Tamko la wana Kawe ( Raia ) kwa Wanajeshi wa Lugalo baada ya KUTESWA kwa VIPIGO na KUUMIZWA vibaya, huku hadi leo JWTZ halijawaomba msamaha

Tamko la wana Kawe ( Raia ) kwa Wanajeshi wa Lugalo baada ya KUTESWA kwa VIPIGO na KUUMIZWA vibaya, huku hadi leo JWTZ halijawaomba msamaha

Maamuzi ya hasira siku zote ya yana gharama kuliko maamuzi ya mjinga.

Maswali ya kujiuliza ni haya:

Tumesikia ni watu 74 tu ndio waliochukuliwa hapo kawe, je ni kweli kawe ina watu 74 tu mpaka kesi ya watu 74 iwe ni kawe nzima?

Kawe Nina amini ina watu zaidi ya laki tano, hivyo idadi ya watu waliobebwa na waliopo ni hakika walibebwa Kwa kigezo fulani na sio kubebwa tu, kweli au sio kweli?

Unadhani wananchi wote wa kawe wanafurahia uwepo wa vibaka kama inavyosemwa na hawakufurahia kazi ya Jeshi letu tukufu?

Unafikiri hilo tamko linafanya kazi kwa mtu mmoja mmoja? Maana ninachojua mob psychology ndio iliyoandaa na kutoa tamko hilo ila Kwa mtu mmoja mmoja hakuna kitu kama hiko.

Maana humu tumesikia Jeshi lilikuwa linasafisha wahuni hapo kawe, je kama ni kweli hauoni kama wewe na hao wakazi wa kawe mliokuja na tamko la kiuoga uoga mtafikiriwa ndio viongozi wa vikundi vya kihuni hapa kawe?
What a rubbish post...!!
 
Kapigwa Demu wangu na wamesababisha sipati Penzi langu Kwake kwani kila nikimgusa tu anadai Viungo vyake bado Vinamuuma kutokana na Virungu vya MP wa Lugalo, Kubebeshwa Mawe mazito, Kupigishwa Pushapu na Kurukishwa Vichurachura huku wakiwa wamefungwa Nguo zao pale Uwanja wa Mateso na Mazoezi wa Kambini Kwao Mwenge.
Aisee...
Wanajeshi sio watu wazuri, kwanini wanawapiga wanawake? Hapo wamekosea. Ingekuwa ni wewe umepigwa ningeendelea kucheka kama ni wifi yetu inasikitisha sana sicheki tena.

Mpeleke pale Lugalo akatibiwe.
 
Jeshi la Tanzania ndo taasisi inayoongoza kwa kuwa na mrundikano wa vilaza wengi zaidi kuliko taasisi ingine yoyote ile.

Kuanzia mkuu wao mpaka yule mwenye cheo cha chini kabisa, wote ni vilaza.

Wewe wasikilize tu hata wakiwa wanaongea. Kama una akili utagundua mapema sana uwezo wao wa kiakili.

Na ndo maana hata yule msemaji wao bila haya alisema kuwa jeshi la Tanzania ni jeshi la 6 kwa ubora duniani.

Kwa mtu mwenye akili, hawezi kusema kitu kama hicho maana hakina kabisa hata chembe ya ukweli wowote ule.

Kutaka ku-reason na wanajeshi wa Tanzania ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.

JWTZ karibu wote ni vilaza. Sijawahi ona mtu aliyefaulu vizuri shuleni halafu akaamua kwenda jeshini.
Acha dharau, mdomo uliponza kichwa
 
1. Kuanza sasa RAIA wa Kawe TULIOPIGWA, TULIOTESWA na KUUMIZWA vibaya hatutaki tena Wanajeshi wa Kawe kuja KUTUKOPA Pesa Sisi Raia wa Kawe na badala yake waende wakamkompe Amiri Jeshi Mkuu au CDF wao bila kumsahau Waziri wa Ulinzi

2. Kuanzia sasa RAIA wa Kawe TULIOPIGWA, TULIOTESWA na KUUMIZWA vibaya HATUTAKI tena Wanajeshi wa Lugalo kuja KUGONGEA ( kuomba Vyakula ) Makwetu pale Wakiishiwa Makwao na wakija kwa Makusudi tutawaitia Wezi ili Raia wafanye yao au tutawafungulia Mbwa Wetu Wakali ili waondoke na Kende zao ili wakafanyiwe vizuri Oparesheni Hospitalini Kwao Lugalo.

3. Kuanzia sasa RAIA wa Kawe TULIOPIGWA, TULIOTESWA na KUUMIZWA vibaya HATUTAKI tena Wanajeshi wa Lugalo kutaka walipe Kodi za Mwezi Mwezi huku URAIANI Kawe na sasa tunapokea Kodi za Miezi Kumi na Mbili tu kana hawana Wakalale Koridoni Nyumbani kwa CDF wao au Waziri wao wa Ulinzi

4. Kuanzia sasa HATUTAKI tena Wanajeshi wa Lugalo kuja URAIANI kwa WALIOTUPIGA na KUTUUMIZA vibaya kutuomba tuwape Maghetto yetu ili Wabandue Mahawara zao ( Michepuko yao ) kwa Kukosa Hela ya Gesti / Loji na badala yake waende wakalale nao Viwanjani Kwao au pale Mapira kwenye Pori kunakotazamana na Chuo chao cha Tiba cha MCMS ili Wakangatwe vizuri na Nyoka Wakali ( hasa aina ya Vifutu ) walioko wa Uwingi

5. Kuanzia sasa RAIA wa Kawe ambao TULIPIGWA, KUUMIZWA na KUTESWA vibaya na Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) ni kwamba HATUTAKI tena Wake zao kuja Makwetu huku wakitia HURUMA kutukopa Fedha ili Wakazilishe Familia na hata ikitokea tukaamua Kuwakopa basi Mkopo huo utaendana na Sharti Tukuka kwamba ni lazima Kwanza Magari yetu Mafupi na Meusi yapite njia zao za MPALANGE kutokea Yombo Vituka.

6. Kuanzia sasa RAIA wa Kawe TULIOPIGWA, TULIOTESWA na KUUMIZWA vibaya na Wanajeshi wa Lugalo ( hasa hasa MP ) tumeamua KUTOWASAIDIA tena kwa KUWASITIRI Kiungwana pale wakiwa WAMELEWA Chakari na Kizembe katika Baa za Kawe na badala yake tutawaachia Masela WAWAPASULIE MAYAI VIZA na WAAIBIKE vizuri.

7. Kuanzia sasa RAIA wa Kawe ambao TULIPIGWA, KUUMIZWA na KUTESWA vibaya na Wanajeshi wa Lugalo ( hasa hasa MP ) bila Kosa lolote kutokana na Wao ( Wanajeshi ) kupenda kuja KUFAKAMIA Migoma ( Mimalaya ) ya Uswahilini ( Uraiani ) Kawe hatutokuwa tunawaambia nani WAMEATHIRIKA kwa HIV ili tuwaokoe na badala yake sasa ( kutokana na ULEVI wao kupenda hovyo MBUNYE ) tutakuwa TUNAWALENGESHA kwa Mademu WAATHIRIKA ili Waupate na Wapukutike wote.

Ubaya Ubayani tu Kudadadeki..!!!!!!!!!

Utasababisha wakazi halisi wa Kawe wapate matatizo bure mtu mwenyewe hukai hata Kawe unaishi zako huko bunda vijijini.

Acha utoto mkuu
 
Acha ujinga,askari gani aende kuomba geto,akope pesa kwa raia,agongee pombe kwa raia? Na mkipigwa tena msingizie vingine. Alafu hauko specific, ni askari wa kikosi gani pale lugalo waliowatesa hao wananchi?

Mtoa mada haishi Kawe anaishi huko bunda vijijini hizo story anafanya kusikia tu then anakuja kubwabwaja hapa hakuna uhalisia wowote
 
1. Kuanza sasa RAIA wa Kawe TULIOPIGWA, TULIOTESWA na KUUMIZWA vibaya hatutaki tena Wanajeshi wa Kawe kuja KUTUKOPA Pesa Sisi Raia wa Kawe na badala yake waende wakamkompe Amiri Jeshi Mkuu au CDF wao bila kumsahau Waziri wa Ulinzi

2. Kuanzia sasa RAIA wa Kawe TULIOPIGWA, TULIOTESWA na KUUMIZWA vibaya HATUTAKI tena Wanajeshi wa Lugalo kuja KUGONGEA ( kuomba Vyakula ) Makwetu pale Wakiishiwa Makwao na wakija kwa Makusudi tutawaitia Wezi ili Raia wafanye yao au tutawafungulia Mbwa Wetu Wakali ili waondoke na Kende zao ili wakafanyiwe vizuri Oparesheni Hospitalini Kwao Lugalo.

3. Kuanzia sasa RAIA wa Kawe TULIOPIGWA, TULIOTESWA na KUUMIZWA vibaya HATUTAKI tena Wanajeshi wa Lugalo kutaka walipe Kodi za Mwezi Mwezi huku URAIANI Kawe na sasa tunapokea Kodi za Miezi Kumi na Mbili tu kana hawana Wakalale Koridoni Nyumbani kwa CDF wao au Waziri wao wa Ulinzi

4. Kuanzia sasa HATUTAKI tena Wanajeshi wa Lugalo kuja URAIANI kwa WALIOTUPIGA na KUTUUMIZA vibaya kutuomba tuwape Maghetto yetu ili Wabandue Mahawara zao ( Michepuko yao ) kwa Kukosa Hela ya Gesti / Loji na badala yake waende wakalale nao Viwanjani Kwao au pale Mapira kwenye Pori kunakotazamana na Chuo chao cha Tiba cha MCMS ili Wakangatwe vizuri na Nyoka Wakali ( hasa aina ya Vifutu ) walioko wa Uwingi

5. Kuanzia sasa RAIA wa Kawe ambao TULIPIGWA, KUUMIZWA na KUTESWA vibaya na Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) ni kwamba HATUTAKI tena Wake zao kuja Makwetu huku wakitia HURUMA kutukopa Fedha ili Wakazilishe Familia na hata ikitokea tukaamua Kuwakopa basi Mkopo huo utaendana na Sharti Tukuka kwamba ni lazima Kwanza Magari yetu Mafupi na Meusi yapite njia zao za MPALANGE kutokea Yombo Vituka.

6. Kuanzia sasa RAIA wa Kawe TULIOPIGWA, TULIOTESWA na KUUMIZWA vibaya na Wanajeshi wa Lugalo ( hasa hasa MP ) tumeamua KUTOWASAIDIA tena kwa KUWASITIRI Kiungwana pale wakiwa WAMELEWA Chakari na Kizembe katika Baa za Kawe na badala yake tutawaachia Masela WAWAPASULIE MAYAI VIZA na WAAIBIKE vizuri.

7. Kuanzia sasa RAIA wa Kawe ambao TULIPIGWA, KUUMIZWA na KUTESWA vibaya na Wanajeshi wa Lugalo ( hasa hasa MP ) bila Kosa lolote kutokana na Wao ( Wanajeshi ) kupenda kuja KUFAKAMIA Migoma ( Mimalaya ) ya Uswahilini ( Uraiani ) Kawe hatutokuwa tunawaambia nani WAMEATHIRIKA kwa HIV ili tuwaokoe na badala yake sasa ( kutokana na ULEVI wao kupenda hovyo MBUNYE ) tutakuwa TUNAWALENGESHA kwa Mademu WAATHIRIKA ili Waupate na Wapukutike wote.

Ubaya Ubayani tu Kudadadeki..!!!!!!!!!
Hadithi njoo uongo njoo utamu kolea
 
Maamuzi ya hasira siku zote ya yana gharama kuliko maamuzi ya mjinga.

Maswali ya kujiuliza ni haya:

Tumesikia ni watu 74 tu ndio waliochukuliwa hapo kawe, je ni kweli kawe ina watu 74 tu mpaka kesi ya watu 74 iwe ni kawe nzima?

Kawe Nina amini ina watu zaidi ya laki tano, hivyo idadi ya watu waliobebwa na waliopo ni hakika walibebwa Kwa kigezo fulani na sio kubebwa tu, kweli au sio kweli?

Unadhani wananchi wote wa kawe wanafurahia uwepo wa vibaka kama inavyosemwa na hawakufurahia kazi ya Jeshi letu tukufu?

Unafikiri hilo tamko linafanya kazi kwa mtu mmoja mmoja? Maana ninachojua mob psychology ndio iliyoandaa na kutoa tamko hilo ila Kwa mtu mmoja mmoja hakuna kitu kama hiko.

Maana humu tumesikia Jeshi lilikuwa linasafisha wahuni hapo kawe, je kama ni kweli hauoni kama wewe na hao wakazi wa kawe mliokuja na tamko la kiuoga uoga mtafikiriwa ndio viongozi wa vikundi vya kihuni hapa kawe?
Hakuna cha tamko wala nini mkuu mtoa mada ni mtunzi mzuri sana wa hadithi za kusadikika. Kwanza Dar yenyewe hajawahi fika anaishi huko bunda vijijini mkoani mara. Yeye kaandika huu Uzi ili kuwaaminisha watu kwamba anaishi Dar lakini kumbe ndio anawadhihirishia watu kwamba hata hiyo Dar yenyewe hajawahi kufika..
 
Jeshi la Tanzania ndo taasisi inayoongoza kwa kuwa na mrundikano wa vilaza wengi zaidi kuliko taasisi ingine yoyote ile.

Kuanzia mkuu wao mpaka yule mwenye cheo cha chini kabisa, wote ni vilaza.

Wewe wasikilize tu hata wakiwa wanaongea. Kama una akili utagundua mapema sana uwezo wao wa kiakili.

Na ndo maana hata yule msemaji wao bila haya alisema kuwa jeshi la Tanzania ni jeshi la 6 kwa ubora duniani.

Kwa mtu mwenye akili, hawezi kusema kitu kama hicho maana hakina kabisa hata chembe ya ukweli wowote ule.

Kutaka ku-reason na wanajeshi wa Tanzania ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.

JWTZ karibu wote ni vilaza. Sijawahi ona mtu aliyefaulu vizuri shuleni halafu akaamua Kwenda jeshini.
... NA WANAONGOZA KWA KUTOKUWA NA WITO!
... HAKUNA MCHUJO, ILI MRADI NI WATU WANAOTAFUTA KIPATO NA SEHEMU YA KUJIMWAMBAFAI KWA HILA ZOTE, ... RUSHWA, KUJUANA, NGONO ... YAANI UCHAFU MTUPU!
WE NEED A REFORMED JWTZ! ... SIJUI WAENDE 'SHAOLIN'?
 
1. Kuanza sasa RAIA wa Kawe TULIOPIGWA, TULIOTESWA na KUUMIZWA vibaya hatutaki tena Wanajeshi wa Kawe kuja KUTUKOPA Pesa Sisi Raia wa Kawe na badala yake waende wakamkompe Amiri Jeshi Mkuu au CDF wao bila kumsahau Waziri wa Ulinzi

2. Kuanzia sasa RAIA wa Kawe TULIOPIGWA, TULIOTESWA na KUUMIZWA vibaya HATUTAKI tena Wanajeshi wa Lugalo kuja KUGONGEA ( kuomba Vyakula ) Makwetu pale Wakiishiwa Makwao na wakija kwa Makusudi tutawaitia Wezi ili Raia wafanye yao au tutawafungulia Mbwa Wetu Wakali ili waondoke na Kende zao ili wakafanyiwe vizuri Oparesheni Hospitalini Kwao Lugalo.

3. Kuanzia sasa RAIA wa Kawe TULIOPIGWA, TULIOTESWA na KUUMIZWA vibaya HATUTAKI tena Wanajeshi wa Lugalo kutaka walipe Kodi za Mwezi Mwezi huku URAIANI Kawe na sasa tunapokea Kodi za Miezi Kumi na Mbili tu kana hawana Wakalale Koridoni Nyumbani kwa CDF wao au Waziri wao wa Ulinzi

4. Kuanzia sasa HATUTAKI tena Wanajeshi wa Lugalo kuja URAIANI kwa WALIOTUPIGA na KUTUUMIZA vibaya kutuomba tuwape Maghetto yetu ili Wabandue Mahawara zao ( Michepuko yao ) kwa Kukosa Hela ya Gesti / Loji na badala yake waende wakalale nao Viwanjani Kwao au pale Mapira kwenye Pori kunakotazamana na Chuo chao cha Tiba cha MCMS ili Wakangatwe vizuri na Nyoka Wakali ( hasa aina ya Vifutu ) walioko wa Uwingi

5. Kuanzia sasa RAIA wa Kawe ambao TULIPIGWA, KUUMIZWA na KUTESWA vibaya na Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) ni kwamba HATUTAKI tena Wake zao kuja Makwetu huku wakitia HURUMA kutukopa Fedha ili Wakazilishe Familia na hata ikitokea tukaamua Kuwakopa basi Mkopo huo utaendana na Sharti Tukuka kwamba ni lazima Kwanza Magari yetu Mafupi na Meusi yapite njia zao za MPALANGE kutokea Yombo Vituka.

6. Kuanzia sasa RAIA wa Kawe TULIOPIGWA, TULIOTESWA na KUUMIZWA vibaya na Wanajeshi wa Lugalo ( hasa hasa MP ) tumeamua KUTOWASAIDIA tena kwa KUWASITIRI Kiungwana pale wakiwa WAMELEWA Chakari na Kizembe katika Baa za Kawe na badala yake tutawaachia Masela WAWAPASULIE MAYAI VIZA na WAAIBIKE vizuri.

7. Kuanzia sasa RAIA wa Kawe ambao TULIPIGWA, KUUMIZWA na KUTESWA vibaya na Wanajeshi wa Lugalo ( hasa hasa MP ) bila Kosa lolote kutokana na Wao ( Wanajeshi ) kupenda kuja KUFAKAMIA Migoma ( Mimalaya ) ya Uswahilini ( Uraiani ) Kawe hatutokuwa tunawaambia nani WAMEATHIRIKA kwa HIV ili tuwaokoe na badala yake sasa ( kutokana na ULEVI wao kupenda hovyo MBUNYE ) tutakuwa TUNAWALENGESHA kwa Mademu WAATHIRIKA ili Waupate na Wapukutike wote.

Ubaya Ubayani tu Kudadadeki..!!!!!!!!!
Jeshi linaonesha nidhamu mbovu wazi wazi kiaha hawaambuwi chochote.

Ni jeshi gani lisiloheshimu raia inaowalinda
 
Jeshi la Tanzania ndo taasisi inayoongoza kwa kuwa na mrundikano wa vilaza wengi zaidi kuliko taasisi ingine yoyote ile.

Kuanzia mkuu wao mpaka yule mwenye cheo cha chini kabisa, wote ni vilaza.

Wewe wasikilize tu hata wakiwa wanaongea. Kama una akili utagundua mapema sana uwezo wao wa kiakili.

Na ndo maana hata yule msemaji wao bila haya alisema kuwa jeshi la Tanzania ni jeshi la 6 kwa ubora duniani.

Kwa mtu mwenye akili, hawezi kusema kitu kama hicho maana hakina kabisa hata chembe ya ukweli wowote ule.

Kutaka ku-reason na wanajeshi wa Tanzania ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.

JWTZ karibu wote ni vilaza. Sijawahi ona mtu aliyefaulu vizuri shuleni halafu akaamua kwenda jeshini.
Naunga mkono hoja 👍👏
 
1. Kuanza sasa RAIA wa Kawe TULIOPIGWA, TULIOTESWA na KUUMIZWA vibaya hatutaki tena Wanajeshi wa Kawe kuja KUTUKOPA Pesa Sisi Raia wa Kawe na badala yake waende wakamkompe Amiri Jeshi Mkuu au CDF wao bila kumsahau Waziri wa Ulinzi

2. Kuanzia sasa RAIA wa Kawe TULIOPIGWA, TULIOTESWA na KUUMIZWA vibaya HATUTAKI tena Wanajeshi wa Lugalo kuja KUGONGEA ( kuomba Vyakula ) Makwetu pale Wakiishiwa Makwao na wakija kwa Makusudi tutawaitia Wezi ili Raia wafanye yao au tutawafungulia Mbwa Wetu Wakali ili waondoke na Kende zao ili wakafanyiwe vizuri Oparesheni Hospitalini Kwao Lugalo.

3. Kuanzia sasa RAIA wa Kawe TULIOPIGWA, TULIOTESWA na KUUMIZWA vibaya HATUTAKI tena Wanajeshi wa Lugalo kutaka walipe Kodi za Mwezi Mwezi huku URAIANI Kawe na sasa tunapokea Kodi za Miezi Kumi na Mbili tu kana hawana Wakalale Koridoni Nyumbani kwa CDF wao au Waziri wao wa Ulinzi

4. Kuanzia sasa HATUTAKI tena Wanajeshi wa Lugalo kuja URAIANI kwa WALIOTUPIGA na KUTUUMIZA vibaya kutuomba tuwape Maghetto yetu ili Wabandue Mahawara zao ( Michepuko yao ) kwa Kukosa Hela ya Gesti / Loji na badala yake waende wakalale nao Viwanjani Kwao au pale Mapira kwenye Pori kunakotazamana na Chuo chao cha Tiba cha MCMS ili Wakangatwe vizuri na Nyoka Wakali ( hasa aina ya Vifutu ) walioko wa Uwingi

5. Kuanzia sasa RAIA wa Kawe ambao TULIPIGWA, KUUMIZWA na KUTESWA vibaya na Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) ni kwamba HATUTAKI tena Wake zao kuja Makwetu huku wakitia HURUMA kutukopa Fedha ili Wakazilishe Familia na hata ikitokea tukaamua Kuwakopa basi Mkopo huo utaendana na Sharti Tukuka kwamba ni lazima Kwanza Magari yetu Mafupi na Meusi yapite njia zao za MPALANGE kutokea Yombo Vituka.

6. Kuanzia sasa RAIA wa Kawe TULIOPIGWA, TULIOTESWA na KUUMIZWA vibaya na Wanajeshi wa Lugalo ( hasa hasa MP ) tumeamua KUTOWASAIDIA tena kwa KUWASITIRI Kiungwana pale wakiwa WAMELEWA Chakari na Kizembe katika Baa za Kawe na badala yake tutawaachia Masela WAWAPASULIE MAYAI VIZA na WAAIBIKE vizuri.

7. Kuanzia sasa RAIA wa Kawe ambao TULIPIGWA, KUUMIZWA na KUTESWA vibaya na Wanajeshi wa Lugalo ( hasa hasa MP ) bila Kosa lolote kutokana na Wao ( Wanajeshi ) kupenda kuja KUFAKAMIA Migoma ( Mimalaya ) ya Uswahilini ( Uraiani ) Kawe hatutokuwa tunawaambia nani WAMEATHIRIKA kwa HIV ili tuwaokoe na badala yake sasa ( kutokana na ULEVI wao kupenda hovyo MBUNYE ) tutakuwa TUNAWALENGESHA kwa Mademu WAATHIRIKA ili Waupate na Wapukutike wote.

Ubaya Ubayani tu Kudadadeki..!!!!!!!!!
Wanajeshi wa bongo ni wapumbavu sana hawa dawa yao ni kuwachoma na visu na kuwapiga virungu wafe kabisa maana hawana cha kufanya wanajeshi wapo afrika magharibi hawa wa kibongo ni wapaka poda tu wapuuzi sana
 
Back
Top Bottom