Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanunua pikipiki 268 unaletewa 68 tu, tena serikali? Pikipiki zenyewe Chinese? Hakuna shule ya chekechea karibu wawapelekee hii taarifa?Hahahaaaa....... hahahaaaa......!
Akina Tomaso tutaomba tuonyeshwenhizo tukutuku!
Hivi huko serikalini watu ndio mmekuwa vilaza namna hiyo? Kwanini press inaandikwa kiujanja ujanja(kuficha fuchs)? Ningekuwa mimi ningesema aina ya pikipiki na zimenunuliwa wapi na makubaliano zisambazwe by lini, gharama inahusisha hadi usambazaji na zilizosambazwa zimesambazwa maeneo gani na je hicho kiasi chore kimelipwa full au? Yaani pikipiki 268 nazo za kusambaza kwa awamu?? Au ndio kusema mlienda china kutoa oda? Dah Afrika!! Will never reach anymore.Wizara ya TAMISEMI imesahihisha taarifa yake iliyosomwa bungeni leo Aprili 14, 2022 na Waziri wa Wizara hiyo Innocent Bashungwa na kusema kwamba, Pikipiki za maafisa ustawi wa jamii zilizonunuliwa zilikuwa ni 268.
Kupitia taarifa iliyotolewa leo Aprili 14, 2022, na Mkuu wa kitengo cha mawasiliano Serikalini wa wizara hiyo imesema kwamba pikipiki hizo 268 zilinunuliwa kwa thamani ya shilingi milioni 789.9 na zilizosambazwa kwa awamu ya kwanza kwenye mamlaka za Serikali za Mitaa zilikuwa 68.
Thread 'Serikali yanunua Pikipiki 68 kwa milioni 789.8. Hizi ni aina gani za pikipiki?' Serikali yanunua Pikipiki 68 kwa milioni 789.8. Hizi ni aina gani za pikipiki?
View attachment 2187960
Chanzo: TAMISEMI
Kwa press hiyo kwani hujapigwa tu. Press kama ya chama cha ADC😁Walitaka watupige, bahati yetu
Hivi lazima waibe pesa nyingi hivyo?Uongo mtupu na hata kama ingekua ni kweli boxxer moja ni 2.4 means waziri kapiga cha juu 134,000,000.
Ndizo zinatumika kuomba mirungura kwa jina la mafutaMaafisa kilimo wanapikipiki, maafisa elimu pia, maafisa ustawi pia. Mabosi zao maafisa watendaji kata wanatembea chini
Ununuzi wa serikali una mambo mengi, huenda hizo gharama ni pamoja na za mawakala wa kati 'middle men' kwenye kufanikisha hiyo tenda.Pamoja na huo ujanja ujanja wa kujaribu kurekebisha takwimu ili kuficha huo wizi, bado upigaji unaonekana wazi, yaani piki piki ya boxer imenunuliwa kwa wastani wa milioni 3.
Ukienda leo dukani kununua reja reja pikipiki mpya ya Boxer inauzwa kwa wastani wa shilingi 2.5m, na kwa jumla pikipiki moja inauzwa kwa wastani wa shilingi 2m.
Sasa najiuliza kwa nini manunuzi ya serikali yanakuwa ya gharama kubwa?
Walichovya wakasikilizia, waaa!Wizara ya TAMISEMI imesahihisha taarifa yake iliyosomwa bungeni leo Aprili 14, 2022 na Waziri wa Wizara hiyo Innocent Bashungwa na kusema kwamba, Pikipiki za maafisa ustawi wa jamii zilizonunuliwa zilikuwa ni 268.
Kupitia taarifa iliyotolewa leo Aprili 14, 2022, na Mkuu wa kitengo cha mawasiliano Serikalini wa wizara hiyo imesema kwamba pikipiki hizo 268 zilinunuliwa kwa thamani ya shilingi milioni 789.9 na zilizosambazwa kwa awamu ya kwanza kwenye mamlaka za Serikali za Mitaa zilikuwa 68.
Thread 'Serikali yanunua Pikipiki 68 kwa milioni 789.8. Hizi ni aina gani za pikipiki?' Serikali yanunua Pikipiki 68 kwa milioni 789.8. Hizi ni aina gani za pikipiki?
View attachment 2187960
Chanzo: TAMISEMI
Wangenunua magari ya umeme ya KipanyaSerikali yanunua Pikipiki 68 kwa milioni 789.8.
Ina maana serikali imenunulia maafisa wake tonda?????Kwa hiyo sasa imetoka 11m mpaka 2.9m...bachi nyingine inaletwa lini?
CAG ni vilaza na boss wao hovyo tu, Wana force kuandika wanayoona yatafurahisha wasomaji, hawana tofauti na gazeti la UWAZI au magazeti ya MUSIBA. mbwembwe sanaWizara ya TAMISEMI imesahihisha taarifa yake iliyosomwa bungeni leo Aprili 14, 2022 na Waziri wa Wizara hiyo Innocent Bashungwa na kusema kwamba, Pikipiki za maafisa ustawi wa jamii zilizonunuliwa zilikuwa ni 268.
Kupitia taarifa iliyotolewa leo Aprili 14, 2022, na Mkuu wa kitengo cha mawasiliano Serikalini wa wizara hiyo imesema kwamba pikipiki hizo 268 zilinunuliwa kwa thamani ya shilingi milioni 789.9 na zilizosambazwa kwa awamu ya kwanza kwenye mamlaka za Serikali za Mitaa zilikuwa 68.
Thread 'Serikali yanunua Pikipiki 68 kwa milioni 789.8. Hizi ni aina gani za pikipiki?' Serikali yanunua Pikipiki 68 kwa milioni 789.8. Hizi ni aina gani za pikipiki?
View attachment 2187960
Chanzo: TAMISEMI
Urefu wa kamba ndio unazingatiwaHii mijitu mijizi isiyo na aibu.
Yaani pikipiki 260 uuziwe kwa bei kubwa kwa kila moja kuliko anayenunua moja kwa rejareja huku ukinunua kuanzia 10 tu unauziwa kwa bei ya jumla
Anasema piki² 1 kununuliwa kwa tsh.11m sio sahihi.
.
Ila Hasemi kwamba hizo piki² 68 zilizosambazwa kwa awamu ya kwanza zilinunuliwa kwa kiasi Gani.
.
Acha wale asali bila mipaka ya urefu wa Kamba Yao.