Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hiyo kazamoyo ukisema mbaya wavuta bangi na wacheza vigodoro watakujia juu [emoji23]Yani siku hz kuangalia tamthilia za kibongo ni ujinga kabisa..tamthili nzuri ambayo ilikua ina mafunzo ilikua ya KOMBOLELA na kidogo zahanati ya kijiji...ila zingine ni ujinga jinga tuu...kama hyo ya mtaa wa kaza moyo ni ushenzi mtupu..matusi yamejaa mle,uvutaji bangi,magenge ya kihuni..sijui kwakweli inafundisha nini...
Bora kuangalia documentaries
Waniache kwakweli.. π π πHiyo kazamoyo ukisema mbaya wavuta bangi na wacheza vigodoro watakujia juu [emoji23]
Nikiikuta ndipo naitazama ila tangu 2018 naona bado ipo .Nilidhani ni marudio kama ile Mwantumu ya Joti.Uliishia mwaka gani Sheikhe?
Nasikia itaendelea mpaka Mkataba utakapovunjwa
Nikiikuta ndipo naitazama ila tangu 2018 naona bado ipo .Nilidhani ni marudio kama ile Mwantumu ya Joti.
Inakuwa kama isidingo sasa π€£π€£π€£π€£π€£πππ
Ipo mkuu.
Hakuna anayelazimishwa kuangalia, ila hao wanaoratibu ubora wanasemaje!? Tanzania Sio kisiwq, ile ni tamthilia na Sio maombezi ya kidiniUmeandika nini sasa hapo, kwahiyo kama kuna uharibifu kiasi kwenye jamii ndio wazidi kuu promote ili jamii yote ione kuwa ni sawa na yote iharibike au
Niliangalia siku moja tu na kuhitimisha kwamba huu ni uchafu......
Utakuta dume zima na midevu anakuambia anawahi nyumbaniHatari Sana mkuu
Yaani kwa kweli wanachosha, namshangaa sana mtu anayependa bongo movie. Utapendaje poor acting namna ile?Wanakosa tuu mtunzi na director wazuri
Mkuu una tatizo kubwa,Ukiandika mada acha watu wajadiliWabongo wangekua wanajua kingereza tungeongea mambo mengine