Uchaguzi 2020 Tamko la chama cha Julius Malema wa EFF juu ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Tamko la chama cha Julius Malema wa EFF juu ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Jiwe ndiye mtu aliyeharibu hiyo nchi kwa kiwango kikubwa sana,historia itamkumbuka sana huyo kiumbe. Kwa sasa ukisema wewe ni Mtized unadharaulika sana tofauti na mwanzo, mwisho wa siku unaanza kusingizia uraia wa nchi nyingine,very shameful
Are you even serious? Afadhali tudharauliwe kwa msimamo wetu wa dhati wa kuijenga nchi yetu, kutunza rasilimali zetu, kudumisha uzalendo wa kweli na siasa ya kujitegemea, kuliko kusifiwa-sifiwa na mabeberu wakati mali zinasombwa na hao jamaa zako kwenda ng'ambo. FYI: Mjiandae kukereka zaidi. Kisiwa kidogo cha Kyuba US ilijaribu, lakini Fidel Castro aliwawekea ngumu hadi wakanyooka mstari. Mimi nampenda sana Dkt. JPM kwa sababu ya misimamo yake thabiti ya kutoamuliwa kila jambo. Huyo ndiye Rais sasa na kiongozi mkuu. Halafu wajiandae kabisa kushindwa kama walivyomshindwa Mr Kiduku wa Korea Kaskazini.
 
Mahesabu ya CCM yame kwenda wrong wizi ni jambo baya sana.
Unapomkabidhi mjinga afanye Jambo lako linalohitaji akili nyingi tegemea unnecessary damages nyingi sana kama hizi za CCM. Ila Kama wewe huna akili utaweza vipi kuchagua wenye akili? Chaguo lako ni matokeo ya uwezo wako wa kufikiri
 
Hata Professor Kaguta museven na Dr. Kagame Hawajawahi Kufanya hiki Kilichotendeka kwenye nchi nzuri aliyotuachia Mwl. Nyerere...CCM Mmetukosea sana Watanzania. Hata huko Nje ukisema unatoka Tanzania kwa sasa ni Very shame.
Tamaa yake ya kulazimisha kupendwa imetuletea aibu.
 
Yaani Magufuli anawaogopa na kuwazimia internet 16% ya watu ambao hawakumpigia kura na kuwaumiza wote including 84% ya Watanzania waliompigia kura? Makes no sense at all.

Kwanini mwaka 2020 na sio 2015? It seems TISS walimwambia mapema kabisa kwamba huwezi kushinda na njia pekee ni kupora mchana kweupe
Eti li Bashiru linasema Wana CCM wasishangilie sana wakawaudhi walioshindwa. Uliona wapi mtoto mwenye division 1 ya halali anaambiwa asishangilie kwa kuwa kuna MTU WA division 0 ataumia?.
 
The country is heavily militarised and the people can't breathe it's only the dictator calls the shots.
 
Eti li Bashiru linasema Wana CCM wasishangilie Sana wakawaudhi walioshindwa. Uliona wapi mtoto mwenye division 1 ya halali anaambiwa asishangilie Kwa kuwa kuna MTU WA division 0 ataumia?.
Rejea bandiko la Askofu Bagonza. Walioshinda hawaamini, walioshindwa hawana furaha.
 
This election is a sham
Wananchi wameidharau CCM zaidi na zaidi. Kimebaki kuwa chama cha utawaa kwa ridhaa ya majeshi na si wananchi
 
Hata ukiwauliza wapinzani walete ushahidi wa kuibiwa hawana zaidi watakuletea karatasi za kupigia kura fake!
Zimetoka wapi hizo, wakati ni nyara ya serikali, tena very confidential!! Huwezi kuwa na ballot paper mtaani. Na hii haijawahi tokea, ni awamu hii tu ndio tumeona ballot paper mtaani. Hata hilo hujaona?
 
EFF ni kundi la vijana wa Xenophobia huko South Africa. Hilo liko wazi. Hawana moral authority ya kukosoa uchaguzi wetu.
Halafu wana mzozo na ANC kwa hiyo wanadhani ni sawa na chama tawala cha Tanzania. Wapuuzi tu hao waswazi. Washughulikie swala la ardhi kwanza kama wana ubavu.
 
Julius Makema,Tundu Lissu, Miguna Miguna hawa ni watoto wa Baba mmoja kwa mama watatu something in common btn them they don't afraid to anybody.....but they all respect human rights and dignity...
 
Lak
Lakini Bwana Polepole kasema juzi kuwa hakuna kura iliyoibwa. NEC pia wametoa taarifa tena safari hii kwa kiingereza ili kuwajulisha mabeberu kuwa hakuna kura iliyokamatwa mtaani ama vinginevyo. Sasa hawa EFF wanapata taarifa kutoka chanzo gani?

Sasa ulitaka Polepole na NEC wasemaje wakubali
 
CCM imetuaibisha sana sana tunaona aibu hata kuitwa watanzania sababu ya aibu ya CCM, mmefanikiwa kuwafanya masikini watanzania sasa mmefanikiwa kuharibu hata image ya nchi kimataifa. Hivi Rais anayechaguliwa kwa wizi anafanya kazi gani na nani atamuamini. Kila anapoonekana watakuwa wanaona wamekutana na mwizi, yaani sasa hivi ikionekana sura yako mtu unakumbuka wizi wa kura jamani hii ni aibu kubwa sana
 
Back
Top Bottom