Tamko: Sitaki shobo

Tamko: Sitaki shobo

Hahaha! Dah! Mbavu zangu! Watu mnacreativity ya hatari, magazeti ya udaku ya Shigongo yanaigiza. Watu mna kauli za kidaku mpaka inatisha!
Mtu amefunguka yanayomsibu, nyinyi mmegeuza mada kuwa kituko.

Correction: sijafunguka nimetoa tamko
 
Agent Evelyn Salt in her surveillance van. 'Beer-diggers' beware. You have been warned.

Claire-Danes-Vogue-US-Annie-Leibovitz-02.jpg
 
"Tazama jinsi ilivyo vema na kupendeza ndugu wakae pamoja kwa umoja, ni kama mafuta mazuri yashukayo ndevuni .... Zab 133... Wapeni watu vileo wanywe wasahau shida zao.... vile vile olewake ampanye mwenzake/nduguye kilevi,mvinyo" Tumia lugha laini na nzr ya kuwaeleza na pia Mwanamke mpumbavu uvunja nyumba yake kwa mikono yake. Upumbavu ni upi sasa? Akili mbayuwayu changanya na zako...
 
"Tazama jinsi ilivyo vema na kupendeza ndugu wakae pamoja kwa umoja, ni kama mafuta mazuri yashukayo ndevuni .... Zab 133... Wapeni watu vileo wanywe wasahau shida zao.... vile vile olewake ampanye mwenzake/nduguye kilevi,mvinyo" Tumia lugha laini na nzr ya kuwaeleza na pia Mwanamke mpumbavu uvunja nyumba yake kwa mikono yake. Upumbavu ni upi sasa? Akili mbayuwayu changanya na zako...

Ndo ufafanue sasa mi sina muda wa kufumbua mafumbo
 
Kichwa cha habari chajieleza......
kuhongwa rep power sio tiketi ya kuombea na bia, kama mna kiu na bia mtafute hela zenu, muombe kwa wazazi au wame zenu. Mambo ya kuomba hela ya bia kwa shemeji yenu sitaki tena mkome alaaah mie mwenyewe hizo bia nna kiu nazo msijitie kuhoji kwanini sijaongea nae jibu ni kwasababu nimeona mafuriko ya kuomba omba yamezidi nimeamua kusema kama vipi namie mnipe namba na wanaume zenu wanipe hizo hela za bia kubafu
sitaki mazoea kwa baby wangu sitaki sitaki....mfowadiane pm kwa anaehitaji kumjua

nb: tamko halina mjadala

Kizuri kula na nduguyo.
 
Nyoooooo na nyie mnipe vyenu nile

Mie bwana angu m-bebe tu....kweupeeeee nakuachia na hivo ana ka-kitunguu saumu, utanirudishia mwenyewe maana najua atakupakapaka tu nanilii.

Hahahah.....hebu mieeeee.
Bia hizi jamani....tuseme na kiu zetu....tutakuja kutiwa chupa za makalio bure.
Hebu mieeeeeeee......niende pm kwa mpenzi wangu maana kaniahidi kuninunulia Celica
.....Ole umfate Pm....nakutaja.
Maana naona umeshindwa kumtaja mke mwenzio
Hahahah.....charteeeeeeeeeeeee ya mbilimbi.

Mjini ndo nshafika, kijijini sirudi ng'ooooooooo!!!!!!!
 
Upepo wa njaa umevuma kwa kasi ya kilometa 80 kwa sekunde hapa!...yani bia tu,ama?!!
Mtie kamba 'mumeo',na wewe acha shobo!
 
Back
Top Bottom