Tamko la rais Uhuru: Mtihani watafanya tu hata wakichoma shule

Tamko la rais Uhuru: Mtihani watafanya tu hata wakichoma shule

Hapana! Ninachomaanisha ni kwamba kama wewe ni mtoto wa masikini kitu pekee kitakachofungua Dunia yako ni ufaulu wako wa Shule/Chuo hayo mengine yote ya vipaji yapo lkn ni wachache sana wanaofanikiwa kwa njia hiyo hasa wale masikini kwa maana wewe kama masikini ina maana hauna refa au mtu wa kukushika mkono na kukupa kazi au kukutambulisha kwa watu wakubwa hivyo njia pekee ya wewe kupenya ni kupitia Ufaulu wako tu hakuna njia nyingine kwa mtoto wa masikini!

Hivyo mimi nikija kubahatika kupata mtoto nitamwambia hakuna kulala ni kusoma tu kwani hiyo ndiyo njia pekee ya mtoto wa masikini kwenye nchi ya kimaskini ya kutoka na kufika mbali hapa Duniani!
Kuna kitu moja tuu sikubaliani nawe. Sii lazima masomo tuu ndio njia ya kufaulu, uwe maskini ama tajiri. Ila tuu kwa mtoto wa tajiri huwa kuna faida ya kiaina kwa kupigwa jeki kwa kuwa na mali. Kwa hao wachache maskini uliowataja hapo juu waliofanikiwa maishani ni ushuhuda tosha kuwa ni bidii na uaamuzi mwafaka tuu na mtu akawa ni mwenye kufaulu. Huku kwetu kunao wale twawafahamu tuu.
 
sai ni second term already 124 schools zimechomwa wacha zifike 200-300-500 tuone kama uhuru na ruto watatii ama wanafunzi ndio watatiii..... case of fighting fire with fire
Niupumbavu uliopitiliza huo

Unachoma shule wakati unaitegemea shule!!
Wenye uwezo lazima waende shule binafsi au nje
Sasa sioni kama wanamkomoa Uhuru hapo.

Kuna taarifa kuwa shule ambazo hazikutii suala la kuchoma moto zinadharaulika mno
Inafikia hatua wazazi wanawatoa shuleni hapo watoto wao
Hili sio swala jema.

Watu wanapaswa kujua kenya kaskazini kuna wanafunzi hawana hata vyumba vya madarasa
Lakini wengine walio navyo wana vitia moto.

Kama umeona sio wacha kwenda shule sio kuchoma moto
Mimi hao nawaita wanywa viroba,wavuta bangi
 
Back
Top Bottom