Mhabarishaji
JF-Expert Member
- Oct 5, 2010
- 1,007
- 600
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu awabaliki sana kwa kukubali kiaina.......
Kweli wewe ni "NAPITA", nakuona umepita tu hapa na kutoa comment, bila kusoma tamko lote.
Mkuu, sasa unafikiri watasema nini wakati hayo majina hawakupeleka? Kuendelea kujadili uzi huu ni kupoteza mudaWaheshimiwa Watumishi wa Bwan, Nadhani kukaa kwenu kimya na kwa nukuu mliyotuonyesha haiwezi kuwa jibu sahii la kuiponya nchi yetu. Kwa vile Ikulu imeshawakana kwamba hamkuwasilisha majina kwa wakati ni bora maksema Ukweli.
Kumbukeni Mtumishi mwenzenu, Mzee Nathani aliposikia uovu uliotendwa na Mfalme Daudi hakukaa kimya kwa madai kama yenu kwamba hampaswi kuufunua uchi wa Baba mzazi. Ebu wasaidieni Watanzania na waumuni wote wajue ukweli wa nini kilichojiri. Siamini kabisa kwamba mnasema uongo, ni vema mngenyamza kabisa kuliko kulalamika halafu kisha mkatusomea mstari mmoja wa Biblia kwamba hataufunua uchi wa mzazi wenu. Ili kutibu majeraha yenu na sisi wafuasi wenu ni afya mkisema ukweli ili wahusika wafike mahali waombe radhi na kusameheana hadharani
Serikali yetu ni makini na sikivu. Nimjuavyo JK, asingeacha bila kuwateua maana anawaheshimu sana viongozi wa diniSerikali inakijua inachofanya kweli!
Ushauri mzuri japo sikubaliani na mambo uliyoeleza kuhusu ccmIts over,
Pentecoste let it go,
Besides hata sisi answar sunnah tulipeleka yetu lakini hayajachaguliwa,tena bora hayachaguliwa,kwa maana naona hao waliochaguliwa washaanza kulalama posho haitoshi,na CCM keshaweka mkono wake hapo,hata mngekwenda mngejidhalilisha tuh
Nendeni mkaendelee na ibada zenu tuh,forget about it.