Tamko la Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste (PCT) kumjibu Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi

Tamko la Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste (PCT) kumjibu Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi

Waheshimiwa Watumishi wa Bwan, Nadhani kukaa kwenu kimya na kwa nukuu mliyotuonyesha haiwezi kuwa jibu sahii la kuiponya nchi yetu. Kwa vile Ikulu imeshawakana kwamba hamkuwasilisha majina kwa wakati ni bora maksema Ukweli.

Kumbukeni Mtumishi mwenzenu, Mzee Nathani aliposikia uovu uliotendwa na Mfalme Daudi hakukaa kimya kwa madai kama yenu kwamba hampaswi kuufunua uchi wa Baba mzazi. Ebu wasaidieni Watanzania na waumuni wote wajue ukweli wa nini kilichojiri. Siamini kabisa kwamba mnasema uongo, ni vema mngenyamza kabisa kuliko kulalamika halafu kisha mkatusomea mstari mmoja wa Biblia kwamba hataufunua uchi wa mzazi wenu. Ili kutibu majeraha yenu na sisi wafuasi wenu ni afya mkisema ukweli ili wahusika wafike mahali waombe radhi na kusameheana hadharani

Wamehofia biashara zao haramu zitaanza kufuatiliwa.
 
Wapentekoste, mtaendelea kudharauliwa hadi lini? Kwa nini mnadharauliwa kiasi hiki? Mtafanya nini kuondoa dharau hii? Mnaweza? Lazima mfanye kitu kitakachowaletea ninyi na Mungu wenu heshima!
 
Hilo andiko la kutofunua uchi wa baba mzazi,wamelifasiri visivyo,Biblia hapo haijatoa fumbo,bali inazungumzia baba halisi aliekuzaa.Na uchi unaozungumziwa ni halisi.Biblia haizuii watumishi wa kweli wa Mungu kukosoa serikali,wala haijamzuia mtoto kumkosoa babake,huu ni uoga wa manabii mambole,wasiotaka kuteseka kupigania haki za wanyonge.Wamewafundisha wakristo wa kipentekoste uoga,na waoga wote hawaiingii mbinguni.
 
Imekula kwao. Walidhani watadekezwa Siku zote.
Si ndio wapokeao misaada ya mafisadi?
 
Kwani haya makanisa yapo mangapi tanzania?kama kila kanisa litaingia na muakilishi bungeni si itakuwa viroja,au wanazani kule bungeni watu wanaenda kuimba kwaya?
 
By the way upentekoste sio dini.
Ni dhehebu tu katika wakristo. Nilishangaa katika tamko lao LA mwanzo kujilinganisha na waislam. Ajabu kweli kweli. Hivi ni wapi yesu au wanafunzi wa yesu katika biblia waliasisi u-pentekoste????

Najenga hoja...
 
Shida ya majina ya PCT hakuna jina hata moja linalandana na jina la kigogo yeyote aliyestaafu au alie madarakani...mngekuwa na mtoto, mjomba, au mke wa kigogo mngewakilishwa
 
Waheshimiwa Watumishi wa Bwan, Nadhani kukaa kwenu kimya na kwa nukuu mliyotuonyesha haiwezi kuwa jibu sahii la kuiponya nchi yetu. Kwa vile Ikulu imeshawakana kwamba hamkuwasilisha majina kwa wakati ni bora maksema Ukweli.

Kumbukeni Mtumishi mwenzenu, Mzee Nathani aliposikia uovu uliotendwa na Mfalme Daudi hakukaa kimya kwa madai kama yenu kwamba hampaswi kuufunua uchi wa Baba mzazi. Ebu wasaidieni Watanzania na waumuni wote wajue ukweli wa nini kilichojiri. Siamini kabisa kwamba mnasema uongo, ni vema mngenyamza kabisa kuliko kulalamika halafu kisha mkatusomea mstari mmoja wa Biblia kwamba hataufunua uchi wa mzazi wenu. Ili kutibu majeraha yenu na sisi wafuasi wenu ni afya mkisema ukweli ili wahusika wafike mahali waombe radhi na kusameheana hadharani

Ulitaka waseme nini zaidi ya hicho walichokisema? Mtu yeyote mwenye akili akisoma hilo tamko japo ni fupi anajua kuwa Ikulu ime.tu.ka.nwa.

CC: Elly B; NAPITA
 
Baraza la maaskofu wa kipentecoste lilalamikia ubaguzi katika
1.........

2........

3. Kubaguliwa kwenye maombi ya kumsimika rais

Rais mwenyewe alikuwa anaanguka hovyo tu kabla hata ya kuombewa, sasa hao watu wa upako si watabumbulua mapepo kibao
 
Kumbe ndo maana kanisa katoliki mbali na kuogopwa linaheshimika sana duniani!
 
Ulitaka waseme nini zaidi ya hicho walichokisema? Mtu yeyote mwenye akili akisoma hilo tamko japo ni fupi anajua kuwa Ikulu ime.tu.ka.nwa.

CC: Elly B; NAPITA


Ni kweli hata wao wanajua hilo. Lakini mimi tatizo langu hasa halikuwa nani kasema nini. Langu lilikuwa ile haki iliyopotea inakuja kwa kukubali yaishe?

Hivi bado kuna wanoamini kuwa usawa unaombwa? Hakuna heshima ya bei rahisi.
 
Bunge lenyewe limeshaanza kuwa la hovyo tu linaloakisi UBINAFSI mkubwa uliopo nchini mwetu.
Sijui mkama mngeweza kujitenga na dhambi zinazoendelea huko.
Bora hata hamkupeleka majina yenu
 
Its over,

Pentecoste let it go,

Besides hata sisi answar sunnah tulipeleka yetu lakini hayajachaguliwa,tena bora hayachaguliwa,kwa maana naona hao waliochaguliwa washaanza kulalama posho haitoshi,na CCM keshaweka mkono wake hapo,hata mngekwenda mngejidhalilisha tuh

Nendeni mkaendelee na ibada zenu tuh,forget about it.
Acha unafiki , Amir wetu Kundecha anamwakilisha nani? Wewe ni BAKWATA ndio unaleta mambo yako ya hovyo hapa.....
 
Bora hampo tu maana nisingependa kusikia askofu wa kanisa la pentecost yupo katikati ya watu wanaopigania posho za wajumbe ziongezwe wakati wananchi huko musoma vijijini wanalia njaa wapate japo mahindi ya mlo wa siku
 
Nimesoma msitari wa Walawi 18:7 na kupata ujumbe, ninaimani umeeleweka:

"
Do not dishonor your father by having sexual relations with your mother. She is your mother; do not have relations with her" - Leviticus: 8-7;New International Version.

"The nakedness of thy father, or the nakedness of thy mother, shalt thou not uncover: she is thy mother; thou shalt not uncover her nakedness" - Leviticus: 8-7; King James Version.
.
 
Nimesoma msitari wa Walawi 18:7 na kupata ujumbe, ninaimani umeeleweka:

"
Do not dishonor your father by having sexual relations with your mother. She is your mother; do not have relations with her" - Leviticus: 8-7;New International Version.

"The nakedness of thy father, or the nakedness of thy mother, shalt thou not uncover: she is thy mother; thou shalt not uncover her nakedness" - Leviticus: 8-7; King James Version.
.
So mama ni nani na mtoto ni nani na baba ni nai kati yao hapo?
 
Back
Top Bottom