Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Wangewarudishia kwanza wazawa wa SA ardhi yao iliyoporwa kabla ya kuzungumzia masuala ya Tanzania. Katika uchaguzi huu, endapo wananchi wazalendo wasingeona mbali na kufanya uamuzi mzuri wa kuwakataa hawa vibaraka wa London & Washington, basi nchi yetu ingetumbukia na kuzama kwa mara nyingine tena katika minyororo ya utumwa na kwenye lindi la ukoloni ambamo Rais Magufuli amejitahidi kwa kiasi kikubwa kutunasua na kutunusuru.