Tamko la JK lawaondosha Wanyarwanda Kagera! Waacha ng'ombe, mashamba na nyumba

Tamko la JK lawaondosha Wanyarwanda Kagera! Waacha ng'ombe, mashamba na nyumba

Jk afanye utaratibu wasifike hata mikoa mingine.
ALEYN Tatizo ni kubwa zaidi, Wapo kila sehemu, mpaka wengine ni wameajiriwa Usalama wa Taifa Tanzania. Wenyewe wanajifanya ni wakazi wa Mkoa wa Kagera, wengine wamejipachika makabila ya Kitanzania wanajiita Wahaya, Wanyambo lakini si kweli. Ila Wahaya na Wanyambo + Wahangaza wanawajua vizuri kuwa ni Watutsi.
 
Last edited by a moderator:
Mji wa biharamulo umeanza kutoa matangazo kwa kutumia magari vijijini kuwaomba wanyarwanda kuanza kuondoka nchini.

1. Bei za ng'ombe zimeshuka kwa 50% ikizingatiwa rwanda walishaondoa marufuku ya kuingiza ngombe

2.majumba wamewakabizi baadhi ya ndugu na marafiki wa kitanzania.

3. Wengine wameaanza kukimbilia arusha , dar es salaam na mikoa ya pembezoni mwa kagera.

Hii ni kutokana na agizo la raisi alilojionea .

Baada ya kushitushwa na escort kubwa ya magari na silaha nzito kuvuka poli la kasindaga /burigi kagera na kuona baadhi ya makundi ya ng'ombe ya wahima kutoka rwanda.

Ingawa baada ya kuwaoji wengine wamehusisha na kutokuwepo na mahusiano mazuri bana ya kagame na kikwete kuwa ndo sababu ya kurudishwa rwanda.

Waende tu wamevuna vya kutosha
 
Hii ndo ethnic cleansing!!!!!!!!! Kikwete anapata umaarufu kwa kutenda mambo haya! Mfugaji mmoja alinambia kuwa: "Nyerere alitukamulia maziwa, Kikwete anayamwaga
wafukuzwe tuu,,, hata wale waliowaleta pale udsm wanasomea fani mbali mbali nao fukuza tuu.....
hawawezi kujifanya wanamdharau presidaa wetu...
 
Wameshaacha MBEGU zao na mbegu ya Mchicha lazima izae mchicha haiwezi kuzaa bangi. Hii ni hasara kuwa kuingiza damu ya hawa jamaa ktk taifa letu tungojee miaka ijayo katatokea KAJIGAME katuongoze hapa bongo.
 
Kama ni mtetezi wa haki za binadamu basi watetee raia wa DRC wanaouliwa na kubakwa na hao watutsi!.. unawatetea waendelee kubaki hapa TZ kwa sababu gani? Si waende kwao rwanda? Kama hujui, wanajikalisha hapa TZ ili mwisho waanze kuleta vurugu wanazozifanya huko DRC ili watimize azma yao ya "Expansionism" na kujenga hima or bahima or tutsi empire. We know all their plans lakini kwa TZ ndo wamefika mwisho wa reli. Warudi kwao. Watu wenye nia njema wanakaribishwa sana TZ lakini sio hao watutsi

Hukuitaji kumpa haya yote, ungeanza kumweleza kwa upana juu ya neno HAKI. Anasema ye ni mtetezi wa Haki lakini hata hajui nini anaongele.
 
ujambazi mfanye nyie. lawama wapewe wao majanga .
kuondoka kwao kutapunguza uharibifu wa mazingira. kuna documentary waliwai kuonyesha itv kuhusu uaribifu wa mazingira uko
Usiwatetee bhana...wahamiaji wowote huwa wana-compound insecurity issues sana katika host country.Na hili si kwa Tanzania na Wanyarwanda tu.Waulize wakenya huko Garisa wanavyopata shida na wahamiaji wa kisomali.
 
ALEYN Tatizo ni kubwa zaidi, Wapo kila sehemu, mpaka wengine ni wameajiriwa Usalama wa Taifa Tanzania. Wenyewe wanajifanya ni wakazi wa Mkoa wa Kagera, wengine wamejipachika makabila ya Kitanzania wanajiita Wahaya, Wanyambo lakini si kweli. Ila Wahaya na Wanyambo + Wahangaza wanawajua vizuri kuwa ni Watutsi.

Mi naona hata kwa kuwatumia hawa Wahaya wanaweza kutusaidi. Huku Usalama na Jeshini kama wapo basi inaelekea hawana usumbufu mkubwa, wangekuwa na Usumbufu nadhani ni mda kagame angeanza chokochoko zake.
 
Last edited by a moderator:
Tena wengi wapo iringa hasa Tumaini, na vyuoni humu wamejaa na Bodi ya mikopo inawalipia gharama zote. hiyo ya kuwepo usalama ni kweli tena hapo ikulu wapo na hawa ndahani nd wanampatia Kagame taarifa nyingi ambazo zinampa kiburi!!
 
hivi nani aliwaruhusu hawa rwanda na burundi wajiunge kwenye EAC? as far as i know nchi nyingi especially hizi Francophonies zina matatizo sana... wao umwagaji damu ni suala la kawaida sana..... bora tukajitoa mapema tuu... imagine ndo tupo kwenye huo muunganiko then rais wa hilo shirikisho akawa kagame au mu7 unadhani kitatokea nini?
 
Duh watz katili sana, kwa nini mnawabagua? Kwani kama ni waharifu wasichukuliwe sheria tu? Kauli ya rais haikuwa nzuri hata kidogo, najua wakimbizi wengi watadhulumiwa malia na haki zao na polisi. Mi nimeishi nje kati ya 2003 to 2007 najua hawa jamaa wanavyohitaji msaada wa kisaikolojia, tusiwatukane na kuwabambikia ubaya.
Mkuu ni kweli kabisa...ila kwa maoni yangu wame-overstay.Sio sisi tuliowambia wapigane.Huu mzigo tumeubeba zaidi ya miaka 20...kama huo si wema sijui ni Tuuiteje!Na hili liwe somo kwao..Ubaguzi ni mbaya..Watusi waliwabagua sana wahutu..matokeo yake ndo hayo.Wajifunze sasa kuishi pamoja kwa kutoa haki kwa kila kundi na kuhesimiana.
 
Hukuitaji kumpa haya yote, ungeanza kumweleza kwa upana juu ya neno HAKI. Anasema ye ni mtetezi wa Haki lakini hata hajui nini anaongele.
hahaaa, kweli ndugu, ila ngoja tu apate hako kafaida kidogo ili apate mwanga wa kujua tabia za hao watutsi
 
Kweli humu JF Watutsi hawajifichi, na nilisema na ninasema hawa watu ni wanafiki wa kutupwa ni bora kuwachinjilia mbali hata wakikimbilia Tabora, Arusha au Dar
jana tu Mudawote ulikuwa unamtetea Koba leo kimewaka Mkuu wa mkoa Kanali Massawe kawapeni amri iliyotoka kwa Rais muondoke Watanzania wameshakuwa wabaya. Tafadhalini ondokeni kwenye ardhi yetu km JF changieni mkiwa hukohuko nje, hakuna mtu anayeweza ishi na ninyi mejaa madharau na matusi hayawaishi midomoni
Duh watz katili sana, kwa nini mnawabagua? Kwani kama ni waharifu wasichukuliwe sheria tu? Kauli ya rais haikuwa nzuri hata kidogo, najua wakimbizi wengi watadhulumiwa malia na haki zao na polisi. Mi nimeishi nje kati ya 2003 to 2007 najua hawa jamaa wanavyohitaji msaada wa kisaikolojia, tusiwatukane na kuwabambikia ubaya.
[
quote_icon.png
By Koba

Debate kuhusu DRC and M23 imejaa watu ambao hawaelewi anything...anything,i mean zero understanding.]

Hata mi naliona. Inawezekana kabisa Kageme hahusiki na wala hakuwa na mpango. Mi nadhani hao wanaojifanya wanalipwa au kuna intarahamwe nyuma yake. Namshauri kagame awe strong, aimarishe jeshi lake na ikiwezekana avunje mahusiano na nchi za magharibi including usa aende russia na china.
 
Last edited by a moderator:
hahaaa, kweli ndugu, ila ngoja tu apate hako kafaida kidogo ili apate mwanga wa kujua tabia za hao watutsi

Mi nimeona ni maswali mazito uliyompa. Ila sio vibaya, anajitambua ndio maana yupo hapa Jf.
 
He!! Kumbe JK nae ni mkaliee... Mgeni asikudharau nyumbani kwako. Heko JK hili, nadhani Kagame hajui kwamba we ni zungu
 
Kweli humu JF Watutsi hawajifichi, na nilisema na ninasema hawa watu ni wanafiki wa kutupwa ni bora kuwachinjilia mbali hata wakikimbilia Tabora, Arusha au Dar
jana tu Mudawote ulikuwa unamtetea Koba leo kimewaka Mkuu wa mkoa Kanali Massawe kawapeni amri iliyotoka kwa Rais muondoke Watanzania wameshakuwa wabaya. Tafadhalini ondokeni kwenye ardhi yetu km JF changieni mkiwa hukohuko nje, hakuna mtu anayeweza ishi na ninyi mejaa madharau na matusi hayawaishi midomoni

Ukwaju! Thnx for this...ila kina Koba watakuita interahamwe.. hao watutsi wamejaa damu za watu mikononi mwao. They are no longer welcomed here. Muda waliokaa na jinsi Taifa lilivyowachukulia sasa inatosha. It is time for them to go back to their country...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ni kweli kabisa...ila kwa maoni yangu wame-overstay.Sio sisi tuliowambia wapigane.Huu mzigo tumeubeba zaidi ya miaka 20...kama huo si wema sijui ni Tuuiteje!Na hili liwe somo kwao..Ubaguzi ni mbaya..Watusi waliwabagua sana wahutu..matokeo yake ndo hayo.Wajifunze sasa kuishi pamoja kwa kutoa haki kwa kila kundi na kuhesimiana.

Hawawezi kujifunza hao watutsi! Tabia za ubaguzi zipo kwenye damu. Hata waliozaliwa huku hiyo tabia wanayo. Mpaka sasa huko rwanda wahutu na watwa ni second class citizens.
 
Back
Top Bottom