowe ndio kaiba hela
Kafanyaje hivo mkuuKatika watu ambao hawafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji ni Ndalichako.... na inaniuma sana cheti changu cha form four kuwa na sahihi yake