"Tamko la Pinda"

One major thing that makes Pinda a class-act is that he never disowned his words like other polticians would have done! How many times have we heard politicians turn to jounalists and complain that they had been quoted out of context? Pinda would have easily said that he was quoted out of context but he did not and that is what separates the grown-up politicians from the rookies. Pinda deserves support from all patriotic Tanzanians who are incensed by these senseless killings.
 
Okay...sioni ubaya wowote. Angalau amekiri kuwa kachemsha na kwamba yuko tayari wabunge wenzake wampigie kura ya kuwa au kutokuwa na imani naye....


Na huu ndiyo uungwana alionao huyu Pinda. Anyway, namsifu kwa hilo!
 
Heheheheheee...huyu ~ Kuhani ana drama sana...lol

Sasa mada ya ulinzi wa viongozi inahusiana vipi na Pinda....ihihihihihihiiii

Painkiller, why did you delete the word Princess? In my judgement, I thought it was and it is an accurate description of the subject....
 

.......right to the POINT........hii mambo ya kulia lia haiondoi kauli yake ya kutaka watu wauawe..........

.....mnaojadili kwa kumpongeza Pinda sijui mna ajenda gani hapa......maandishi aliyoyaweka MKJJ mwanzoni mwa hii thread........bado hayajatolewa rasmi..........
 

Hivi kwa nini watu mmeshikia bango yeye kulia? Lipi la muhimu hapa, kulia ama kauli alizotoa?

Kwangu mimi kulia sio nongwa. Mabondia wa uzito wa juu hulia....ma linebacker (mijibaba ya miraba minne) wenye uzito kama gunia la mahindi hulia...kwa hiyo nini hasa nongwa ya yeye kulia? Ni mara ngapi amewahi kulia? Kwani huwa analia kila kwenye kikao cha bunge? And so what kama amelia? Who cares kama amelia?

Eti hana judgement na emotional competency sijui stability ya kuwa prime minister? Whaaaat the eff is that? Is that in his job description that you can't cry? that you can't show emotion? that you must have a stone rather than a heart? Good grief!!!

Kama ni nongwa hivyo, basi iwekwe kwenye katiba, sheria, na job description kuwa ni marufuku kwa PM kulia. Ukilia tu utakuwa umejifukuzisha kazi. Na kabla ya kuwa PM inabidi wataalamu wa saikolojia wakufanyie tathmini ya 'emotional stability' yako ili watu wajue kama una uwezo wa kumudu kazi ya u PM.....
 
Nyani Ngabo

Kulia ni udhaifu wa mwisho kabisa mwanaume hutakiwa kuonyesha. Unapolia inaonyesha huna namna nyingine ya kufanya, that is a weakness of first order. Nina wasi wasi Mzee Pinda kulia yeye ndo silaha yake akizidiwa na kitu kidogo anamwaga machozi ili apate sympathy ya jamii...yeye anageamua tu tukusema I was quote out of the context na waandishi uchawara afterall bongo asingefanywa chochote. Ingeishia hewani kama angekomaa. Sasa yeye kulia anaona ni vizuri kuliko kuvunja katiba? Stop crying Pinda stand up common......

Waziri mkuu wa kulia lia ni aibu. Si ndiyo huyu alisema wezi wa EPA wakifikishwa mahakani nchi haitwawaliki? Si ni huyu huyu alisema kosa si kosa hadi linaporudiwa?
 

Mwanaume kulia sio udhaifu na hiyo ni dhana potofu kabisa kama zilivyo dhana zingine zilizo potofu. Eti ni weakness of the first order...puh-leeaase.....kwani wanaume sio binadamu? Kwa hiyo unataka kunambia Jesse Jackson siku ile Obama kashinda uchaguzi kamera ilivyo zoom kwake na kumwonyesha akibubujikwa na machozi alionyesha udhaifu? Na kuna wengine wengi tu siku hiyo waliotoa machozi, waume kwa wake, Marekani na kwingineko duniani.

Au unataka kunambia Mwalimu Nyerere alivyolia wakati Sokoine alipokufa kwenye ile ajali ya gari alionyesha udhaifu na akapoteza 'status' yake ya uanamume?

Au siku ile alipokufa Nyerere, unataka kunambia wale wanaume wote waliolia walionyesha udhaifu? Hebu acha hizo wewe. Mtu kulia hupotezi chochote. Ni namna ingine tu ya kuelezea hisia zako. Haya mambo ya kujifanya mgumu na kuweka front kuwa wewe ni gangwe, kuwa wewe ni mwanaume kwa hiyo hutakiwi kulia, ni dhana potofu na mbaya kabisa.
 
Au unataka kunambia Mwalimu Nyerere alivyolia wakati Sokoine alipokufa kwenye ile ajali ya gari alionyesha udhaifu na akapoteza 'status' yake ya uanamume?
arrg umekomaa na huu mfano.....una ushahidi gani mchonga alilia?
 
sikiliza hotuba yake ya kutangaza kifo.....
Hakulia alikuwa na mafua....
Anyway...kesho ndio leo.....vile vijamaa vilivyokuwa vinashupalia Mhesh kayanza Pinda ajiuzuru bado vimekomaa na hoja zao mufilisi?
 
MMK hii habari inagusa na kama jamaa atakuja kusema hivyo kama ilivyopangwa plus aliyoongea jana kule bungeni nafikiri anastahili kupewa second chance. Huwezi kulinganisha Pinda na Lowassa ni watu tofauti sana na wanatofautiana kwa mengi. Ilitakiwa jamaa ajiuzuru ili kuonyesha kuwa ameguswa harafu ndiyo atoe haya maelezo yake kwani inabidi awajibiki thats why kuna usemi 'fikiri kabla ujasema'. Hivyo inabidi jamaa apige chini ili aoneshe kweli anafuata maadili ya uongozi asisubiri kama Lowassa mpaka katoka kwa aibu.

Kwa upande wa pili wa shilingi jamaa hakuwa na nia mbaya alipotoa usemi wake japo aliutoa kwa hasira baada ya kuona live wale watu waliotendewa unyama plus wafiwa. Inasikitisha sana na kuudhi sana unapoona binadamu mwenzako anafanyiwa unyama wa kiasi kile hapo ile kile cheo chako kinashuka unakuwa mtu w kawaida nikiwa na maana unaweza kujisahau na kufanya mambo ya ajabu. But all in all the damage has been done the guy has to step down.
 

Yeap:

Watu wana njia nyingi za kueleza emotions zao na moja wapo ni kulia. Na wanaoshindwa kueleza emotions zao wakati mwingine upatwa na matatizo mbalimbali kama kufyatuka akili au magonjwa ya moyo.

Sijuhi Pinda akiacha kulia itabidi afanye nini? avute bangi?
 

Labda awe mlevi wa gongo kama Yournameismine....lol
 
Inasikitisha sana na kuudhi sana unapoona binadamu mwenzako anafanyiwa unyama wa kiasi kile hapo ile kile cheo chako kinashuka unakuwa mtu w akawaida nikiwa na maana unaweza kujisahau na kufanya mambo ya ajabu.

Hili ndilo linanisumbua hivi WM anafikiri yeye ni Mtanzania pekee aliyewaona hawa ndugu zetu waliotendewa vitendo hivi? Au anafikiri kuwa yeye ndiye mtu pekee mwenye hisia za uchungu kuhusu mauaji haya? Suluhisho analolipendekeza ambalo hajalifuta au kuliondoa halisaidii kupunguza mauaji ya Albino.

Tatizo la mauaji ya albino halichochewi na ushirikina!! Hili ni kukwepa tatizo hasa na kutoa pendekezo la kweli na kuchukua hatua madhubuti. Kwa kadiri wanafikiri suala hili ni la ushirikina ndivyo solutions zao zitakuwa hivi hivi na sitoshangaa wakati tunapiga kelele hapa tukasikia albino/maalbino mengine wameuawa just to spite us.

UNTIL WE CHANGE THE ODDS TO ALBINO'S FAVOR WE WILL LOSE THIS WAR.
 
.........Kulia sio shida....ila unalia katika mazingira gani.........ndio suala......Pinda analia kwa kuwa kashikwa na bizarre statement yake......anaanza kulia ili kutafuta sympathy........no way..........omba msamaha/futa kauli.......otherwise you are doomed incompetent.......period.....

.......unatetea mtu analia lia bila mpango.........aaagghh
 
Hata Kiranga aliyesomea chini ya mwembe na kwenye miguu ya mababu anajua ukiiweka sheria lazima uiheshimu, na kama huitaki inabidi uitoe kwanza.

Ni kweli muheshimiwa sana kakubali kosa kwa hiyo taarifa hapo juu? Au waandishi wanamsaidia kumpa mawazo?

Samahani Mbwamaji redio iliingia mende imebidi nije Mjimwema kuhemea.
 

PRICELESS!

FYI zile picha ziko saved somewhere else naleta links tu hapa.
Huwezi jua labda bado niko junior high.

Unaweka links? Bandwidth inatumika nonetheless!!!

For my information, Icadon? Are you sure? For my information?

Bandwidth ni kipimo cha kasi ya mpitisho, usafirisho, wa data. Inapimwa na bits per sec. Kila tunapofungua link ya kitu kilichoko kwenye server nyingine kuna mpitisho unatokea. Japo permanent storage (inayopimwa kwa bits) inabaki huko kwingine, unapofungua link bandwidth inatumika just as well!

Halafu nakubali ni kweli unaweza kuwa junior high, after all unasema Pinda kulia ni sawa kwa sababu hata Bush analia. You can be or wish to be in junior high all your life and ruminate on and on about your proclivities that arouse excitement at a junior high yard, but the thing is, hatuko yard ya junior high hapa.

Na kama ni kweli uko junior high nashangaa hamjaanza kutumia computer mpaka leo, maana ungejua maana ya bandwidth toka utotoni, na usingekurupuka kurusha kidongo kuhusu bandwidth wakati hujui maana yake. Unless tunaongelea "junior high" za St. Mary's Mbagala au Tabora Girls.

Na wewe STEVED nilifikiri uko computer basics-savvy maana huwa una volunteer ku-upload PDFs halafu na wewe unaenda kutiatia vi-thanks kwenye bandwith comment inayosema link hai-consume bandwidth!

Nilipotumia illustration ya wild animals na non-human like behaviors ilikuwa ni kukuonyesha kwamba just because you have a right, it does not follow that you are right in exercising it willy nilly. Pinda kaleta hulka ya Magharibi ya kujiliza liza kwenye podium unapokumbwa na kashfa. Watanzani hatuna!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…