Uchaguzi 2020 Tamko la chama cha Julius Malema wa EFF juu ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Tamko la chama cha Julius Malema wa EFF juu ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Sasa kama watz wameamua nyinyi mnataka muwalazimishe kuchagua upinzani? Kwa nini msiende mahakamani? Sasa nyinyi wakati wa kampeni mlikuwa mnahangaika na kuwaeleza watz jinsi utakavyoingia barabarani kupitia beberu Amsterdam. Kama hamjui watz hawapendi kibaraka hata siku moja.
Mbona una akili ndogo hivi, hata wanaowalipa basi wawe wanawapiga msasa kidogo, uchaguzi huru na wa haki wewe unaelewa maana yake ni wapinzani washinde?
Pathetic,
 
Wangewarudishia kwanza wazawa wa SA ardhi yao iliyoporwa kabla ya kuzungumzia masuala ya Tanzania. Katika uchaguzi huu, endapo wananchi wazalendo wasingeona mbali na kufanya uamuzi mzuri wa kuwakataa hawa vibaraka wa London & Washington, basi nchi yetu ingetumbukia na kuzama kwa mara nyingine tena katika minyororo ya utumwa na kwenye lindi la ukoloni, ambamo Rais Magufuli amejitahidi kwa kiasi kikubwa kutunasua na kutunusuru.
Jiwe ndiye mtu aliyeharibu hiyo nchi kwa kiwango kikubwa sana, historia itamkumbuka sana huyo kiumbe. Kwa sasa ukisema wewe ni Mtized unadharaulika sana tofauti na mwanzo, mwisho wa siku unaanza kusingizia uraia wa nchi nyingine, very shameful
 
Wizi walifanya akina mkapa na kikwete lakini huu NI UJAMBAZI KABISA.
Lipumba anasema kuna mbunge wake alikwenda kupiga kura kwenye kituo akiwa na familia yake ya watu 7.
Cha. Ajabu huyo mbunge wake amepata kura 00000000.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Yaani mpaka kura yake watu wamepita nayo.
Sijui tuwaite maharamia sijui tuwaite majangili au wezi washamba!
 
Dunia nzima inapinga mapinduzi ya october 28. CCM imepora dola.

Enzi za siasa maji taka ndio CCM walitumia hiyo propaganda mfu na wewe kwakuwa Ni bendera fuata upepo, ukaibeba kama ilivyo.
 
Sasa kama watz wameamua nyinyi mnataka muwalazimishe kuchagua upinzani? Kwa nini msiende mahakamani? Sasa nyinyi wakati wa kampeni mlikuwa mnahangaika na kuwaeleza watz jinsi utakavyoingia barabarani kupitia beberu Amsterdam. Kama hamjui watz hawapendi kibaraka hata siku moja.
Ovyoooo kabisaa...
 
Hawa akina EFF wanahoji eti mtu kapata 84% ya kibali cha watanzania kuwaongoza, inakuwaje kuwaogopa 16% ya walioshindwa wanapoandamana kwa amani? EFF wametumwa na nani?
Watakuwa wametumwa na HASHIMU RUNGWE..NA LIPUMBA...
 
Watambue watu 12M sio wa kubeza waache maneno yao.

Uchaguzi umeisha sasa tuijenge NCHI.

URT - JPM
SMZ- Mwinyi

CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Back
Top Bottom