Tamthilia ya Huba haiendani na jina lake. Kinachoendelea ni upotoshaji na uhuni

Tamthilia ya Huba haiendani na jina lake. Kinachoendelea ni upotoshaji na uhuni

Yani siku hz kuangalia tamthilia za kibongo ni ujinga kabisa..tamthili nzuri ambayo ilikua ina mafunzo ilikua ya KOMBOLELA na kidogo zahanati ya kijiji...ila zingine ni ujinga jinga tuu...kama hyo ya mtaa wa kaza moyo ni ushenzi mtupu..matusi yamejaa mle,uvutaji bangi,magenge ya kihuni..sijui kwakweli inafundisha nini...
Bora kuangalia documentaries
Hiyo kazamoyo ukisema mbaya wavuta bangi na wacheza vigodoro watakujia juu [emoji23]
 
Niliangalia siku moja tu na kuhitimisha kwamba huu ni uchafu......
 
Umeandika nini sasa hapo, kwahiyo kama kuna uharibifu kiasi kwenye jamii ndio wazidi kuu promote ili jamii yote ione kuwa ni sawa na yote iharibike au
Hakuna anayelazimishwa kuangalia, ila hao wanaoratibu ubora wanasemaje!? Tanzania Sio kisiwq, ile ni tamthilia na Sio maombezi ya kidini
 
Ila ukiangalia kwanini wabongo ni tofauti na nchi nyingine kweny uigizaji ,Moja wapo ni kiwango Cha elimu ya Sanaa , nchi za wenzetu Kwa mfano uturuki mtu anachukua degree ya uigizaji ndioo anaingia jukwaani lakini bongo Leo. mtu mwingine anaamka tuh basi na yy anataka kuigiza kwasababu ya ugumu wa maisha na kusema kuwa ana kipaji bas inatosha
 
Back
Top Bottom