TAMISEMI yafafanua taarifa ya kununua pikipiki 68 kwa Tsh milioni 789

TAMISEMI yafafanua taarifa ya kununua pikipiki 68 kwa Tsh milioni 789

Itakuwa pikipiki za yundahi yokahama au !

tanzania hii .ccm tukiisema humu jf uzi unafutwa .yani jf ccm mnakazi
 
Wizara ya TAMISEMI imesahihisha taarifa yake iliyosomwa bungeni leo Aprili 14, 2022 na Waziri wa Wizara hiyo Innocent Bashungwa na kusema kwamba, Pikipiki za maafisa ustawi wa jamii zilizonunuliwa zilikuwa ni 268.

Kupitia taarifa iliyotolewa leo Aprili 14, 2022, na Mkuu wa kitengo cha mawasiliano Serikalini wa wizara hiyo imesema kwamba pikipiki hizo 268 zilinunuliwa kwa thamani ya shilingi milioni 789.9 na zilizosambazwa kwa awamu ya kwanza kwenye mamlaka za Serikali za Mitaa zilikuwa 68.

Thread 'Serikali yanunua Pikipiki 68 kwa milioni 789.8. Hizi ni aina gani za pikipiki?' Serikali yanunua Pikipiki 68 kwa milioni 789.8. Hizi ni aina gani za pikipiki?

View attachment 2187960


Chanzo: TAMISEMI
Hivi huko serikalini watu ndio mmekuwa vilaza namna hiyo? Kwanini press inaandikwa kiujanja ujanja(kuficha fuchs)? Ningekuwa mimi ningesema aina ya pikipiki na zimenunuliwa wapi na makubaliano zisambazwe by lini, gharama inahusisha hadi usambazaji na zilizosambazwa zimesambazwa maeneo gani na je hicho kiasi chore kimelipwa full au? Yaani pikipiki 268 nazo za kusambaza kwa awamu?? Au ndio kusema mlienda china kutoa oda? Dah Afrika!! Will never reach anymore.

Mbona Bashe kagawa pikipiki 6000+ siku moja au? Why press iache maswali mengi badala ya kuwa toshelevu?
 
Pamoja na huo ujanja ujanja wa kujaribu kurekebisha takwimu ili kuficha huo wizi, bado upigaji unaonekana wazi, yaani piki piki ya boxer imenunuliwa kwa wastani wa milioni 3.
Ukienda leo dukani kununua reja reja pikipiki mpya ya Boxer inauzwa kwa wastani wa shilingi 2.5m, na kwa jumla pikipiki moja inauzwa kwa wastani wa shilingi 2m.

Sasa najiuliza kwa nini manunuzi ya serikali yanakuwa ya gharama kubwa?
Ununuzi wa serikali una mambo mengi, huenda hizo gharama ni pamoja na za mawakala wa kati 'middle men' kwenye kufanikisha hiyo tenda.
 
Wizara ya TAMISEMI imesahihisha taarifa yake iliyosomwa bungeni leo Aprili 14, 2022 na Waziri wa Wizara hiyo Innocent Bashungwa na kusema kwamba, Pikipiki za maafisa ustawi wa jamii zilizonunuliwa zilikuwa ni 268.

Kupitia taarifa iliyotolewa leo Aprili 14, 2022, na Mkuu wa kitengo cha mawasiliano Serikalini wa wizara hiyo imesema kwamba pikipiki hizo 268 zilinunuliwa kwa thamani ya shilingi milioni 789.9 na zilizosambazwa kwa awamu ya kwanza kwenye mamlaka za Serikali za Mitaa zilikuwa 68.

Thread 'Serikali yanunua Pikipiki 68 kwa milioni 789.8. Hizi ni aina gani za pikipiki?' Serikali yanunua Pikipiki 68 kwa milioni 789.8. Hizi ni aina gani za pikipiki?

View attachment 2187960


Chanzo: TAMISEMI
Walichovya wakasikilizia, waaa!
 
So hapo pikipiki zinakuwa zimenunuliwa kwa 2.9M
 
Wizara ya TAMISEMI imesahihisha taarifa yake iliyosomwa bungeni leo Aprili 14, 2022 na Waziri wa Wizara hiyo Innocent Bashungwa na kusema kwamba, Pikipiki za maafisa ustawi wa jamii zilizonunuliwa zilikuwa ni 268.

Kupitia taarifa iliyotolewa leo Aprili 14, 2022, na Mkuu wa kitengo cha mawasiliano Serikalini wa wizara hiyo imesema kwamba pikipiki hizo 268 zilinunuliwa kwa thamani ya shilingi milioni 789.9 na zilizosambazwa kwa awamu ya kwanza kwenye mamlaka za Serikali za Mitaa zilikuwa 68.

Thread 'Serikali yanunua Pikipiki 68 kwa milioni 789.8. Hizi ni aina gani za pikipiki?' Serikali yanunua Pikipiki 68 kwa milioni 789.8. Hizi ni aina gani za pikipiki?

View attachment 2187960


Chanzo: TAMISEMI
CAG ni vilaza na boss wao hovyo tu, Wana force kuandika wanayoona yatafurahisha wasomaji, hawana tofauti na gazeti la UWAZI au magazeti ya MUSIBA. mbwembwe sana
 
Hii mijitu mijizi isiyo na aibu.
Yaani pikipiki 260 uuziwe kwa bei kubwa kwa kila moja kuliko anayenunua moja kwa rejareja huku ukinunua kuanzia 10 tu unauziwa kwa bei ya jumla
Urefu wa kamba ndio unazingatiwa
 
Anasema piki² 1 kununuliwa kwa tsh.11m sio sahihi.
.
Ila Hasemi kwamba hizo piki² 68 zilizosambazwa kwa awamu ya kwanza zilinunuliwa kwa kiasi Gani.
.
Acha wale asali bila mipaka ya urefu wa Kamba Yao.

Acha walambe asali jamani
 
Back
Top Bottom