Tamko la JK lawaondosha Wanyarwanda Kagera! Waacha ng'ombe, mashamba na nyumba

Tamko la JK lawaondosha Wanyarwanda Kagera! Waacha ng'ombe, mashamba na nyumba

R.B

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
6,296
Reaction score
2,575
Mji wa Biharamulo umeanza kutoa matangazo kwa kutumia magari vijijini kuwaomba Wanyarwanda kuanza kuondoka nchini.

1. Bei za ng'ombe zimeshuka kwa 50% ikizingatiwa Rwanda walishaondoa marufuku ya kuingiza ng'ombe

2.majumba wamewakabidhi baadhi ya ndugu na marafiki wa Kitanzania.

3. Wengine wameaanza kukimbilia Arusha , Dar es salaam na mikoa ya pembezoni mwa Kagera.

Hii ni kutokana na agizo la raisi alilojionea .

Baada ya kushitushwa na escort kubwa ya magari na silaha nzito kuvuka pori la Kasindaga /Burigi Kagera na kuona baadhi ya makundi ya ng'ombe ya Wahima kutoka Rwanda.

Ingawa baada ya kuwaoji wengine wamehusisha na kutokuwepo na mahusiano mazuri bana ya Kagame na Kikwete kuwa ndo sababu ya kurudishwa Rwanda.
 
ujambazi mfanye nyie. lawama wapewe wao majanga .
kuondoka kwao kutapunguza uharibifu wa mazingira. kuna documentary waliwai kuonyesha itv kuhusu uaribifu wa mazingira uko
 
ujambazi mfanye nyie. lawama wapewe wao majanga .
kuondoka kwao kutapunguza uharibifu wa mazingira. kuna documentary waliwai kuonyesha itv kuhusu uaribifu wa mazingira uko

Hivi wewe ni intarahamwe au banyamulenge? Nina shaka na uraia wako
 
Majitu mengine bwana hovyoo kabisa ni ya kuyatoa humu jf rudi fb ndio size yako alafu tunaomba kujua uraia wako pi
Hivi wewe ni intarahamwe au banyamulenge? Nina shaka na uraia wako
 
Mkuu narekebisha c yako ni ya huyo jambazi money stuna sory [QUOTE=Leomimi;6979433]Majitu mengine bwana hovyoo kabisa ni ya kuyatoa humu jf rudi fb ndio size yako alafu tunaomba kujua uraia wako pi[/QUOTE]
 
Duh watz katili sana, kwa nini mnawabagua? Kwani kama ni waharifu wasichukuliwe sheria tu? Kauli ya rais haikuwa nzuri hata kidogo, najua wakimbizi wengi watadhulumiwa malia na haki zao na polisi. Mi nimeishi nje kati ya 2003 to 2007 najua hawa jamaa wanavyohitaji msaada wa kisaikolojia, tusiwatukane na kuwabambikia ubaya.
 
Duh watz katili sana, kwa nini mnawabagua? Kwani kama ni waharifu wasichukuliwe sheria tu? Kauli ya rais haikuwa nzuri hata kidogo, najua wakimbizi wengi watadhulumiwa malia na haki zao na polisi. Mi nimeishi nje kati ya 2003 to 2007 najua hawa jamaa wanavyohitaji msaada wa kisaikolojia, tusiwatukane na kuwabambikia ubaya.
Nyie warwanda ni watu wa ajabu sana yani uanaiona kauri ya jk ni mbaya lakini kauri za rais wenu kagame ni nzuria! Shem on you.
 
Duh watz katili sana, kwa nini mnawabagua? Kwani kama ni waharifu wasichukuliwe sheria tu? Kauli ya rais haikuwa nzuri hata kidogo, najua wakimbizi wengi watadhulumiwa malia na haki zao na polisi. Mi nimeishi nje kati ya 2003 to 2007 najua hawa jamaa wanavyohitaji msaada wa kisaikolojia, tusiwatukane na kuwabambikia ubaya.

Kichwa Maji kabisa wewe!!

Muambie maneno haya Mmwaga damu, dikteta Kagame na umfundishe kuwa mtu wa shukrani kwa Tanzania na Rais Wa Tanzania.-
 
duh watz katili sana, kwa nini mnawabagua? Kwani kama ni waharifu wasichukuliwe sheria tu? Kauli ya rais haikuwa nzuri hata kidogo, najua wakimbizi wengi watadhulumiwa malia na haki zao na polisi. Mi nimeishi nje kati ya 2003 to 2007 najua hawa jamaa wanavyohitaji msaada wa kisaikolojia, tusiwatukane na kuwabambikia ubaya.

najua kagame kapata nguvu ; nyote anawapeleka kongo kupigana na tz -kisa migobole mliyokuwa mnatekea . Wasaidie wanyamlenge wenzako
 
Back
Top Bottom