Hawawezi lolote watz ndiyo wataamua na kama hao mabeberu zenu wakina Robert Amsterdam wakileta cha kuleta basi tutwangane tu lakini msaliti Lissu hawezi kupewa nchi na akina Robert never afadhali kutwangana.Uonevu baba uonevu.
Na
Wamesikika kuwa mmepanga kupindua matokeo,hivyo wameona waingilie Kati,hofu ya Nini Sasa,nyinyi si wababe? Sasa kaja mbabe zaidi fanyeni yenu Sasa.
Kuna mpuuzi mmoja alikuwaga Raisi wa Panama anaitwa Manuel Noriega nae alijifanyaga mbabe kwa Marekani, Marekani walituma vikosi vyao wakamchukua ikulu kama kuku!!!Uonevu baba uonevu.
Na
Wamesikika kuwa mmepanga kupindua matokeo,hivyo wameona waingilie Kati,hofu ya Nini Sasa,nyinyi si wababe? Sasa kaja mbabe zaidi fanyeni yenu Sasa.
Toeni tamko nyie vilaza wa lumumba πππNawao wanauchaguzi Mwaka huu, balozi aliyepo USA ni vyema akatoa nayeye tamko huko kwako mwenendo wa uchaguzi wao
Hahahahaha unaweza kutwangana na Marekani wewe???Hawawezi lolote watz ndiyo wataamua na kama hao mabeberu zenu wakina Robert Amsterdam wakileta cha kuleta basi tutwangane tu lakini msaliti Lissu hawezi kupewa nchi na akina Robert never afadhali kutwangana.
Yapi hayo yanawashinda?Yakwao yanawashinda
CDM pazeni sauti, mnaona Siro anavyoanza makeke, ataleta madhara makubwa, msimuone kama anatania. AAlisimamia MKIRU wakaua over 1,000 as per unconfirmed statistics. Na hapa hashindwi, kuweni macho pleaseHayawi hayawi sasa yamekuwa. Marekani ameshasema lolote baya litakalofanyika kwenye uchaguzi wa mwaka huu lazima liwe na matokeo kutoka kwake!!!ππππ
Wenye akili na jicho la tatu tumeshaona, sijui wengine kama mmeshaona
Wale mliopanga kupiga mabomu watu, kubadiri matokeo ya uchaguzi, kuiba ushindi wa wagombea wengine, majibu yameshatoka, mwaka huu lazima kutakuwa na matokeo ya matendo yenu mabovu!!!
Cc.Mkuu wa TISS, IGP, CDF et all!!
Mwaka huu watanzania tusiudharau, tukapige kura kwa wingi na tulinde kura zetu
View attachment 1586980
Tutawatwanga nyinyi wasaliti kwanza.Hahahahaha unaweza kutwangana na Marekani wewe???
Ndio Vibendera mnavyo DanganyanaMagufuli ni mstaafu wa siasa rasmi kuanzia November 2020
Si upige wewe kelele!CDM pazeni sauti, mnaona Siro anavyoanza makeke, ataleta madhara makubwa, msimuone kama anatania. AAlisimamia MKIRU wakaua over 1,000 as per unconfirmed statistics. Na hapa hashindwi, kuweni macho please
Lolote watalofanya mwaka huu wajue tu the world is watching. Askari wa dunia Marekani aneshatoa tamko, na leo bunge lao wameijadili rasmi Tanzania.CDM pazeni sauti, mnaona Siro anavyoanza makeke, ataleta madhara makubwa, msimuone kama anatania. AAlisimamia MKIRU wakaua over 1,000 as per unconfirmed statistics. Na hapa hashindwi, kuweni macho please
Jaribuni muone. Si meshazoea vya kunyonga eeeh??? Haya mbabe wa dunia yupo mlangoni kwenu dadekiiiiiYaani mnafanya maujingajinga yenu na fujo zisizo na msingi mkidhani marekani itawatetea kwenye ujinga na vurugu mnazojaribu kuanzisha, hell no, sheria zitafuatwa na mkileta fujo kipondo kama kawa
Unawalisha maneno!Umeanza mwaka huu kushiriki chaguzi za Tanzania??? hivi vitu vipo kila uchaguzi unapofika lakini kuanzia tarehe 4 NOVEMBER hawa hawa unaowashobokea watakua wakitoa congraturatory Notes kwa JPM kwa ushindi mnono na watakuwa wakisema USA iko tayari kudumisha ushirikiano na URT. Chuma chetu a.k.a Ng'wanasusana leo yuko Tunduma atashiriki na wanaTunduma kusherehekea mafanikio ya awamu ya kwanza ya serikali ya awamu ya tano. Wote semeni CCM Hoyeeeeeeee
We jamaa unashangaza kinoma. Kwahiyo ukadhani Trump ndio Alfa na Omega USA?Hahaha Bosi wake mwenyewe D.Trump ameshakataa matokeo ya Uchaguzi ujao wa USA, huo muda wa kuhangaika na sisi ataupata wapi kama siyo fix hizo?
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Marekani ameshasema lolote baya litakalofanyika kwenye uchaguzi wa mwaka huu lazima liwe na matokeo kutoka kwake!!!ππππ
Wenye akili na jicho la tatu tumeshaona, sijui wengine kama mmeshaona
Wale mliopanga kupiga mabomu watu, kubadiri matokeo ya uchaguzi, kuiba ushindi wa wagombea wengine, majibu yameshatoka, mwaka huu lazima kutakuwa na matokeo ya matendo yenu mabovu!!!
Cc.Mkuu wa TISS, IGP, CDF et all!!
Mwaka huu watanzania tusiudharau, tukapige kura kwa wingi na tulinde kura zetu
View attachment 1586980
Mkuu tamko Hilo haliko wazi Kama watu wengi wanavyofikiria,Tamko Hilo linaihusu CCM na CCM ndio serikali,watu wanapoomba Uchaguzi huru na wa Haki,wanaiomba Serikali ya CCM,sio CDM.Maccm wenzako hawataki wanaweweseka.
Wanatamani warudishe siku nyuma dadekiiiπππSafari hii kitaeleweka tu.
CCM kwa miaka yote ya Chaguzi za Vyama vingi since 1995 wekuwa wakishinda kiujanjajanja tu.
This time no way!!!Huku Marekani, huku ICC na huku Bob Amsterdam....!!! Patamu hapo!
Mmezoea kwa jiwe kila kitu afanye yeye, ile marekani kijana, kila taasisi inajutuma yenyeweHahaha Bosi wake mwenyewe D.Trump ameshakataa matokeo ya Uchaguzi ujao wa USA, huo muda wa kuhangaika na sisi ataupata wapi kama siyo fix hizo?
Kuliko kwenda na huyu aliyesema Leo ole wenu msimchague silinde sitawaletea maji???? Acha tu twende na Marekani.Hii ya 'Kuwababaikia' na 'Kujipendekeza' kwa 'Marekani' wakati nayo ina Mambo yake kuna Siku tu watawaombeni 'wawapakuwe' sijui mtawanyima!