eminent luxy
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 343
- 358
Watanzania kinacho tuua ni tamaa na chuki Basi ayo mengine mbwembwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marekani anajua fika JPM ndiyo mshindi na kule Zanzibar ni H.A.H.Mwinyi. Nchi sasa ziko mikononi mwa wanasayansi kule dokta wa binadamu huku DOKTA WA KEMIA. Hawa madokta wawili wanawakeraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa watu fulani, nchi inakwenda kupaaa
Chama kikuu cha upinzani Tanzania Chadema kinapuuzia matokeo ya utafiti wa taasisi ya Trends Dynamiques Consulting yanayoonesha asilimia 79 ya wapiga kura wakisema, watamchagua John Magufuli kama rais.
wangeanzia uganda ambako museven anatawala mwaka wa 100 sasa ndo ningeawaamini hao wamarekani, au rwanda ambako kagame anaua wapinzani mchana kweupe au unabambikwa kesi
Wewe Mbona una matatizo ya Ubongo kiliko wote unawezaje kumsahihisha mtu wakati hapo ulipo hujielewiKweli wewe ni zuzu kabisa una shangilia nini sasa hapo? Wamesema hawamuungi mkono mgombea yeyote ila uchaguzi wa uhuru na haki. Sasa wewe unashangilia kitu gani. Nafikiri unamatatizo kwenye ubongo wako.
Tayari manuari kubwa pamoja na nyambizi kubwa zimeanza Safari kusogea pwani ya Tanzania kuilinda dhidi ya Polisi endapo wataamua kumwaga Damu za watanzaniaUonevu baba uonevu.
Na
Wamesikika kuwa mmepanga kupindua matokeo,hivyo wameona waingilie Kati,hofu ya Nini Sasa,nyinyi si wababe? Sasa kaja mbabe zaidi fanyeni yenu Sasa.
Wakataze IGP na polis wake wakataze Tume isiyo huru ya uchaguzi waache hujuma zao mapema kwani ndiyo chanzo cha vurugu vita Nchini TanzaniaIlo tamko sio la kulichekea wala kulishabikia, limejaa vitisho, ni tamko lenye dharau kwa nchi yetu kanakwamba sisi kama taifa hatuwezi kushughulikia matatizo yetu wenyewe.
Wao waje washulike na watakaoleta vurugu, machafuko sijui uvunjifu wa amani muda huo majeshi yetu yanafanya nini.
tuna vyombo vya sheria, tuna vyomba vya ulinzi na usalama, watuache tufanye uchaguzi kwa uhuru na amani.
Izo vurugu na machafuko wasivitegemee kwani sio sehemu ya utamaduni wetu.
Waende kwenye nchi walizozoea kuzikalia kwa kisingizio cha kulinda amani.
Mungu ibariki tanzania mungu bariki uchaguzi mkuu uwe wenye amani,huru na haki.
Kweli bora Marekani kuliko kuchua kodi jimboni kwenda kujenga chato na kuacha kupeleka maendeleo makusudi kisa jimbo lipo chini ya upinzaniKuliko kwenda na huyu aliyesema Leo ole wenu msimchague silinde sitawaletea maji???? Acha tu twende na Marekani.
Mimi ni Mtanzania, na sina imanibna Magufuli na simpi kura yangu mbaguzi mkubwa huyu, ni zaidi ya kaburu.
CCM hupokea misaada mingi tokea marekani kwani marekani haina watu masikini wa kuwapa hiyo misaada kwanza? Masikini wapo marekani lakini misaada inakuja CCM, marekani kuwa na shida zake kisiasa siyo kigezo cha Tanzania kuharalisha wizi wa kura kuzuia maendeleo kwa makusudi kisa mbunge ni wa upinzaniMarekani iliishashuka hadhi juu ya nchi za kuheshimu demokrasia, baada ya raisi wao kusema hatakubali matokeo ambayo yeye hakushinda. Ninachoomba kwa Watanzania ni wagombea kuheshima sheria za uchaguzi, lakini haya kushabikia yaliyosemwa na ubalozi wa USA, wakati mwaka huu kuna utata na hofu ya kuibiwa kura na MBABE Trump, ambaye hata kodi za biashara zake halipi. USA no longer has moral authority on democracy, they are just as bad as thrid world countries. The only difference is they are RICH.
Sawa ngoja tusubiriUmeanza mwaka huu kushiriki chaguzi za Tanzania??? hivi vitu vipo kila uchaguzi unapofika lakini kuanzia tarehe 4 NOVEMBER hawa hawa unaowashobokea watakua wakitoa congraturatory Notes kwa JPM kwa ushindi mnono na watakuwa wakisema USA iko tayari kudumisha ushirikiano na URT. Chuma chetu a.k.a Ng'wanasusana leo yuko Tunduma atashiriki na wanaTunduma kusherehekea mafanikio ya awamu ya kwanza ya serikali ya awamu ya tano. Wote semeni CCM Hoyeeeeeeee
kwanini ajiapize kuja kushughulika na matatizo katika taifa huru lenye serikali yake na vyombo vyake vya dola, kipi hasa kinamvuta, tuamke watanzania hawa jamaa wasicheze na akili zetu.Wakataze IGP na polis wake wakataze Tume isiyo huru ya uchaguzi waache hujuma zao mapema kwani ndiyo chanzo cha vurugu vita Nchini Tanzania
Amani ni Tunda la hakikwanini ajiapize kuja kushughulika na matatizo katika taifa huru lenye serikali yake na vyombo vyake vya dola, kipi hasa kinamvuta, tuamke watanzania hawa jamaa wasicheze na akili zetu.
Tena wanaonekana kutamani machafuko watimize azma yao, kwa Tanzania wamepotea njia.
"HAPA AMANI TU"
tunza ujumbe huu na tutakukosoaKwa hili niko tayari kubet mkuu, lakini nakuhakikishia kwamba 2020 JPM atashinda kwa ushindi wa kihistoria na TAL atapigwa pigo takatifu litakalo mdhalilisha vibaya sana