Uchaguzi 2020 Tamko la Lissu kusema hatawapa wagombea CHADEMA pesa litasababisha michango yake idode

Uchaguzi 2020 Tamko la Lissu kusema hatawapa wagombea CHADEMA pesa litasababisha michango yake idode

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Kuna mama mmoja alimuhoji Tundu Lisu kwenye mkutano wa baraza kuu. Aliuliza wewe Kama mgombea urais una mpango gani kutusaidia kifedha wagombea wengine wa udiwani na ubunge? Akajibu hela Hana wasahau ya Lowassa

Sasa Kama Hana na wajumbe wengi wanagombea udiwani na ubunge Ina maana akienda waomba hela za kampeni nao watamwambia hatuna kila mtu apambane na hali yake. Wewe Huna za kutupa na sisi hatuna za kukupa
 
Huyo mama aliona mbali sana.anajua kabisa ni dhoofi lhali.tangia Lowasa kawaacha wako vibaya sana kiuchumi.
 
Lisu alishawai kukupa mimba akakutelekeza mbona unachuki badala ya hoja. Mada zako inaonyesha mnachuki binafsi za kifamilia.
 
Mataga safari hii mmejichanganya mmeingia cha kiume mmeanza kutoa vilio visivyoelewaka kwa wapita njia hadi hawajui namna ya kuwasaidia🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom