GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Vizuri tu mkuu! Kwani Sheria inasemaje?Eti treni ikwepe? Treni itakwepa vipi?
Huyo jamaa nimeshindwa kumuelewa kabisa, sasa treni linakwepaje kwamfanoKwamba captain wa train angekwepa😂😂
Haigongwi bali inagongwa!! Umetisha mkuuMtoa mada ni Karani wa Mahakama yaani ni Mwanasheria lakini anashindwa kuelewa kwamba kisheria treni haigongwi bali inagongwa
Captain wa treni apokonywe leseni ya kuendesha treni. Hasatahili kuendesha tena treni kwa uzembe aliouonesha!Ajali mbaya ya gari moshi kulambana uso kwa uso na basi linasosadikiwa kumilikwa na Magereza ya Ukonga jijini Dar es salaam.
Ajali hiyo imetokea muda wa jioni siku ya Mawlid maeneo ya Ukonga ambapo chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana lakini mashuhuda wanasema Dereva[Captain] wa gari-moshi aliliona lori la Magereza likipita kwenye reli na yeye Captain wa Treni badala ya kukwepa ama kusimama akalifuata na kujigonga kwenye Basi linalosadikiwa kuwa la Magereza.
Tuwaombee Majeruhi na dereva wa treni afikishwe mahakamani kwa kuendesha kwa uzembe na kutoheshimu sheria za reli.
Kumekuwa na tabia hivi karibuni, isiyo nzuri, kwa madereva wa DART[Mwendokasi] na TRENI wawapo kwenye barabara kutokwepa Bodaboda na kutokwepa Mabasi kama haya ya Magereza na kusababisha ajali.
Maelezo zaidi Msemaji wa vyombo husika watatuletea.
View attachment 2766990View attachment 2766990
Ndiyo. Au angesimama.Kwamba captain wa train angekwepa😂😂
Treni imefanya uzembe wa hali ya juu mno! Ilitaka kuoneshana umwamba na basi? Si ingekata hata kona ya ghafla na kuingia mtaroni kuliko kuligonga basi lisilokuwa na hatia?Treni badala ya kukwepa ama kusimama akalifuata na kujigonga kwenye Basi linalosadikiwa kuwa la Magereza
No comment
Kwenye kanunihii umeitoa wapi?
Angezingatia kanuni za udereva wa treni, angeepuka ajali.Kwahyo jamaa alitakiwa amkwepe dereva wa gari hivi hii kitu inawezekana Kwa teen kukwepa mkuu?
Mpaka kufikia kesho, majira kama haya, utakuwa umeshaeleweka. Ila wachache wameshakuelewa.Nipo sober, leweni kwa "roho mtakatifu"
Usipige kelele, utawaamsha waliolala!Uzi umekaa ki inteligensia sana..
Ingesimama, auEti treni ikwepe? Treni itakwepa vipi?
Ajali mbaya ya gari moshi kulambana uso kwa uso na basi linasosadikiwa kumilikwa na Magereza ya Ukonga jijini Dar es salaam.
Ajali hiyo imetokea muda wa jioni siku ya Mawlid maeneo ya Ukonga ambapo chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana lakini mashuhuda wanasema Dereva[Captain] wa gari-moshi aliliona lori la Magereza likipita kwenye reli na yeye Captain wa Treni badala ya kukwepa ama kusimama akalifuata na kujigonga kwenye Basi linalosadikiwa kuwa la Magereza.
Tuwaombee Majeruhi na dereva wa treni afikishwe mahakamani kwa kuendesha kwa uzembe na kutoheshimu sheria za reli.
Kumekuwa na tabia hivi karibuni, isiyo nzuri, kwa madereva wa DART[Mwendokasi] na TRENI wawapo kwenye barabara kutokwepa Bodaboda na kutokwepa Mabasi kama haya ya Magereza na kusababisha ajali.
Maelezo zaidi Msemaji wa vyombo husika watatuletea.
View attachment 2766990View attachment 2766990
Unapaswa umwelewe mtoa mada, kwamba, ni treni ndiyo ina makosa kwa sababu ilimfuata basi kwenye njia yake. Labda, dereva wa treni alifikiri ataogopwa na basi kwa sababu ya "hadhi" yake.Treni lingekwepaje na njia yake ni hio tu???
pia ni ngumu kwa treni kukamata break papohapo mwenye makosa nihuyo dereva wa gari la magereza!
Mbona pichani treni ipo kwenye njia yake???Unapaswa umwelewe mtoa mada, kwamba, ni treni ndiyo ina makosa kwa sababu ilimfuata basi kwenye njia yake. Labda, dereva wa treni alifikiri ataogopwa na basi kwa sababu ya "hadhi" yake.
Si unajua "madereva" wa treni huwa wanaopgopwa na raia wengi?
Mpaka nimecheka!Kwahiyo hapo wewe umetoa hukumu bila kumsikiliza dereva wa Magereza, siyo sawa:
Unaweza kukuta treni ilipigiwa honi ili ikwepe ama isimame na haikufanya hivyo.