Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,750
Pinda amekiri na naungana nae kabisa kuwa amekuwa Muungwana na kujenga imani kwa WaTanzania kuwa alichosema ni kweli kilisemwa nae.Pia nimefarijika kuona amerudi na kuifuta kauli yake ,kwa ufupi amezidisha mapenzi kwa WaTanzania,ila mapenzi yatazidi ikiwa atarudi kwa muangaza mwengine ambao utafuta kabisa mauaji ya Albino ,elimu anayo na uwezo pia anao.
Hayo ni ya Mh.Pinda.
Ila huyu Mkwere mpiga mirunzi nae ametenda kosa kama hilo kwa kusema ataenda kuwatesa watu wa Zanzibar 2010 ,nae vipi hebu angalieni maneno yake.
Mhishimiwa Rais anasema:
"Nasema mwaka 2010 tutatesa" "hatuna sababu ya kushindwa", maendeleo yaliofikiwa ni makubwa ninafurahi kuwa tulioyaahidi tumeyatimiza na mengine tutayatekeleza bado tunaendelea," alisema.
"Nasema mwaka 2010 tutatesa"
Si dhani kuwa neno "kutesa" ni lenye kwendana na kanuni (sharia). WanaJF mnaojua sheria mnaweza kutupa maelezo kisheria kuhusiana na utawala wa sheria.
Hayo ni ya Mh.Pinda.
Ila huyu Mkwere mpiga mirunzi nae ametenda kosa kama hilo kwa kusema ataenda kuwatesa watu wa Zanzibar 2010 ,nae vipi hebu angalieni maneno yake.
Mhishimiwa Rais anasema:
"Nasema mwaka 2010 tutatesa" "hatuna sababu ya kushindwa", maendeleo yaliofikiwa ni makubwa ninafurahi kuwa tulioyaahidi tumeyatimiza na mengine tutayatekeleza bado tunaendelea," alisema.
"Nasema mwaka 2010 tutatesa"
Si dhani kuwa neno "kutesa" ni lenye kwendana na kanuni (sharia). WanaJF mnaojua sheria mnaweza kutupa maelezo kisheria kuhusiana na utawala wa sheria.