Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa form ya kugombea Urais ulichukua ukaiweke chini ya godoro?
Hizi ni nasaha au kampeni zilizojaa taswira ya njaa na matumaini ya pongezi za kinafiki.
Kweli makosa ya 2015 ndo Mda wa kuyasahihishaNdugu Wananchi, kwa msisitizo maalum nawaasa wapigakura wote watambue kwamba kiti cha Urais wa kila Taifa siyo chumvi ya kuonjwa kama chumvi imekolea katika Kitoweo na kila mtamani ladha ya mchuzi.
Ujumbe sahihi huu.. kwa muhusika.
Ebwana kumekucha!!!SHIBUDA AZUA BALAA, AWAVAA VIONGOZI WA DINI "ACHENI UNAFKI, HUBIRINI HAKI"
Tutafute namna ya kuvifubaza hivi vyama vyote vinavyoshirikiana na ccm kuwakandamiza wananchi wa TzWalitaka Magufuli apite bila kupingwa! Kweli haya mavyama ya mfukoni haya tabu sana!
Tutafute namna ya kuvifubaza hivi vyama vyote vinavyoshirikiana na ccm kuwakandamiza wananchi wa Tz
Kuna tatizo gani Paschal Mayala kuwa kada wa CCM. Kama ni kweli huo si uchaguzi wake. Mbona wewe ni kada wa CHADEMA. Kuna mtu ana matatizo na ukada wako na CHADEMA. Sisi sote ni Watanzania huru, na tuna uhuru wa kuwa wanachama au kushabikia chama chochote tunachotaka CCM ikiwemo. Kwani ni dhambi kuwa mwanachama na kada wa CCM. CCM na upinzani ni sawa na Simba na Yanga, au vilabu vingine vya michezo, tuna uhuru wa kujiunga na kushabikia kilabu chochote. Kwa hiyo achana na hiyo dhana kuwa kila Mtanzania lazima ashabikie upinzani hasa CHADEMA.Mkuu John Paul Shibuda , karibu sana jf.
P
It is a form of spinning politics.
Andiko refu, na mwandishi anazunguka kuandika alichotumwa kuandika na CCM, wakati ujumbe wake umelenga kusema kidumu chama cha mapinduzi.
Upuuzi mtupu.