Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
- Thread starter
- #21
hii umeitoa wapi?Treni ni kama mabasi ya mwendokasi yana njia yake maalumu. Kwa hio haiwezi kugonga bali inagongwa na chombo kinachotumika njia yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii umeitoa wapi?Treni ni kama mabasi ya mwendokasi yana njia yake maalumu. Kwa hio haiwezi kugonga bali inagongwa na chombo kinachotumika njia yake.
Hivi kweli kabla ya kuandika, umewaza vizuri kabisa?!! Eti treni inashindwa kukwepa gari au kusimama ghafla?? Ni kweli treni ina breki kali ila madhara yake ni makubwa sana, kwa treni na miundombinu yake.Ajali mbaya ya gari moshi kulambana uso kwa uso na basi linasosadikiwa kumilikwa na Magereza ya Ukonga jijini Dar es salaam.
Ajali hiyo imetokea muda wa jioni siku ya Mawlid maeneo ya Ukonga ambapo chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana lakini mashuhuda wanasema Dereva[Captain] wa gari-moshi aliliona lori la Magereza likipita kwenye reli na yeye Captain wa Treni badala ya kukwepa ama kusimama akalifuata na kujigonga kwenye Basi linalosadikiwa kuwa la Magereza.
Tuwaombee Majeruhi na dereva wa treni afikishwe mahakamani kwa kuendesha kwa uzembe na kutoheshimu sheria za reli.
Kumekuwa na tabia hivi karibuni, isiyo nzuri, kwa madereva wa DART[Mwendokasi] na TRENI wawapo kwenye barabara kutokwepa Bodaboda na kutokwepa Mabasi kama haya ya Magereza na kusababisha ajali.
Maelezo zaidi Msemaji wa vyombo husika watatuletea.
View attachment 2766990View attachment 2766990
Bila shaka unawekwaKumekuwa na tabia hivi karibuni, isiyo nzuri, kwa madereva wa DART[Mwendokasi] na TRENI wawapo kwenye barabara kutokwepa Bodaboda na kutokwepa Mabasi kama haya ya Magereza na kusababisha ajali.
kwa akili yako unaona sawa basi hilo la Magereza kugongwa na kuumia ni sawa?Hivi kweli kabla ya kuandika, umewaza vizuri kabisa?!! Eti treni inashindwa kukwepa gari au kusimama ghafla?? Ni kweli treni ina breki kali ila madhara yake ni makubwa sana, kwa treni na miundombinu yake.
Mkuu uko serious kweli au Unatania sasa ulitaka Treni ikwepe iende Wapi 🤣🤣🤣🤣🤣 angalia sehemu nilizoweka Red colour halafu nijibu ulikuwa serious au just a joke 🤣🤣🤣 Sada unataka treni ikwepe bodaboda iende wapi ipae au 🤣🤣🤣mashuhuda wanasema Dereva[Captain] wa gari-moshi aliliona lori la Magereza likipita kwenye reli na yeye Captain wa Treni badala ya kukwepa ama kusimama akalifuata na kujigonga kwenye Basi linalosadikiwa kuwa la Magereza.
Tuwaombee Majeruhi na dereva wa treni afikishwe mahakamani kwa kuendesha kwa uzembe na kutoheshimu sheria za reli.
Kumekuwa na tabia hivi karibuni, isiyo nzuri, kwa madereva wa DART[Mwendokasi] na TRENI wawapo kwenye barabara kutokwepa Bodaboda na kutokwepa Mabasi kama haya ya Magereza na kusababisha ajali.
Maelezo zaidi Msemaji wa vyombo husika watatuletea.
Hatari sanaKwahiyo hapo wewe umetoa hukumu bila kumsikiliza dereva wa Magereza, siyo sawa:
Unaweza kukuta treni ilipigiwa honi ili ikwepe ama isimame na haikufanya hivyo.
Kwamba captain wa train angekwepa[emoji23][emoji23]
Nimeelewa ulichomaanisha. Watu wanakukasirikia bure lakini ulichoandika sicho ulichomaanisha, umeandika kimafumbo. Changamoto tu ni kwamba baadhi ya watu wanafikiri ulimaamisha treni ingelikwepa basi, kumbe ni kinyume chake. Hata hivyo, wengine wamekuelewa.Ajali mbaya ya gari moshi kulambana uso kwa uso na basi linasosadikiwa kumilikwa na Magereza ya Ukonga jijini Dar es salaam.
Ajali hiyo imetokea muda wa jioni siku ya Mawlid maeneo ya Ukonga ambapo chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana lakini mashuhuda wanasema Dereva[Captain] wa gari-moshi aliliona lori la Magereza likipita kwenye reli na yeye Captain wa Treni badala ya kukwepa ama kusimama akalifuata na kujigonga kwenye Basi linalosadikiwa kuwa la Magereza.
Tuwaombee Majeruhi na dereva wa treni afikishwe mahakamani kwa kuendesha kwa uzembe na kutoheshimu sheria za reli.
Kumekuwa na tabia hivi karibuni, isiyo nzuri, kwa madereva wa DART[Mwendokasi] na TRENI wawapo kwenye barabara kutokwepa Bodaboda na kutokwepa Mabasi kama haya ya Magereza na kusababisha ajali.
Maelezo zaidi Msemaji wa vyombo husika watatuletea.
View attachment 2766990View attachment 2766990
Mbona jina lako na unachoandika havioani?!!! Kwani hilo gari la magereza ndio gari la kwanza kugonga treni nchi hii?!! Tena sio kuumia tu wangekufa kabisa, kwani ni uzembe wa dreva!! Yaani treni isimame ghafla unajua balaa lake litakalotokea? Kipande chote cha reli lazima king'oke, bado kama imebeba abiria au mizigo lazima kuna madhara makubwa sana yatatokea, hata kama ni injini pekee yake bado, kisa uzembe wa mtu mmoja, na sheria iko wazi,. Treni sio bajaji. Duniani kote ukijipendekeza tu lazima ufe.kwa akili yako unaona sawa basi hilo la Magereza kugongwa na kuumia ni sawa?
Treni ingesimama kungalikuwa na shida gani?
Pale aliposema TRENI INGELIKWEPA BASI, ilitosha kuelewa kuwa alichoandika ni kinyume chake. Ameandika kimafumbo. Kwa maneno mengine, utetezi wake ni kwa treni na captain wa treni. Ndiyo kusema, kakasirishwa na "uzembe" wa dereva wa basi la Magereza.Mbona jina lako na unachoandika havioani?!!! Kwani hilo gari la magereza ndio gari la kwanza kugonga treni nchi hii?!! Tena sio kuumia tu wangekufa kabisa, kwani ni uzembe wa dreva!! Yaani treni isimame ghafla unajua balaa lake litakalotokea? Kipande chote cha reli lazima king'oke, bado kama imebeba abiria au mizigo lazima kuna madhara makubwa sana yatatokea, hata kama ni injini pekee yake bado, kisa uzembe wa mtu mmoja, na sheria iko wazi,. Treni sio bajaji. Duniani kote ukijipendekeza tu lazima ufe.
Kwa maelezo hata tukuombee wewe kwanza kabla ya wahanga wa ajaliAjali hiyo imetokea muda wa jioni siku ya Mawlid maeneo ya Ukonga ambapo chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana lakini mashuhuda wanasema Dereva[Captain] wa gari-moshi aliliona lori la Magereza likipita kwenye reli na yeye Captain wa Treni badala ya kukwepa ama kusimama akalifuata na kujigonga kwenye Basi linalosadikiwa kuwa la Magereza.
Mtoa mada amenikumbusha kipindi tukiwa Chuoni. Mhadhiri aliahidi kutoa mtihani mrahisi kuliko mtihani wowote aliowahi kuutunga.Watu wengi hawajamwelewewa mtoa mada, hii ni kejeli kwa Magereza na wazee wa kuvunja sheria kisa wako kwenye taasisi zenye mamlaka
Hapo unakuja kugundua humu Jf tuna vijana wa hovyo sana mpaka siyo poahKwahyo jamaa alitakiwa amkwepe dereva wa gari hivi hii kitu inawezekana Kwa teen kukwepa mkuu?
Kwa nini mkuu?Hapo unakuja kugundua humu Jf tuna vijana wa hovyo sana mpaka siyo poah