Tamko: Sitaki shobo

Tamko: Sitaki shobo

Ndio nataka bia na mimi jamani, ila tafadhali tu brenda18 asijerudi na uzi hapa akinisuta.

Umeona sasa ulivyo na kiherehere....mi brenda18 nilimuacha nyumbani...hizi kelele zako zitamleta na utakoma
 
Last edited by a moderator:
nilimiss hichi kipindi heheee..muda mrefu sijaona msuto humu ndani..
napita tu bora mie bwanaangu anakunywa soda na juice.
 
Kichwa cha habari chajieleza......
kuhongwa rep power sio tiketi ya kuombea na bia, kama mna kiu na bia mtafute hela zenu, muombe kwa wazazi au wame zenu. Mambo ya kuomba hela ya bia kwa shemeji yenu sitaki tena mkome alaaah mie mwenyewe hizo bia nna kiu nazo msijitie kuhoji kwanini sijaongea nae jibu ni kwasababu nimeona mafuriko ya kuomba omba yamezidi nimeamua kusema kama vipi namie mnipe namba na wanaume zenu wanipe hizo hela za bia kubafu
sitaki mazoea kwa baby wangu sitaki sitaki....mfowadiane pm kwa anaehitaji kumjua

nb: tamko halina mjadala

Kumbe hata hunu JF kuna ma Bar made....................
 
Kumbe mke wa mtu?
Basi kuna cha ziada anachokitafuta.
Nawe ukome kumsifia bwana ako....unaona sasa, we unafikiri mwisho wa kunywa ingekuwa nini kama sio 'kupashana misuli'.

Ila unanikera sana....raha ya umbea kama huu, jina linakuwa openly ....
Ila nawe unakaba mpaka penati, pm kote huko sijui ulikuwa unasaka nini, utakufa kwa presha.

Hebu tuwekee jina hapa mie nimwite charty na 'Valentina' maana naona wako mbali na eneo la tukio.

nimekuja mbea mpe heading..atatiririka yotee....evelyn salt si umtaje tu...roho yako iridhike...hahah madam B kizuri kula na mwenzio walah...sharing is caring...ndukyyy ngoja nikazisakeee mie
 
nimekuja mbea mpe heading..atatiririka yotee....evelyn salt si umtaje tu...roho yako iridhike...hahah madam B kizuri kula na mwenzio walah...sharing is caring...ndukyyy ngoja nikazisakeee mie

Sa nyie mwataka shea vyangu tu vyenu vipo nyuma ya keyboard teh
 
nilimiss hichi kipindi heheee..muda mrefu sijaona msuto humu ndani..
napita tu bora mie bwanaangu anakunywa soda na juice.

Ha ha ha kwani akinywa juice ndo hatoi ofa ya bia?
 
Duuuh mwalimu kunani tenaaaaa!!! Hivi rep power inatolewaje? I realy need to know.

Hamna kitu ni tamko tu....
kwenye thread mtu alipo comment chini ya jina lake kuna kibahasha cha kusend pm na kinyota
unaclick hicho kinyota kusend rep power
ukipewa rep power zama pm kushukuru na kutoa namba
safari moja huanzisha nyingine
 
Hamna kitu ni tamko tu....
kwenye thread mtu alipo comment chini ya jina lake kuna kibahasha cha kusend pm na kinyota
unaclick hicho kinyota kusend rep power
ukipewa rep power zama pm kushukuru na kutoa namba
safari moja huanzisha nyingine

Ooooh!! Thanx for that.

Sasa kumbe ni mpaka nipewe mimi ndio nishukuru na kuomba bia!! Haya jamani nihongeni hizo rep power mie nijipatie kabia.
 
Back
Top Bottom