Tamko la Makonda Mkuu wa Mkoa Dar halitendewi haki

Tamko la Makonda Mkuu wa Mkoa Dar halitendewi haki

Mambo na watu

Member
Joined
Jun 18, 2019
Posts
77
Reaction score
123
Tunashangaa sana sisi wakazi wa huku Mburahati NHC kuna vijana wanakaa katika makundi huku wakivuta bangi na kucheza kamali pamoja na janga hili kubwa huku wahusika hawashughuliki nalo tunaomba serikali iliangalie hili kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wanaovuta bangi na kucheza kamali wanahatarisha amani katika eneo hili wahusika wafuatilie eneo ni National housing mburahati karibu na nyumbani kwa mwenyekiti wa mtaa wa zamani chogo eneo lote mpaka bondeni
 
Mkuu wa mkoa kasema vizuri tu ila kwa kuwa wanamchukia kila jambo wanalifanya vibaya. Ingawa simfagilii ila kwa la kukataza mikusanyiko namuunga mkono ili kajitahidi kuvaa uhusika wake sio kama yale ya kubishana na mbowe..
 
HAli ya ugonjwa wa korona imefika hali mbaya yana ninashauri hawa vijana wanaokaa vukundi hukumitaani wakamatwe wenyeviti wa mtaa wafanye operesheni ilikumuachia mzazi wake analipa faini kuongeza mapato ya mtaa Sikh nyingine mzazi hatakubali kjana wake atoke
 
Wabongo bwana. Yaani unaacha kumwelimisha unayemuona akikosea ukisubiri serekali ije kumwelimisha? Kwanini wewe usiwaelimishe?? Watu wanashinda kijiweni wanavuta bangi unadhani wana huo muda wakuona tv au kusikiliza redio kujua kinachoendelea duniani? Wao wanaeaza bangi inapatikana wapi tu.
Tunashangaa sana sisi wakazi wa huku Mburahati NHC kuna vijana wanakaa katika makundi huku wakivuta bangi na kucheza kamali pamoja na janga hili kubwa huku wahusika hawashughuliki nalo tunaomba serikali iliangalie hili kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wanaovuta bangi na kucheza kamali wanahatarisha amani katika eneo hili wahusika wafuatilie eneo ni National housing mburahati karibu na nyumbani kwa mwenyekiti wa mtaa wa zamani chogo eneo lote mpaka bondeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo bwana. Yaani unaacha kumwelimisha unayemuona akikosea ukisubiri serekali ije kumwelimisha? Kwanini wewe usiwaelimishe?? Watu wanashinda kijiweni wanavuta bangi unadhani wana huo muda wakuona tv au kusikiliza redio kujua kinachoendelea duniani? Wao wanaeaza bangi inapatikana wapi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
UKIONA INEFIKIA KUTAKA SERIKALI ILIANGALIE jambo hilo ujue njia unazosema zimegonga ukuta ni hali us hatari sana
 
Wabongo bwana. Yaani unaacha kumwelimisha unayemuona akikosea ukisubiri serekali ije kumwelimisha? Kwanini wewe usiwaelimishe?? Watu wanashinda kijiweni wanavuta bangi unadhani wana huo muda wakuona tv au kusikiliza redio kujua kinachoendelea duniani? Wao wanaeaza bangi inapatikana wapi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
wafate waelimishe wavuta bangi kijiweni kwao uone kitachokukuta

watu wanacheza kamali mtu kaliwa hela zake anacheza arudishe hlf

wewe unatokea unawaambia nze nze nze nze,watavyogawana hizo nguo zako hutoamini.
 
Ushawahi kutana na wahuni wakikuona tu eneo lao utasikia mmoja

anawambia wenzake "wanangu shati langu nililo poteza sio hili kweli"?

wenzake wote wanamsapoti wanamwambia ndio lenyewee,wanakuvua

anatokea mwingine anadai viatu vyake alivyopoteza ndio hivyo umevivaa

wanakuvua vyoteee wanakufukuza wanakuita mwizi,wahuni sio watu kbsa

huyu jamaa muanzisha thread namuelewa kbsa najua kaanzsha hii thread

akiwa kajificha kbsa ndani kwao kimyaaa,mkuu jifiche huko huko usitoke.
 
Tunashangaa sana sisi wakazi wa huku Mburahati NHC kuna vijana wanakaa katika makundi huku wakivuta bangi na kucheza kamali pamoja na janga hili kubwa huku wahusika hawashughuliki nalo tunaomba serikali iliangalie hili kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wanaovuta bangi na kucheza kamali wanahatarisha amani katika eneo hili wahusika wafuatilie eneo ni National housing mburahati karibu na nyumbani kwa mwenyekiti wa mtaa wa zamani chogo eneo lote mpaka bondeni
ni lini Bashite alishawahi kutoa tamko na akafuatilia utekelezaji hadi mwisho??
 
Uliyeleta uzi ungekuwa mbele yangu ni bakora tu,, RC DSM aje kufanya nini wakati keshatupa maagizo tuongee na familia zetu tumalizane kabisa,,,, sasa hao jamaa wanao weka vikundi we shika tandika makofi tutakuja kukutoa central usijal


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bahati nzuri ninauzoefu wa mitaa hiyo ya mburahati national.
Tatizo la hao vijana ni ukosefu wa ajira pamoja na umaskini.
Embu fikiria familia inaishi kwenye chumba kimoja tu au chumba na sebule vijana wanalala sebuleni, hawana kazi watawezaje kushinda nyumbani.
Matamko mengine yanatolewa kienyeji utafikiria watu wanaishi maisha sawa. Huko mburahati unakuta familia kubwa Sana inaishi kwenye chumba na sebule unakuta vijana wengine wanaenda nyumbani kulala tu mida ya usiku
Unaposikia ukosefu wa ajira kwa vijana ni bomu ndio kama hivi linavyolipuka
 
Hapo tatizo ni nn sasa, kuvuta bangi, kutojikinga na korona, kucheza kamari au nn? Na hiyo kuleta vbaka nyie ndo watu mnazana tofauti alafu ukimkuta mzungu anavuta au mbunge au mzee huko kijijini kwenu ww unapungukiwa damu icho ni kiburudisho kama unavyo tumia bia au soda.
Tunashangaa sana sisi wakazi wa huku Mburahati NHC kuna vijana wanakaa katika makundi huku wakivuta bangi na kucheza kamali pamoja na janga hili kubwa huku wahusika hawashughuliki nalo tunaomba serikali iliangalie hili kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wanaovuta bangi na kucheza kamali wanahatarisha amani katika eneo hili wahusika wafuatilie eneo ni National housing mburahati karibu na nyumbani kwa mwenyekiti wa mtaa wa zamani chogo eneo lote mpaka bondeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wacheza kamari wakikamatwa kuna chama fulani kitakuja juu kuwatetea

Sent using Jamii Forums mobile app
Nacho sio kingine bali ccm kipenzi Cha wezi, mafisadi,watakatishaji fedha, machangudoa, wauza dawa za kulevya, mateja na mashoga! Nakiamini Sana hiki chama pendwa kwa kuwa kinawajumuisha, kuwaunganisha na hata kuyatetea makundi yote ya kihalifu pindi yanaswapo na mkondo wa Sheria!
Ushahidi ni kuwa eneo wanalolitumia kucheza kamati ni nyuma ya nyumba ya mwenyekiti wa ccm wa mtaa! Nakipenda kutoka moyoni hiki chama Cha mapinduzi!
 
Wabongo bwana. Yaani unaacha kumwelimisha unayemuona akikosea ukisubiri serekali ije kumwelimisha? Kwanini wewe usiwaelimishe?? Watu wanashinda kijiweni wanavuta bangi unadhani wana huo muda wakuona tv au kusikiliza redio kujua kinachoendelea duniani? Wao wanaeaza bangi inapatikana wapi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaweza kudhubutu kwenda, kijiwe cha wavuta bangi ukawelimishe, wale wanasikia la mtu anaefanana nao tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo bwana. Yaani unaacha kumwelimisha unayemuona akikosea ukisubiri serekali ije kumwelimisha? Kwanini wewe usiwaelimishe?? Watu wanashinda kijiweni wanavuta bangi unadhani wana huo muda wakuona tv au kusikiliza redio kujua kinachoendelea duniani? Wao wanaeaza bangi inapatikana wapi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hapo ninapochoka mimi
 
Wavuta bangi sasa hivi wanajimwambafai wakikamatwa hawapelekwi ndani sababu ya corona
 
Bahati nzuri ninauzoefu wa mitaa hiyo ya mburahati national.
Tatizo la hao vijana ni ukosefu wa ajira pamoja na umaskini.
Embu fikiria familia inaishi kwenye chumba kimoja tu au chumba na sebule vijana wanalala sebuleni, hawana kazi watawezaje kushinda nyumbani.
Matamko mengine yanatolewa kienyeji utafikiria watu wanaishi maisha sawa. Huko mburahati unakuta familia kubwa Sana inaishi kwenye chumba na sebule unakuta vijana wengine wanaenda nyumbani kulala tu mida ya usiku
Unaposikia ukosefu wa ajira kwa vijana ni bomu ndio kama hivi linavyolipuka
Hawana kazi wanakaa kuvuta bangi? Hao hawataki kazi dar unashidwa hata kujiajiri angalia vijana wa mikoani walivyotapakaa kariakoo wanavyofanya kazi
 
Nacho sio kingine bali ccm kipenzi Cha wezi, mafisadi,watakatishaji fedha, machangudoa, wauza dawa za kulevya, mateja na mashoga! Nakiamini Sana hiki chama pendwa kwa kuwa kinawajumuisha, kuwaunganisha na hata kuyatetea makundi yote ya kihalifu pindi yanaswapo na mkondo wa Sheria!
Ushahidi ni kuwa eneo wanalolitumia kucheza kamati ni nyuma ya nyumba ya mwenyekiti wa ccm wa mtaa! Nakipenda kutoka moyoni hiki chama Cha mapinduzi!
Dah kweli tuna janga kubwa zaidi ya Corona hivi dada unafikiria kwa kichwa au kwa kile kiungo[emoji1787][emoji23][emoji2960]
 
Back
Top Bottom