ksny
JF-Expert Member
- Mar 30, 2016
- 1,704
- 1,694
Hayo maneno au tamko si la Shibuda. Ni tamko la umoja wa vyama vya upinzani. Ingekuwa ni ya Sjhibuda CHADEMA wanekanusha. Kumbuka CHADEMA ni sehemu ya hilo tamko, sioni kwa nini mashabiki wanashambulia.Haya maneno aliyoongea Shibuda, juzi nimemsikia mgombea urais wa ADC naye kayasema hivyo hivyo. Inafikirisha mgombea wa urais anasema mshindi atakuwa wa chama kingine, kisha anasema hicho chama kingine kinachojaza kisidanganywe na nyomi. Hivyo vyama visivyo na nguvu, vyote vimepangwa na ccm ili kuwaandaa wapinzani wa kweli kuporwa ushindi wao.