Mapi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 6,849
- 2,739
Duuuh mwalimu kunani tenaaaaa!!! Hivi rep power inatolewaje? I realy need to know.
Na wewe unataka?? nitafute
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh mwalimu kunani tenaaaaa!!! Hivi rep power inatolewaje? I realy need to know.
Mweeeh! Kumbe nawe hunitakii mema!!
Kichwa cha habari chajieleza......
kuhongwa rep power sio tiketi ya kuombea na bia, kama mna kiu na bia mtafute hela zenu, muombe kwa wazazi au wame zenu. Mambo ya kuomba hela ya bia kwa shemeji yenu sitaki tena mkome alaaah mie mwenyewe hizo bia nna kiu nazo msijitie kuhoji kwanini sijaongea nae jibu ni kwasababu nimeona mafuriko ya kuomba omba yamezidi nimeamua kusema kama vipi namie mnipe namba na wanaume zenu wanipe hizo hela za bia kubafu
sitaki mazoea kwa baby wangu sitaki sitaki....mfowadiane pm kwa anaehitaji kumjua
nb: tamko halina mjadala
Kumbe hata hunu JF kuna ma Bar made....................
Kumbe mke wa mtu?
Basi kuna cha ziada anachokitafuta.
Nawe ukome kumsifia bwana ako....unaona sasa, we unafikiri mwisho wa kunywa ingekuwa nini kama sio 'kupashana misuli'.
Ila unanikera sana....raha ya umbea kama huu, jina linakuwa openly ....
Ila nawe unakaba mpaka penati, pm kote huko sijui ulikuwa unasaka nini, utakufa kwa presha.
Hebu tuwekee jina hapa mie nimwite charty na 'Valentina' maana naona wako mbali na eneo la tukio.
Unadhani wao hawana access na jf?Kumbe hata hunu JF kuna ma Bar made....................
kweli hutaki shobo au its a prank
nimekuja mbea mpe heading..atatiririka yotee....evelyn salt si umtaje tu...roho yako iridhike...hahah madam B kizuri kula na mwenzio walah...sharing is caring...ndukyyy ngoja nikazisakeee mie
nilimiss hichi kipindi heheee..muda mrefu sijaona msuto humu ndani..
napita tu bora mie bwanaangu anakunywa soda na juice.
Sa nyie mwataka shea vyangu tu vyenu vipo nyuma ya keyboard teh
Umeyakanyaga au umekula kwa bahati mbaya?poleMavi ya kuku.
ah vibaya hivooo...ruksaaa sharin z caring me wangu simfungi nitawapa area code kabsaa mkajilie..hehee
Duuuh mwalimu kunani tenaaaaa!!! Hivi rep power inatolewaje? I realy need to know.
Hamna kitu ni tamko tu....
kwenye thread mtu alipo comment chini ya jina lake kuna kibahasha cha kusend pm na kinyota
unaclick hicho kinyota kusend rep power
ukipewa rep power zama pm kushukuru na kutoa namba
safari moja huanzisha nyingine