Tamko: Sitaki shobo

hahaha Evelyn Salt umesahau kwamba "Paka hana Ugeni"

Nimecheka sana nilikuwa sijaona hii sijui kwa nn shemdarling atoto hakuniita?
 
Last edited by a moderator:
Ndio unatusema sasa SI ungetuambia huko huko pm,kuanzia Leo siombi bia namuomba gari kabisaaaa
 
Kuna post za mwanzo kabisa pale kuna mtu umemuignore kabisa.. Na mtu huyo najua ndio tabia yake kubwa hahahaha

Ha ha ha we unataka kunigombanisha bana hakuna niliemuignore ila nimejibu nilipoona panatakiwa kujibu
nawe kumbe ni muhanga? Basi tutafanya movement yetu ha ha ha
 
Ha ha ha we unataka kunigombanisha bana hakuna niliemuignore ila nimejibu nilipoona panatakiwa kujibu
nawe kumbe ni muhanga? Basi tutafanya movement yetu ha ha ha

hahahaha beki 3.. pale 3 nini na nini.. hahaha najua ushamjua na ndiye mwenyewe.. Haya na mi nihonge hizo Rep Power heheheheehe
 
hahahaha beki 3.. pale 3 nini na nini.. hahaha najua ushamjua na ndiye mwenyewe.. Haya na mi nihonge hizo Rep Power heheheheehe

Ha ha ha naona kwenye movement ya #say no to beer begger nipo mwenyewe
hebu ninunulie kwanza bia ili tuongee lugha moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…