Uchaguzi 2020 Tamko la chama cha Julius Malema wa EFF juu ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Tamko la chama cha Julius Malema wa EFF juu ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Hakuna statement ya aina hii,huu ni mwendelezo wa Chadema kuendelea kuipaka matope serikali na kuichafua nchi kwa kuwa wameshindwa.

Nimeongea na mmoja wa wanahama wakongwe wa EFF na amekanisha huu waraka. Home Main - EFF
Unaota?
Amka wewe uliye usingizini.
Ni mwanachama gani mkongwe wa EFF umeongea naye? Hata hivyo hiyo EFF ina ukongwe gani kabla haujamuita mwanachama wake kuwa ni mkongwe?
Basi utakuwa umeongea na Julius Malema au na Bw. Kenny Kunene
 
Sawaaa familia yake haikumpigia kura .
Basi wangembakishia hata kura yake mwenyewe nayo pia mmeondoka nayoo?
emoji2960.png
emoji2960.png
Nadhani unaijua ile kanuni ya "BEYOND REASONABLE DOUBT." Tutashawishikaje kwamba mhusika hakuacha kujipigia kura makusudi ili afabricate kisingizio kwamba kuna walakini kwenye mchakato mzima.
 
Bado hizo NI dhana .hazizuii kusema ccm waliiba kura.
Haya unataka kusema temeke HAKUNA wafuasi wa CUF?.
Nadhani unaijua ile kanuni ya "BEYOND REASONABLE DOUBT." Tutashawishikaje kwamba mhusika hakuacha kujipigia kura makusudi ili afabricate kisingizio kwamba kuna walakini kwenye mchakato mzima.
 
Back
Top Bottom