Tamko la JK lawaondosha Wanyarwanda Kagera! Waacha ng'ombe, mashamba na nyumba

Tamko la JK lawaondosha Wanyarwanda Kagera! Waacha ng'ombe, mashamba na nyumba

Suala sio ubaguzi.
Tunataka waishi nchini kisheria kwa maana ya kwamba:-
  1. Wasajiliwe kama wakimbizi ili wapewe hadhi ya ukimbizi au
  2. Waombe uraia na kuanza kuishi kama Watanzania wengine au
  3. Waombe kibali cha kuishi nchini (work permit) ili waishi kihalali au
  4. Waombe kibali cha kuja nchini kama watalii

Hao anaowaongelea JK hawana hadhi yoyote kati ya hizo tatu hapo juu (wanaishi kinyume na utaratibu), kwa maana kwamba ni wahamiaji haramu, hivyo tunataka warudi kwao. Kama wanataka kuishi nchini basi watimize masharti ya kuishi nchini.

wewe umeongea vizuri na kuelewesha vizuri. ubarikiwe.asante.
lakin wengine wanatukana tu
 
Naamini wanyarwanda watajutia mifugo yao, wamejazana wakifuga maeneo ya vijiji vya Mavota, Nyakayenze, Nyakanazi, Nyantakara, Msalabani,Lusahunga, Runzewe, Nyampalahala...vyote vyapatikana wilayani Biharamulo. Na wanachungia mifugo yao katika pori la hifadhi la Biharamulo japo siku hizi Maliasili wameweka kambi hapo walau imepunguza kasi zao.

Kagame alisahau ihsaan zote na uhuru waliofanyiwa na Tanzania.

Kahama na Mwanza pia wamejaa, ningeshauri uhamiaji wangeanza kusimamisha mabasi na kufanya ukaguzi.

Pale Dar (Ukonga na Kitunda) pia wametapakaa sana, nawajua wengi sana eneo hilo na wamejiimarisha kwa kujenga.

Ukiingia mgodi wa Tulawaka, kwa wale vibarua wanaojishughulisha pale wengi wao ni Wanyarwanda. Wanaoongoza kwa uporaji na kuuliwa na askari wa mgodi huo...wengi wao ni wanyarwanda.

Wanaoongoza utekaji magari na hasa mabasi eneo la mkoa wa Kigoma, Kagera na Geita...ni wanyarwanda. Nimeyashuhudia hayo.

Pale Katoro, wanaoongoza kujishughulisha na pilika za biashara wapo wanyarwanda wengi tu pale. Ukienda kwenye mgodi wa Nyarugusu na pori lote la hifadhi wa mlima kati ya Katoro-Geita...wanaofugia msitu ule ni wanyarwanda.

Ukienda Ilemela kule wanapouza mbao...wanaoingiza na kusafirisha mbao wengi wao ni Wanyarwanda na nawajua sana.

Ukiwa eneo moja katika kijiji cha Mkunkwa pale wilayani Biharamulo...asilimia 50% ni wanyarwanda.

Serikali ingeomba msaada hapa JF tuwaonyeshe mahali zaidi, au ifungue link maalum tuwape muongozo.

duu! hizo sehemu ni ushaidi tosha. nitatuma vijana wangu kuangalia kama kuna haki za binadamu zinavunjwa kwenye zoezi ilo.
 
Duh watz katili sana, kwa nini mnawabagua? Kwani kama ni waharifu wasichukuliwe sheria tu? Kauli ya rais haikuwa nzuri hata kidogo, najua wakimbizi wengi watadhulumiwa malia na haki zao na polisi. Mi nimeishi nje kati ya 2003 to 2007 najua hawa jamaa wanavyohitaji msaada wa kisaikolojia, tusiwatukane na kuwabambikia ubaya.
Hao watutsi ndio sio wakatili wanaoua raia wa kongo bila sababu katika nchi yao? Ngoja tu tuwe wakatili ili tuishi kwa amani kuliko kuishi na watutsi waliojaa hila na roho mbaya na ubaguzi uliokithiri kwa kujiona wao tu ndio wana haki ya kuishi kama binadamu. Tanzania tungekua wakatili tungekua tushawafukuza zamani tu, lakini tumewavumilia sana. Na kwa taarifa yako wanachokifanya Mashariki ya Congo sasa hivi ndo plan yao kufanya hivyo hivyo kwenye mikoa ya Kagera na Kigoma. Wana conspiracy mbaya sana hao watutsi, si watu wa kuwaamini hata kidogo. Kwa ufupi tu ni bora waondoke. Rais wao ndo kalikoroga akidhani Wa TZ ni wajinga..
 
Nyie warwanda ni watu wa ajabu sana yani uanaiona kauri ya jk ni mbaya lakini kauri za rais wenu kagame ni nzuria! Shem on you.
Ndio walivyo hao; yani wanaona raha kuwafanyia wengine mabaya lakini wao wakifanyiwa si kelele hizo! Kwa mfano, watutsi waliwaua wahutu wengi sana huko rwanda wakati wa genocide, na hata sasa wanaendelea kuwaua raia wa DRC kwa kutumia kikundi chao cha m23; lakini kwa jinsi walivyo na akili mbovu wanakataa kabisa kuwa hawapo huko DRC na hawawapi support hao m23....foo.lishness...
 
........Safi sana, fukuza wageni woooote ambao wanaonekana ni tishio kwa Usalama wa wananchi na rasilimali za Tanzania kwa ujumla. Nina imani hiyo timua timua haitaishia kwa Wanyarwanda tu, ningependa kuona baada ya Wanyarwanda pia Wasomali warudishwe kwao ili Bashe, Kinana na Rage waondoke maana hao ni hatari kutokana na vitendo vyao vya kutishiana Bunduki na kuiba Twiga na meno ya tembo.
 
Waache waende kwao na hata Wtz waliopo kule warudi home wasije kunyanyasika bure.
Hata hivyo wa TZ waliopo rwanda washaanza kunyanyaswa muda tu tangu hili zogo lianze. Madereva wa transit wanapata tabu na pia sasa hivi MTanzania ukienda rwanda kama unaishi hotelini once ukitoka tu wanakuja polisi ku search chumba chako! jamani rest assured mkijua kuwa, watutsi si watu wazuri, ingawa kuna wachache wenye tabia za kiutu..
 
:wave:Waende tuu, tuliwapokea na kuwahifadhi wakaishi kama kwao mpaka wakaleta na mifugo yao achilia mbali kujenga nyumba na kuzimiliki licha ya kuwa wakimbizi sasa kiongozi wao ameleta dharau na nyebe, Wacha JK amkate wenge
 
mim ni mtanzania ni vile unijui. pia ni mtetezi wa haki za binadamu.najua awa wageni wanavyopata shida ndio maana ata clinton aliamua kuwapata visa ya miaka 10 kwa kila mnyarwanda anaoingia marekan adi leo.

na kama mnafanya kupunguza ujambaz hao raia wanaowaibia pesa kila siku kwa kutumia pikipik ni wagen pia! !

mim ni mtetez wa haki za binadamu. na shirika langu liko DC
Kama ni mtetezi wa haki za binadamu basi watetee raia wa DRC wanaouliwa na kubakwa na hao watutsi!.. unawatetea waendelee kubaki hapa TZ kwa sababu gani? Si waende kwao rwanda? Kama hujui, wanajikalisha hapa TZ ili mwisho waanze kuleta vurugu wanazozifanya huko DRC ili watimize azma yao ya "Expansionism" na kujenga hima or bahima or tutsi empire. We know all their plans lakini kwa TZ ndo wamefika mwisho wa reli. Warudi kwao. Watu wenye nia njema wanakaribishwa sana TZ lakini sio hao watutsi
 
Mkapa aliwarudisha kwa nguvu ya FFU na JWTZ na helcopta za kivita kutoka Ngara tena wakiwa na silaha nzito hadi wakashangaa baada ya mwanzo kugoma!!! Lakini wanarudi!
 
Suala sio ubaguzi.
Tunataka waishi nchini kisheria kwa maana ya kwamba:-
  1. Wasajiliwe kama wakimbizi ili wapewe hadhi ya ukimbizi au
  2. Waombe uraia na kuanza kuishi kama Watanzania wengine au
  3. Waombe kibali cha kuishi nchini (work permit) ili waishi kihalali au
  4. Waombe kibali cha kuja nchini kama watalii

Hao anaowaongelea JK hawana hadhi yoyote kati ya hizo tatu hapo juu (wanaishi kinyume na utaratibu), kwa maana kwamba ni wahamiaji haramu, hivyo tunataka warudi kwao. Kama wanataka kuishi nchini basi watimize masharti ya kuishi nchini.
Unachosema ni kweli, lakini kwa watu wenye tabia kama za watutsi kwa kweli hawastahili hata kuandikishwa kama wakimbizi katika nchi yetu. Ni watu wasio na shukrani na wenye uchu wa madaraka sana. Utamkaribisha leo kesho anageuza kwake anataka wewe uwe mtumwa wake. Mfano mzuri tu ni hapo rwanda ambapo mhutu anaonekana kama raia wa daraja la pili....mimi naona tu warudi kwao!
 
Unachosema ni kweli, lakini kwa watu wenye tabia kama za watutsi kwa kweli hawastahili hata kuandikishwa kama wakimbizi katika nchi yetu. Ni watu wasio na shukrani na wenye uchu wa madaraka sana. Utamkaribisha leo kesho anageuza kwake anataka wewe uwe mtumwa wake. Mfano mzuri tu ni hapo rwanda ambapo mhutu anaonekana kama raia wa daraja la pili....mimi naona tu warudi kwao!

Ina maana maisha yao kama ya Wasomali? Hayo uliyoyaandika ndiyo yanayotendeka kwa Wasomali waliojaa Mbezi Beach na Ukonga Dar.
 
Hapo namba tatu hapo hilo ni bomu lingine litakalolipuka siku za usoni. Na hivi kila kitu tambarare basi wanajiendea popote tu hawa wahuni.Mbaya zaidi wengi wao wanamiliki silaha za kivita.Ni tatizo kubwa sana ambalo serikali ilifikirie pia wakati wanawaondoa hawa watu kuwarudisha kwao.

Naunga Mkono hoja.
 
Naamini wanyarwanda watajutia mifugo yao, wamejazana wakifuga maeneo ya vijiji vya Mavota, Nyakayenze, Nyakanazi, Nyantakara, Msalabani,Lusahunga, Runzewe, Nyampalahala...vyote vyapatikana wilayani Biharamulo. Na wanachungia mifugo yao katika pori la hifadhi la Biharamulo japo siku hizi Maliasili wameweka kambi hapo walau imepunguza kasi zao.

Kagame alisahau ihsaan zote na uhuru waliofanyiwa na Tanzania.

Kahama na Mwanza pia wamejaa, ningeshauri uhamiaji wangeanza kusimamisha mabasi na kufanya ukaguzi.

Pale Dar (Ukonga na Kitunda) pia wametapakaa sana, nawajua wengi sana eneo hilo na wamejiimarisha kwa kujenga.

Ukiingia mgodi wa Tulawaka, kwa wale vibarua wanaojishughulisha pale wengi wao ni Wanyarwanda. Wanaoongoza kwa uporaji na kuuliwa na askari wa mgodi huo...wengi wao ni wanyarwanda.

Wanaoongoza utekaji magari na hasa mabasi eneo la mkoa wa Kigoma, Kagera na Geita...ni wanyarwanda. Nimeyashuhudia hayo.

Pale Katoro, wanaoongoza kujishughulisha na pilika za biashara wapo wanyarwanda wengi tu pale. Ukienda kwenye mgodi wa Nyarugusu na pori lote la hifadhi wa mlima kati ya Katoro-Geita...wanaofugia msitu ule ni wanyarwanda.

Ukienda Ilemela kule wanapouza mbao...wanaoingiza na kusafirisha mbao wengi wao ni Wanyarwanda na nawajua sana.

Ukiwa eneo moja katika kijiji cha Mkunkwa pale wilayani Biharamulo...asilimia 50% ni wanyarwanda.

Serikali ingeomba msaada hapa JF tuwaonyeshe mahali zaidi, au ifungue link maalum tuwape muongozo.

Mkuu nimekukubali sana, nadhani utakuwa tayari kuisaidia Serikali.
 
Back
Top Bottom