Uchaguzi 2020 Tamko la chama cha Julius Malema wa EFF juu ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Malema ni mwanampotevu.
 
Wamwaga damu watatukana kwani ukweli unauma.
Unajifananishaje na Nyerere ewe mmwaga damu za raia wako?
 
Chama kinachoshindwa kutetea watu wake wenyewe kwenye nchi yao leo kinaongelea mambo ya TZ. Nonsense
Unakijua unachoongea?
Unajua kirefu cha EFF na wanachosimamia?
Au damu za watu uliowaua zinakuandama?
 
Amsterdam ameshapeleka kesi kortini. Subirini kuitwa shaurini tu!
 
Eti Wazalendo! Wizi mtupu!!!
 
Hata ukiwauliza wapinzani walete ushahidi wa kuibiwa hawana zaidi watakuletea karatasi za kupigia kura fake!
Hivi neno ushahidi uko wapi ndo the only weapon kuwapiga nalo wanaolalamika?
mengine hayahitaji kujua kusoma bali hata picha zinatosha kujua kitu
 
Unakijua unachoongea?
Unajua kirefu cha EFF na wanachosimamia?
Au damu za watu uliowaua zinakuandama?

Sihiitaji kuwajua ila najua walichoongea ni nonsense. Matamako yao ndo yatabadilisha matokeo?

TZ is a sovereign country haitaingiliwa na nchi yeyote, endeleeni kujipa moyo kama mlivyoamini mtashinda.
 
Hivi neno ushahidi uko wapi ndo the only weapon kuwapiga nalo wanaolalamika?
mengine hayahitaji kujua kusoma bali hata picha zinatosha kujua kitu
Hahahaha poleni wana Malalamiko FC
 
Basi huu ni ushahidi mkubwa mojawapo kwamba kweli mmepoteza kura kihalali, maana hadi watu wenu wa karibu hawakuwapigieni.

Aliyeanzisha utaratibu wa kura kuwa siri ya mpiga-kura mwenyewe, basi aliona mbali sana, na amesaidia kuokoa na kulinda heshima ya ndoa na mahusiano mengi baina ya watu: yaani kudumu na mtu hata kama hukubaliani naye.
 
Hapa hakuna ushahidi hata mmoja. Hizi ni tuhuma tu kama tashwishwi zingine; na ni jambo la kawaida kwa mfa-maji. Mfano: Mtu anaweza kuacha kujipigia kura makusudi, akipata sifuri iwe kisingizio kwamba kuna walakini kwenye mchakato mzima.

Karatasi zinazodaiwa kuwa halisi zinazozagaa mitaaani hazijathibitishwa na mamlaka husika kuwa ndivyo kweli. Wapinzani kukosa majimbo iliyozoeleka kuwa ya wapinzani ni suala la kawaida la kitu kinachoitwa mabadiliko. Mabadiliko hayana mazoea, hayadumu -- sifa kuu ya mabadiliko ni kubadilika.
 
Ameshindwa kupambana na mtoto ANC, ataliweza kweli baba lao CCM iliyowapa Uhuru SA? Malema ni kijana ila akili zake za kizee, akiwa mzee lazima awe mchawi!
 
Ata uchaguzi urudiwe mara ya pili siamini kama wapinzani wanaweza kushinda.
 
Ni jambo la kushangaza au kushangazwa.Let we learn.
 
SA watuachie mambo yetu wenyewe. Tuliwasaidia walipokuwa na matatizo sasa basi. Sio wao peke yao bali mataifa yote tuliyoyasaidia kusini mwa Afrika. Shukrani ya punda ni mateke.
 
SA watuachie mambo yetu wenyewe. Tuliwasaidia walipokuwa na matatizo sasa basi. Sio wao peke yao bali mataifa yote tuliyoyasaidia kusini mwa Afrika. Shukrani ya punda ni mateke.

Tuliwasaidia kupata uhuru kutoka kwenye makucha ya makaburu weupe na wao wanayodhima kutusaidia kupata uhuru kutoka kwenye makucha ya makaburu weusi wa CCM.
 

Pia kuna kura hazikuhesabiwa kwa sababu zilikuwa considered zimeharibika. Hata mtu aliyejipigia kura, kama hakufuata maelekezo ya upigaji kura yaliyowekwa, kura yake itahesabika imeharibika!
 
Sawaaa familia yake haikumpigia kura.
Basi wangembakishia hata kura yake mwenyewe nayo pia mmeondoka nayoo?[emoji2960][emoji2960]
 
Hakuna statement ya aina hii,huu ni mwendelezo wa Chadema kuendelea kuipaka matope serikali na kuichafua nchi kwa kuwa wameshindwa.

Nimeongea na mmoja wa wanahama wakongwe wa EFF na amekanisha huu waraka. Home Main - EFF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…