Tamko la Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste (PCT) kumjibu Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi

Tamko la Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste (PCT) kumjibu Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi

Bora hawakuenda wakati wa dua ya kuliombea bunge wao wangeanza kuomba ilesara yao ya sarabhakundharabha kundarabhakundarabhahondanasuzukihondanasuzukihondanasuzukikawasakikawasakiyamahayamahayashikayashikaurabhasechanabakuryaurabhasechanabhakuryaaaa
 
Ni kweli hata wao wanajua hilo. Lakini mimi tatizo langu hasa halikuwa nani kasema nini. Langu lilikuwa ile haki iliyopotea inakuja kwa kukubali yaishe?

Hivi bado kuna wanoamini kuwa usawa unaombwa? Hakuna heshima ya bei rahisi.

Hawajakubali yaishe, ila wanajua ikulu haitakubali kosa. Kwa kauli yao wameamua kuuambia umma kuwa ikulu inayokaliwa na ccm ni waongo na wachakachuaji. Akili mu kichwa.
 
Kwa kusema kuwa taarifa za ikulu hazikuwa za ukweli tayari mmeshafunua utupu wa baba... Mkatubu
 
Kwa kusema kuwa taarifa za ikulu hazikuwa za ukweli tayari mmeshafunua utupu wa baba... Mkatubu

Ha ha haaa! Umeonaee. Ila wamefunua halfway. Katika mchango wangu mwingine nimesema ikulu ime.tu.ka.nwa
 
Hivi mwaka 2015 kutakuwa na Serikali nyingine zaidi ya CCM?? maana serikali ya CCM inajua vilivyo jinsi wananchi wake wasivyoelewa mambo mengi kwa sababu wao ndio waliowapa Elimu mashuleni kwa miaka 50 .... Na jambo watu wanashabikia tu bila hata kuelewa... CCM mmetisha sana... Mwaveja sana...
 
Sijawahi kuwaamini walokole hata mara moja.

Wengi wao ni waganga njaa na waongo.
 
Ulokole ni janga jingine ktk dunia. kama IKURU ni baba yao ikowapi maana ya andiko lisemalo, karipia na kuonya mtu asiuzarau ujana wako.
 
Kama kweli wanaogopa kufunua 'uchi' wa baba sasa kwa nini walifunua 'uchi' mara ya kwanza pale walipokwenda kuilaani serikali kuwa ina ubaguzi wa kidini?

Naunga na wote wanaosema huu ni woga wa wachungaji hao kwa serikali.

Kama walikuwa wanadhani wana haki ya kuwamo kwenye bunge la katiba wangepigana mpaka tone la mwisho la damu Yao na kusimamia ukweli daima!

Kama unamwogopa BINADAMU utapigana na SHETANI?
 
Ki ukweli ktk hili mimi niseme tu sijakubaliana na viongozi wangu wa PCT,kirahisi hivyo kukubali kuletewa
katiba bila uwakilishi wa wapentekoste eti "tunakubali yaishe" ili iweje???? sijapenda'
 
Mimi nafikiri ingekuwa Busara kwa baraza hilo sio kuishia kusema tu tulipeleka majina ya watu tisa. Ila wangeenda mbali kidogo na kusema ni tarih Ngapi walipeleka majina hayo. Ili Serikali ifanye kazi zake kwa kuangalia katika dispatch.

Poleni sana
 
Sijawahi kuwaamini walokole hata mara moja.

Wengi wao ni waganga njaa na waongo.

sasa kama ni waganga njaa na waongo wewe inakuhusu na kukuumiza kitu gani?

walokole nao wanamungu wao,na wewe si una mungu wako?

mtoto wa watu wewe,bila shaka si mchana si usiku mtoto utakuwa si mali kitu
kahtaan njoo umuone mtoto wangu na mimi wa kufikia huyu

wewe wako si Matola?

Wa kwangu mimi huyu hapa

Ngoja nimpige picha mutoto muzuri 😛hoto: 😛hoto:
 
Last edited by a moderator:
Bora hawakuenda wakati wa dua ya kuliombea bunge wao wangeanza kuomba ilesara yao ya sarabhakundharabha kundarabhakundarabhahondanasuzukihondanasuzukihondanasuzukikawasakikawasakiyamahayamahayashikayashikaurabhasechanabakuryaurabhasechanabhakuryaaaa

Angalia usije ukakufuru.
 
sasa kama ni waganga njaa na waongo wewe inakuhusu na kukuumiza kitu gani?

walokole nao wanamungu wao,na wewe si una mungu wako?

mtoto wa watu wewe,bila shaka si mchana si usiku mtoto utakuwa si mali kitu
kahtaan njoo umuone mtoto wangu na mimi wa kufikia huyu

wewe wako si Matola?

Wa kwangu mimi huyu hapa

Ngoja nimpige picha mutoto muzuri 😛hoto: 😛hoto:

Teh teh teh!
Na wewe mkuu umeokota wa kulea!??

Mimi isingekuwa zile bata za mama Matola labda ningeshamuua na Matola!

Lkn kila hasira zikipanda! Mama Matola ananitazama kwa lile jicho la mla kungu!
Na mimi nguvu zinaniisha!
Manake mkuu asikwambie mtu bwana!

Kina mama wa songea wanajua kulea!
Mi mwenzako nakula bata kwa fujo!
 
Last edited by a moderator:
Sijawahi kuwaamini walokole hata mara moja.

Wengi wao ni waganga njaa na waongo.

Walokole ndio wanafanya nchi walau amani iwepo,vinginevyo mngeshachinjana makafiri nyie.Acha kabisa kubeza walokole kwa udhaifu mdogo wa maaskofu wao.HAO JAMAA NI MOTO.
 
Ulokole ni janga jingine ktk dunia. kama IKURU ni baba yao ikowapi maana ya andiko lisemalo, karipia na kuonya mtu asiuzarau ujana wako.

Kosa la maaskofu wao lisiwe sababu ya kukashifu walokole wote.Hakuna nchi ilyopuuza walokole ikawa salama.
 
Teh teh teh!
Na wewe mkuu umeokota wa kulea!??

Mimi isingekuwa zile bata za mama Matola labda ningeshamuua na Matola!

Lkn kila hasira zikipanda! Mama Matola ananitazama kwa lile jicho la mla kungu!
Na mimi nguvu zinaniisha!
Manake mkuu asikwambie mtu bwana!

Kina mama wa songea wanajua kulea!
Mi mwenzako nakula bata kwa fujo!

Mkuu kama wewe ulivyompata wa kumlea Matola na mimi nimejiokotea wangu wa kumlea huyu the invisible

Naahidi kumpa malezi mema kama unayompa Matola.,chochote kile atakacho kwa idhini ya mama yake nitampatia

:baby: :A S 13: :A S 13:
 
Last edited by a moderator:
srkl hii dhaifu kuwasahau ni kugusa tu.....ila nyie kuamua yaishe ndo inaleta ukakasi cnaaaa!!!!
 
Back
Top Bottom