Uchaguzi 2020 Tamko la chama cha Julius Malema wa EFF juu ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Tamko la chama cha Julius Malema wa EFF juu ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Ni kweli kuwa CCM ni chama kikongwe Afrika. Kitendo cha vijana wadogo akina Malema na wenzake akina Mbuyiseni Ndlozi kwa kushirikiana na wenzao akina Mnyika na Zitto kutaka kupambana na vyama vikongwe ni utovu wa nidhamu.

Angalia tamko lao kuhusu uchaguzi wa Tanzania lilivyojaa kibri.
View attachment 1618635View attachment 1618636
Hii barua iliandikwa na Lissu akishirikiana na Zitto.
 
Kiburi gani wakati vijana wanapigania kuwepo na uwazi na haki kwa raia?
 
Ni kweli kuwa CCM ni chama kikongwe Afrika. Kitendo cha vijana wadogo akina Malema na wenzake akina Mbuyiseni Ndlozi kwa kushirikiana na wenzao akina Mnyika na Zitto kutaka kupambana na vyama vikongwe ni utovu wa nidhamu.

Angalia tamko lao kuhusu uchaguzi wa Tanzania lilivyojaa kibri.
View attachment 1618635View attachment 1618636
Huu ni uchafu nchini kwetu lazima usafishwe, haiwezekani vitoto vya juzi vinatoa matamko ya hovyo dhidi ya jabali la siasa CCM. Sasa ECONOMIC FREEDOM FIGHTERS ndio ujinga gani? nimesoma mpaka mwisho ni upuuzi, amiri Jeshi ngoja aapishwe waje watueleze huu fighters wanaufanyia wapi.
 
EFF its a joke na nyinyi wahuni wa South mnatoa tamko hahahahahaa umbwaaa
 
Hakuna uchaguzi Mkuu wowote Afrika ambao wapinzani wakuu wamewahi kukiri uchaguzi kuwa huru na haki baada ya kushindwa.

Malema aendelee tu kulumbana na akina Jacob Boy Mamabolo.

Hili la kunyoosha vibaraka atuachie wenyewe!
 
Hata ukiwauliza wapinzani walete ushahidi wa kuibiwa hawana zaidi watakuletea karatasi za kupigia kura fake!
Tume mnalala nayo chamwino,ushahidi gani unataka,utakua umekalia kitu kigumu ulipokua unaandika uharo wako
 
Hata ukiwauliza wapinzani walete ushahidi wa kuibiwa hawana zaidi watakuletea karatasi za kupigia kura fake!
Kumbuka kuna ushahidi wa mazingira na kuna ushahidi wa vielelezo!
Vielelezo tayari wapinzani wanavyo hadi vya picha na video, sema tu havijarushwa hapa sababu ya shinda ya mitandao! Au hukumuona mgombea wa CHADEMA akionyesha moja ya karatasi origional ilotumika kupigia kura ambayo walikamata katika moja ya majimbo hapa bongo?

Ushahidi wa mazingira nao ni mwingi tu:-
1.Rejea mgombea wa CUF jimbo la Temeke ambaye alipata kura 0 (SIFURI) kwenye kituo kwenye kituo ambacho alipiga kura yeye mwenyewe na wanafamilia 7, Na hapakuwa kura hata moja iliyoaharibika, Je hizi kura zote 8 zilienda wapi?

3.Hata riport za baadhi mashirika kama CIP zinaonyesha kwamba wananchi waliojitokeza kupiga kura mwaka huu walikuwa wachache sana,! Je kura milioni 15 zilitoka wapi???

3.Tangu tuanze mfumo wa vyama vingi CCM Zanzbar haikuwahi kushinda kwa Zaidi ya asilimia 69% inapochuana na Maalim Seif Au Seif hakuwahi kupata chini ya asilimia 40, Je kwa kuzingatia hali halisi ilivyokuwa wakati wa kampeni Je wewe unaona yale matokeo ni fair and just?

4.Kwa kuzingatia hali halisi ya kampeni zilivyokuwa na historia halisi ya mikoa kama Dasm, Mbeya,Kilimanjaro, Arusha, Lindi, Mtwara, Iringa,Njombe na Songwe, Je ni Wapinzani wanaweza kukosa jimbo hata moja kwenye mikoa hiyo???

........... Hapa hata bila miwani mbona kila kitu kinaonekana wazi? Tuweni na hofu ya Mungu, ni bora kukaa kimya kuliko kusuport kitu ambacho unajua kabisa si kweli!!!
 
Chama kimeshinda urais kwa 84% halafu kinaogopa kuwaruhusu wapinzani waandamane?
 
Ni kweli kuwa CCM ni chama kikongwe Afrika. Kitendo cha vijana wadogo akina Malema na wenzake akina Mbuyiseni Ndlozi kwa kushirikiana na wenzao akina Mnyika na Zitto kutaka kupambana na vyama vikongwe ni utovu wa nidhamu.

Angalia tamko lao kuhusu uchaguzi wa Tanzania lilivyojaa kibri.
View attachment 1618635View attachment 1618636

Kuparaganyisha nchi hakuhitaji majority ya wananchi. Dar yeye watu million 5 inaweza kuparaganyishwa na watu wasiofika hata laki 5 (10% ya watu wa Dar)!

Malema na wenzake wanapaswa kujifunza Pareto Principle. 80% of problems may be the result of as little as 20% of causes.
 
Hawa jamaa walileta mwangalizi ili awape ukweli? Au wanahukumu kwa kusikiliza upande mmoja?
Upande upi haujasikilizwa? Upande mmoja unadai uchaguzi ulikuwa huru na haki, wa pili unadai uchaguzi ulivurugwa na ushahidi wametoa. EFF wametafakari yote wakatoa msimamo wao.
 
EFF ni kundi la vijana wa Xenophobia huko South Africa. Hilo liko wazi. Hawana moral authority ya kukosoa uchaguzi wetu.
Acha uongo EFF ndo wanao pinga Xenophobia South Africa
Usipende kuongea vitu usivyo vijua

IDIOT
 
Ni kweli kuwa CCM ni chama kikongwe Afrika. Kitendo cha vijana wadogo akina Malema na wenzake akina Mbuyiseni Ndlozi kwa kushirikiana na wenzao akina Mnyika na Zitto kutaka kupambana na vyama vikongwe ni utovu wa nidhamu.

Angalia tamko lao kuhusu uchaguzi wa Tanzania lilivyojaa kibri.
View attachment 1618635View attachment 1618636
Such a nascent political party in South Africa, with no a slight idea of what really happened underground, during Tanzania's elections, has no legitimacy , mandate or justification to comment on the just concluded Tanzania's electioneering process.

They should instead liaise with the incumbent government on the best way to fulfil and serve the aspirations and high expectations of their people, especially, the disadvantaged black Africans.

They should also remind their citizen that their freedom was a results of a concerted efforts, sacrifice and bloodshed of their neighboring countries, so they should refrain from xenophobia's attitude.
 
Chama cha Honourable Malema huko South Africa kinaipelekesha sana Bunge mpaka huruma...




Cc: mahondaw
 
Wizi wa dhahiri na ukiukaji mkubwa wa taratibu za uchaguzi kama ulivyotokea safari hii kwenye uchaguzi wa 28 October, huhitaji kuleta mtazamaji kuweza kujua uharamia uliofanywa.

Awamu hii imeharibu karibia kila kitu. Imeharibu uwekezaji, umeharibu ajira na sasa imeharibu taswira ya nchi kwa ujumla.
Chai sana nchi zetu hizi za kiafrika...sijui ni laana ama, yani jitu linavuruga uchumi, ajira, maisha ya watu, bado hataki kukosolewa as if he has infinite knowledge in everything. It really hurts. We are so lost. Eti uchumi unakuwa, hata aibu hawana.
 
Back
Top Bottom