Uchaguzi 2020 Tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu Uchaguzi Mkuu ujao Nchini Tanzania - Oktoba, 2020

Uchaguzi 2020 Tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu Uchaguzi Mkuu ujao Nchini Tanzania - Oktoba, 2020

Utakuta kuna mwanachadema na akili zake anashangilia kwamba kwa tamko hili tayari wameshashinda
 
D.Trump hana huo muda wa kushughulika na Siasa za Tanzania, acheni kujidanganya, ...
Kwani khofu yenu ni nini? Hili tamko si linawahusu upinzani pia kama wataharibu uchaguzi? Mbona ni ccm tu mnaoweweseka? Au mnajuwa maovu yenu mliyoyapanga?
 
Ni matamko ya kawaida hayo na yanayotarajiwa. Nchi yetu ni huru, ina katiba, sheria na taratibu zake za kuchaguana na wala haitaji mwongozo kutoka Marekani ama nchi nyingine yoyote, na huu si uchaguzi wa kwanza kufanyika, kwamba hatuna uzoefu wa kuendesha chaguzi zetu.

Tena safari hii tunatumia fedha zetu za madafu kuchagua viongozi wetu kwa utashi na mapenzi yetu, na si kwa shinikizo la kibeberu! Ila ni bora wajiandae kisaikolojia kuwa wanayemtaka wao siye tunayemtaka sisi.
Wewe na nani? Mimi simtaki huyo mbaguzi zaidi ya Kaburu.

Maneno alitoongea leo Tunduma ndio yameujaza moyo wake, huyu mbaguzi hafai tumkatae wote wenye mapenzi mema na Taifa hili.
 
Hahaha Bosi wake mwenyewe D.Trump ameshakataa matokeo ya Uchaguzi ujao wa USA, huo muda wa kuhangaika na sisi ataupata wapi kama siyo fix hizo?



Unachanganya. Trump sio serikali ya Marekani.

Najua hili hulijui.
 
Ndiyo, ni lazima hiyo ni policy ya Raisi wa USA, USA haiwezi kuiwekea nchi xyz sanctions bila ya Raisi wa USA kukubali, na Trump na USA hawana maslahi Tanzania, hizo barua ni secretary Ubalozini anachapa kila mtu anweza kuzipata, ...
Marekani imejenga US base Dar kubwa kuliko yoyote kwa ukanda wetu halafu unajambajamba eti Marekani haina maslahi Tanzania?

Omondiiii.
 
Yote haya wameyatafuata wenyewe, kulikuwa hakuna haja ya kuzuia mikutano ya kisiasa miaka yote 5, Vitendo vilivyojitokeza wakati wa Chaguzi ndogo zote, vitendo vilivyojitokeza wakati wa uchaguzi serikali za mitaa, na vitendo ya kukata wagombea wa upinzani pekee katika huu uchaguzi mkuu..... hivi ndiyo viashiria chanya vilivyofanya haya mataifa makubwa duniani yote yaukodolee macho uchaguzi huu.

Sasa mwenye kubisha kwamba Marekani ni tisha toto - haya na aibe kura sasa!!

marekani miaka yote ina participate kwenye uchaguzi wa tanzania pamoja na nchi zingine nyingi, infact walikua wanatoa pesa za kuwezesha uchaguzi tafauti ni huu mwaka serikali imesimamia kwa 100%, ila wapogo always toka wanamshikilia nyerere na ccm imekua inashinda , ni mwaka 2015 tu kidogo kulikua na tishio baada ya mwana ccm kwenda ukawa ingawa amesharudi, kwahio wembe unabaki ule ule
 
Asipoenda anakufa? Familia yake ina kosa mlo?

View attachment 1587065
Hawa si ndio hao Mabeberu?

FB_IMG_1601425432271.jpg
FB_IMG_1601448321430.jpg
 
Jidanganye tu!!! Unafikiri Marekani ndo Tanzania??? Marekani Mfumo ndo unaendesha nchi sio Raisi

Siyo kweli, kila Raisi wa USA ana policy zake kuhusu mahusiano ya USA na karibia kila nchi, isitoshe ukitaka kujua hiyo barua ni B.S. haipo kwenye website ya Ubalozi wa USA hapa Tanzania, na wenb
Unachanganya. Trump sio serikali ya Marekani.

Najua hili hulijui.


Raisi wa USA siyo Serikali ya USA?
 
Yani hilo tamko na huo ujumbe ulioweka wewe haviendani kabisa, ovyoooo ovyooo ovyooo, uozo uozo uozo. Watanzania wana imani na CCM, na wana imani na Magufuli. Na watampigia kura Magufuli.
Ni mpumbavu tu ambaye hajaenda shule,hajaelimika na hana kitu kichwanu ndiye anayeweza kuwasemea Watanzania kuwa wana imani na CCM.
Kama uliona hata milango ya darasa basi utagundua kuwa kuna "umoja" na "wingi", na pia bila ya takwimu,huna haki ya kuongea.
Jizungumzie wewe.
Mimi naichukia CCM na nitarudi huko kwa ajili ya kuikataa kwenye sanduku la kura 28/20/2020.
#kura yangu yahesabika.
 
Siyo kweli, kila Raisi wa USA ana policy zake kuhusu mahusiano ya USA na karibia kila nchi, isitoshe ukitaka kujua hiyo barua ni B.S. haipo kwenye website ya Ubalozi wa USA hapa Tanzania, na wenb



Raisi wa USA siyo Serikali ya USA?
Una elimu gani kwanza ndugu?? Nijue kabisa elimu yako kabla sijaanza kukuelimisha
 
Siyo kweli, kila Raisi wa USA ana policy zake kuhusu mahusiano ya USA na karibia kila nchi, isitoshe ukitaka kujua hiyo barua ni B.S. haipo kwenye website ya Ubalozi wa USA hapa Tanzania, na wenb



Raisi wa USA siyo Serikali ya USA?
Katika mambo ya aina hii, hailazimu Trump awepo au asiwepo. Bado huelewi?
 
Back
Top Bottom