Tamko: Sitaki shobo

Tamko: Sitaki shobo

Mie bwana angu m-bebe tu....kweupeeeee nakuachia na hivo ana ka-kitunguu saumu, utanirudishia mwenyewe maana najua atakupakapaka tu nanilii.

Hahahah.....hebu mieeeee.
Bia hizi jamani....tuseme na kiu zetu....tutakuja kutiwa chupa za makalio bure.
Hebu mieeeeeeee......niende pm kwa mpenzi wangu maana kaniahidi kuninunulia Celica
.....Ole umfate Pm....nakutaja.
Maana naona umeshindwa kumtaja mke mwenzio
Hahahah.....charteeeeeeeeeeeee ya mbilimbi.

Mjini ndo nshafika, kijijini sirudi ng'ooooooooo!!!!!!!
Tengua kauli, hakuna mke mwenzangu ni wadandia bia tu
afu ujue mi msataarabu sana na ustaarabu wangu ni wa kiwango cha juu
huyu mtu ni mke wa mtu make naona jamaa yake yuko bize na kumuanzishia thread kila siku za kumshukuru kwa upendo
sasa sijui kinachomwangaisha ni nini kugawa gawa namba kisa bia ya 2500
naona mme kalegeza Kamba kwenye kipengele cha kumnywesha
 
Upepo wa njaa umevuma kwa kasi ya kilometa 80 kwa sekunde hapa!...yani bia tu,ama?!!
Mtie kamba 'mumeo',na wewe acha shobo!
Kwani umekutana nae mtaa gani hadi nimtie Kamba? Yupo ndani katulia
ushauri mwingine labda?
 
Tengua kauli, hakuna mke mwenzangu ni wadandia bia tu
afu ujue mi msataarabu sana na ustaarabu wangu ni wa kiwango cha juu
huyu mtu ni mke wa mtu make naona jamaa yake yuko bize na kumuanzishia thread kila siku za kumshukuru kwa upendo
sasa sijui kinachomwangaisha ni nini kugawa gawa namba kisa bia ya 2500
naona mme kalegeza Kamba kwenye kipengele cha kumnywesha

Kumbe mke wa mtu?
Basi kuna cha ziada anachokitafuta.
Nawe ukome kumsifia bwana ako....unaona sasa, we unafikiri mwisho wa kunywa ingekuwa nini kama sio 'kupashana misuli'.

Ila unanikera sana....raha ya umbea kama huu, jina linakuwa openly ....
Ila nawe unakaba mpaka penati, pm kote huko sijui ulikuwa unasaka nini, utakufa kwa presha.

Hebu tuwekee jina hapa mie nimwite charty na 'Valentina' maana naona wako mbali na eneo la tukio.
 
Last edited by a moderator:
Kwani umekutana nae mtaa gani hadi nimtie Kamba? Yupo ndani katulia
ushauri mwingine labda?

wallah angekuwa ametulia usingekuwa na kinyekunyeku hivi!
Ushauri mwingine,njaa yako usiiweke kwenye mfuko wa nailoni!
 
wallah angekuwa ametulia usingekuwa na kinyekunyeku hivi!
Ushauri mwingine,njaa yako usiiweke kwenye mfuko wa nailoni!

Rudia kusoma tamko, halafu upite make hakuna mahali nimesema nataka ushauri, wala sijaandika mahali kua hajatatulia
kama unahisi hajatulia ruksa kumpepea uje na bikini lakini
otherwise nawe ni muomba bia mtaja liwa jicho kisa buku mbili jero
nb tamko spesho kwa waomba bia tu
 
Kumbe mke wa mtu?
Basi kuna cha ziada anachokitafuta.
Nawe ukome kumsifia bwana ako....unaona sasa, we unafikiri mwisho wa kunywa ingekuwa nini kama sio 'kupashana misuli'.

Ila unanikera sana....raha ya umbea kama huu, jina linakuwa openly ....
Ila nawe unakaba mpaka penati, pm kote huko sijui ulikuwa unasaka nini, utakufa kwa presha.

Hebu tuwekee jina hapa mie nimwite charty na 'Valentina' maana naona wako mbali na eneo la tukio.

Ha ha ha usijitie kutoelewa, mbebs hajaombwa dushe na kama ni dushe ombeni tu sio sabuni hiyo kwamba itaisha
abiria kuchunga mzigo especially wa ndani ya gari wa kwenye buti atachunga konda
 
Mie bwana angu m-bebe tu....kweupeeeee nakuachia na hivo ana ka-kitunguu saumu, utanirudishia mwenyewe maana najua atakupakapaka tu nanilii.

Hahahah.....hebu mieeeee.
Bia hizi jamani....tuseme na kiu zetu....tutakuja kutiwa chupa za makalio bure.
Hebu mieeeeeeee......niende pm kwa mpenzi wangu maana kaniahidi kuninunulia Celica
.....Ole umfate Pm....nakutaja.
Maana naona umeshindwa kumtaja mke mwenzio
Hahahah.....charteeeeeeeeeeeee ya mbilimbi.

Mjini ndo nshafika, kijijini sirudi ng'ooooooooo!!!!!!!

Tena wenye vimbilimbi wanahangaika kweli yote kujaribu wajisikie wako normal. Akichukuliwa akarudishwa ni kupimwa mdundiko kwanza, siku hizi positively charged wako wengi.
 
Kumbe mke wa mtu?
Basi kuna cha ziada anachokitafuta.
Nawe ukome kumsifia bwana ako....unaona sasa, we unafikiri mwisho wa kunywa ingekuwa nini kama sio 'kupashana misuli'.

Ila unanikera sana....raha ya umbea kama huu, jina linakuwa openly ....
Ila nawe unakaba mpaka penati, pm kote huko sijui ulikuwa unasaka nini, utakufa kwa presha.

Hebu tuwekee jina hapa mie nimwite charty na 'Valentina' maana naona wako mbali na eneo la tukio.

We mwenzio nimeshindwa kusoma alama ya nyakati. Sielewi A wala bee! Hebu fanya kunipa samari basi ili niendane na beat
 
Last edited by a moderator:
Kichwa cha habari chajieleza......
kuhongwa rep power sio tiketi ya kuombea na bia, kama mna kiu na bia mtafute hela zenu, muombe kwa wazazi au wame zenu. Mambo ya kuomba hela ya bia kwa shemeji yenu sitaki tena mkome alaaah mie mwenyewe hizo bia nna kiu nazo msijitie kuhoji kwanini sijaongea nae jibu ni kwasababu nimeona mafuriko ya kuomba omba yamezidi nimeamua kusema kama vipi namie mnipe namba na wanaume zenu wanipe hizo hela za bia kubafu
sitaki mazoea kwa baby wangu sitaki sitaki....mfowadiane pm kwa anaehitaji kumjua

nb: tamko halina mjadala

Tuko busy na kuitoa CCM madarakani haya mambo yenu mngepelekeana huko huko PM!! Hayatuhusu.
 
Imeandikwa "Tazama jinsi lilvyo vema na kupendeza ndugu wakae pa1 kwa uomoja..... wapeni watu kilevi wanywe wasahau shida zao..... Pia ole wake ampaye nduguye kilevi kama haitoshi Mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake. Mengineo mengi yaliyoandikwa yapo ila nawaachia wengine nafasi...
 
Evelyn Salt akikagua kujua idadi ya bia zilizonywewa. Ole wake mtu aseme JF sio serious.

lead_cheating.jpeg
 
Duuuh mwalimu kunani tenaaaaa!!! Hivi rep power inatolewaje? I realy need to know.
 
Back
Top Bottom