Tamko la wana Kawe ( Raia ) kwa Wanajeshi wa Lugalo baada ya KUTESWA kwa VIPIGO na KUUMIZWA vibaya, huku hadi leo JWTZ halijawaomba msamaha

Mbona kama Hawa wanajeshi wetu Kwa iliyo yaeleza hapa naona WANA TABIA ZA HOVYO HOVYO inafikirisha sana sanaa...
 
Acha ujinga,askari gani aende kuomba geto,akope pesa kwa raia,agongee pombe kwa raia? Na mkipigwa tena msingizie vingine. Alafu hauko specific, ni askari wa kikosi gani pale lugalo waliowatesa hao wananchi?
Nini?hahahahahahhahaha
 
Ni wajinga sana.

Wenyewe wanajisifia eti wao wanaangalia nguvu,jeshini akili haiitajiki ,tangu hapo nikawatoa thamani sana .

Halafu wengi ni waoga ,ukiwapiga washazoea kuitana , kama kweli wanajiweza kwa nini mtu usimalize ugomvi uliouanzisha mpaka muende kuitana?
 
Acha ujinga,askari gani aende kuomba geto,akope pesa kwa raia,agongee pombe kwa raia?
Askari wa tanzania wanayafanya sana haya. Sio wote ila baadhi yao. Kama huna hook nao, you can think otherwise, lakini hawa watu maisha yao ndio hayo yaliosemwa kabisa.

Ishi karibu na kambi za jeshi utayajua mengi
 
Ujinga ni pamoja na kutokuwa specific wakati wa kutoa taarifa.
Lugalo ile nzima ina vikosi 8 halafu ukiulizwa ni kikosi kipi wamefanya hizo fujo mtaani,hutokuwa na majibu kwasababu ya kukurupuka kwa namna kama hii. Kuwa makini na taarifa zako.
Haelewi huyo
 
Yooooo oops hii sasa ni police state, hawa thugs in uniforms wamepata ridhaa ya kuwa above law!,mkuu Nkanini naye amepitia jeshi sio jkt,pale 601&603,acha kutishia ,Tanzania hata akiwekwa ngedere pale magogoni utatawala watanzania
 
Yooooo oops hii sasa ni police state, hawa thugs in uniforms wamepata ridhaa ya kuwa above law!,mkuu Nkanini naye amepitia jeshi sio jkt,pale 601&603,acha kutishia ,Tanzania hata akiwekwa ngedere pale magogoni utatawala watanzania
ukiona gari ya polisi tu wanapeperusha bendera nyekundu ujue utawala wa sheria umesimama wakikuua au kukutia kilema utakoma wewe hupeleki popote na hushindi

Sheria zina mipaka raia kuua mwanajeshi kosa lakini mwanajeshi kukuua raia kwenye opetation ndio kazi yake na silaha kuwa nayo hahitaji leseni kama raia mwanajeshi anagawiwa tu kama njugu

JWTZ ukiona wameingia mtaani hiyo ni vita hama mtaa toroka wako kwenye operation uwe wakili na Joho lako ujue hapo ni sawa na dela tu au kanzu watakumaliza haki zako na sheria zako utaeleza mbinguni au Jehanamu itategemea utakakoenda kama mahakama zipo baada ya wewe kuuawa

Kuua mwanajeshi ni kutangaza vita na wanajeshi ndio kazi yao kupigana vita

Mwanajeshi wao kauawa kawe hilo ni eneo la vita ndio maana wameingia wenyewe pale Joho la wakili au jaji ni sawa na gauni tu au dela au kanzu ya mwislamu mwenda msikitini

Kwenye vita utawala wa sheria husimama
 
Sipo Kawe,ila naunga mkono maazimio haya.
 
Mnastahili kutandikwa Tena muhamishwe kbs. Mnamua afisa bila sababu. Ongera jwtz chakazeni
 
Huu ni upumbavu, jeshi wanatakiwa walinde mipaka yetu na sio kukimbizana na raia mitaani, mipaka yetu ipo porous ndio maana msomali anatembea kutoka horohoro hadi mtwara bila shida ,wanajeshi wetu wanafanya operation kawe!!,wapumbavu kabisa, ukikosewa nenda police sio kutuletea kangaroo court, wale wanaojisikia ni trigger happy waende kwenye border yetu na Mozambique, kuna cold war pale, mwanajeshi akitumia nafasi yake ovyo ua tu
 
Hadi mkome mtandikwe tu mnafanya kusudi mtegemee huruma hiyo hakuna.
 
Kwani Wajeda wenyewe wanasemaje juu ya hili tamko.,
 
bilashaka kwa unavomkubali uyo jamaa akikuomba ndogo pia utampa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…