Tamthilia ya Huba haiendani na jina lake. Kinachoendelea ni upotoshaji na uhuni

Tamthilia ya Huba haiendani na jina lake. Kinachoendelea ni upotoshaji na uhuni

Mpo sahihi ila visa havina mtiririko mzuri, wanafake uhalisia kwenye mambo mengi sana ikiwemo mazingira na utendaji wa kazi.

Ni kweli.
Huwezi igiza kwenye majumba makubwa vile alafu usiigize kwa akili na Kisomi.
Lazima uwe mfanyabiashara mkubwa au mtawala. Na lazima hata lugha na mipango itakayojitokeza kwenye maisha yako lazima Watu waone inalingana na maisha inayoishi.
 
Yani siku hz kuangalia tamthilia za kibongo ni ujinga kabisa..tamthili nzuri ambayo ilikua ina mafunzo ilikua ya KOMBOLELA na kidogo zahanati ya kijiji...ila zingine ni ujinga jinga tuu...kama hyo ya mtaa wa kaza moyo ni ushenzi mtupu..matusi yamejaa mle,uvutaji bangi,magenge ya kihuni..sijui kwakweli inafundisha nini...
Bora kuangalia documentaries

Wasaidiwe tuu. Kwa maana nao wanatafuta riziki zao lakini tatizo lako sio ajabu likawa kuwa hawataki kusaidika.
 
Movie au Tamthiliya iwe nzuri inahitaji watu watatu,muhimu sana Producer, Director na Editor.Hawa watu wanapaswa kufanya Kazi kwa umakini wa hali ya juu sana,Lakini Bongoland unakuta Producer,Director na Editor ni mtu mmoja hapa huwezi pata matokeo bora.

Angalia wazalishaji na waongozaji wa movie kama James Cameroon nk,namna wanavyo fanya Kazi alafu linganisha na Wabongo ni mbingu na ardhi.

Kuhusu jina la movie au Tamthiliya (fani) kutoendana na Maudhui,hapa naweza sema Kuna shida ya Elimu kubwa sana kwenye tasnia ya movie Tanzania.

Wajifunze hata kwa mwamba SRK,namna movie zake zinavyo kuwa na mvuto wa kipekee hasa kwenye mapenzi.
 
Yan bongo hamna kisa tofaut na mape z ,
Loloita -tofaut na kiss cha lolita visa vingine ni upuuzi tu , yan huyu kalala na huyu na huyu utafikiri hamna visa tofauti n mapenzi.
Kama utamruhusu mwanao aangalie kaza moyo - akija kuwa panyaroad au malaya usiseme kajifunzia wapi ww ndo umemfundisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani siku hz kuangalia tamthilia za kibongo ni ujinga kabisa..tamthili nzuri ambayo ilikua ina mafunzo ilikua ya KOMBOLELA na kidogo zahanati ya kijiji...ila zingine ni ujinga jinga tuu...kama hyo ya mtaa wa kaza moyo ni ushenzi mtupu..matusi yamejaa mle,uvutaji bangi,magenge ya kihuni..sijui kwakweli inafundisha nini...
Bora kuangalia documentaries
Yule mtunzi wa Kombolela na zahanati ya kijiji anajua sana.
 
Tamthilia nilizowahi zitazama na kuona nzuri.

KOMBOLELA
ZAHANATI YA KIJIJI
KAPUNI

KOSA MOJA hii baadae niliacha kuangalia nna sababu zangu, ila kidogo ilinishawishi.
 
Movie au Tamthiliya iwe nzuri inahitaji watu watatu,muhimu sana Producer, Director na Editor.Hawa watu wanapaswa kufanya Kazi kwa umakini wa hali ya juu sana,Lakini Bongoland unakuta Producer,Director na Editor ni mtu mmoja hapa huwezi pata matokeo bora.

Angalia wazalishaji na waongozaji wa movie kama James Cameroon nk,namna wanavyo fanya Kazi alafu linganisha na Wabongo ni mbingu na ardhi.

Kuhusu jina la movie au Tamthiliya (fani) kutoendana na Maudhui,hapa naweza sema Kuna shida ya Elimu kubwa sana kwenye tasnia ya movie Tanzania.

Wajifunze hata kwa mwamba SRK,namna movie zake zinavyo kuwa na mvuto wa kipekee hasa kwenye mapenzi.

Uchoyo tuu.
Kutaka kufanya kila kitu mwenyewe.
Waigizaji wanafanya kile watakachoambiwa wafanye
 
Back
Top Bottom